Kwani wewe ukijibu maswali unayo ulizwa na wachangiaji, utapungukiwa nini...!!??Guys kama huna nia ukiwa silent utapungukiwa nin??
Baada ya kuona tumekustukia kuwa ww ni dume mkuu.Guys kama huna nia ukiwa silent utapungukiwa nin??
Material nannua k/koo na nnatengeneza mwenyewjamaa bei anafanya siri,atakua analangua kenya huyu,maana huko hii mifuko inauzwa kwa bundle,so anaweza nunua kwa tsh 5o mfuko akauza kwa 100,ili wewe nawe ukauze 150
Oky.am a man.Baada ya kuona tumekustukia kuwa ww ni dume mkuu.
Bei yako kubwa sana mkuu elfu 70 kwa dazeni mojaKm unahtaj kW bei ya jumla njoo pm

Sasa hii ntabebeaje utumbo wajameni?Hizi ni paper bags to use instead of plastic bags kwa wafanyabiashara wote katika utoaji huduma kwa wateja.mifuko hii ni imara kabsa kama inavoonekana kwnye picha.Tunafanya delivery popote ulipo ndani ya Dar es Salaam.
Namba yangu ya simu 0758299556 au aje pmView attachment 1100105View attachment 1100106View attachment 1100107View attachment 1100110View attachment 1100109
Acha mambo ya ajabu. Umeweka bidhaa hadharani basi weka na bei yake hadharani.Km unahtaj kW bei ya jumla njoo pm