Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Kwa uzoefu wa siku za nyuma ,mtumishi wa kiwango cha chini,yani anaestaafu na mshahara wa TGS/TGTS E alikuwa analipwa kiinua Mgongo cha Zaidi ya mil 70 kutegemea miaka aliyoitumikia serikali.
Hii mil 70+ ambayo ni Kiinua mgongo(Lampsum)ndio fedha ambayo mtumishi ilihangaika kupata nyumba nzuri walau atakapofia siku umauti ukimkuta.
Ni kupitia fedha hiyo ndio ilikuwa inasaidia kutatua changamoto za Extended family.
Lakini ujio wa PSSSF imekuwa kilio kwa watumishi wa umma.
Kama serikali itaruhusu kanuni mpya ya PSSSF itumike kulipa mafao basi wastaafu wengi watakufa mapema kwa mshtuko.
Yaani mtu ambae matarajio yake ni mil 70+ atapata chini ya mil 17,
Kanuni yao ni hii hapa,kila aliesoma walau hisabati kwa ngazi ya shule ya msingi anaweza kukokotoa mwenyewe ajiandae kisaikolojia.
KANUNI KUKOKOTOA KIINUA MGONGO(LAMPSUM)
CPG=PF x PS x APE x CF x CR.
PF=1/580
PS=360
APE=MISHAHARA MINONO 36 ULIYOPATA NDANI YA MIAKA 10 YA MWISHO YA UTUMISHI WAKO÷KWA 3.
MFANO MSHARA MIL 1X36=36MIL÷3=12Mil.
APE=MIL 12.
CF=12.5
CR=25%
Sasa twende pamoja.
0.0017x360x12,000,000x12.5x0.25
Hapo unakuwa umebadili kila kitu kuwa kwenye desimali.
Kiinua mgongo=22,950,000/=
Hapo tumetumia mshara mnono wa mil 1000000,
My take.
1.Mifuko imeamu kuwadhulumu watumishi kwa kutumia kalamu na kanuni.
Bahati mbaya kanuni hii inamuhusu kila mtumishi wa umma bila kujali cheo chake.
2.Kama kuunganishwa mifuko kulilenga kumnufaisha mtumishi,je huko ndiko kuboresha maslahi ya watumishi?au kuwakomoa watumishi?
3.Wapo wanaosema kuna mifuko ilikuwa hoi bin taabani,lkn sababu za wao kuwa hoi ni fedha zao kukopwa na wakubwa na si watumishi waliosababisha iwe hoi,kwanini gharama za kuifufua zibebwe na wastaafu?
Au wastaafu sio wanyonge?
Hii mil 70+ ambayo ni Kiinua mgongo(Lampsum)ndio fedha ambayo mtumishi ilihangaika kupata nyumba nzuri walau atakapofia siku umauti ukimkuta.
Ni kupitia fedha hiyo ndio ilikuwa inasaidia kutatua changamoto za Extended family.
Lakini ujio wa PSSSF imekuwa kilio kwa watumishi wa umma.
Kama serikali itaruhusu kanuni mpya ya PSSSF itumike kulipa mafao basi wastaafu wengi watakufa mapema kwa mshtuko.
Yaani mtu ambae matarajio yake ni mil 70+ atapata chini ya mil 17,
Kanuni yao ni hii hapa,kila aliesoma walau hisabati kwa ngazi ya shule ya msingi anaweza kukokotoa mwenyewe ajiandae kisaikolojia.
KANUNI KUKOKOTOA KIINUA MGONGO(LAMPSUM)
CPG=PF x PS x APE x CF x CR.
PF=1/580
PS=360
APE=MISHAHARA MINONO 36 ULIYOPATA NDANI YA MIAKA 10 YA MWISHO YA UTUMISHI WAKO÷KWA 3.
MFANO MSHARA MIL 1X36=36MIL÷3=12Mil.
APE=MIL 12.
CF=12.5
CR=25%
Sasa twende pamoja.
0.0017x360x12,000,000x12.5x0.25
Hapo unakuwa umebadili kila kitu kuwa kwenye desimali.
Kiinua mgongo=22,950,000/=
Hapo tumetumia mshara mnono wa mil 1000000,
My take.
1.Mifuko imeamu kuwadhulumu watumishi kwa kutumia kalamu na kanuni.
Bahati mbaya kanuni hii inamuhusu kila mtumishi wa umma bila kujali cheo chake.
2.Kama kuunganishwa mifuko kulilenga kumnufaisha mtumishi,je huko ndiko kuboresha maslahi ya watumishi?au kuwakomoa watumishi?
3.Wapo wanaosema kuna mifuko ilikuwa hoi bin taabani,lkn sababu za wao kuwa hoi ni fedha zao kukopwa na wakubwa na si watumishi waliosababisha iwe hoi,kwanini gharama za kuifufua zibebwe na wastaafu?
Au wastaafu sio wanyonge?