Ndugu Rambo ana taarifa tayari,ametoa tamko kuwa atakata rufaa.Aidha amewasiliana na wakala wake waweze kuwasiliana na wakili msomi shangazi fatuma kwani umahiri wake umemkosha na wanatazamia kuwawakilisha upilatoni muda ukifika na pilato kupangwa tuwe na subira wakati shangazi anafanya makeke kuturudishia mpendwa wetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.