FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,063
- 40,724
Hiyo wizara ni bora apewe hata joti tu aiongoze, maana kwa hizi sarakasi inaashiria wazi kabisa kuna rushwa kubwa inatembea humoWakati sasa umefika kuchagua, kuharibu mazingira ya nchi yetu au kuwahurumia wenye viwanda vya Mifuko ya Plastiki. Lakini tukumbuke wazalishaji wote wa Mifuko ya Plastiki waliopigwa marufuku kwenye nchi za wenzetu Afrika ya Mashariki kama Kenya, Uganda na Rwanda watakimbilia TZ ili wayahatibu mazingira yetu. It’s time now to make positive decision.