Wapo wanaojitokeza na kuzungumza kukosoa mwelekeo wa serikali ya awamu ya tano na wengi wanaokosoa maoni yao yanapokelewa na jamii kwa hasira kwa maana jamii imeridhika na kile kinachofanywa na Serikali hii.
mimi naona wanaokosoa wako sahihi na jamii kutoa mtizamo wao juu ya maoni ya wanaokosoa iko sahihi. kwa njia hiyo wale walioko madarakani wanapata mrejesho wa kile wanachokifanya kama kinakidhi jamii wanachokitaka, walioko madarakani wanapata changamoto juu ya mipango na utekelezaji wao kwa watu kuwakosoa.
hawa wanajamii wanaojiona wana uwezo wa kuwa viongozi wanapata nafasi ya kujua fikra zao kama kweli zinawawezesha kuwa viongozi. hivyo naona kukosoana ni jambo ambalo tunatakiwa kuliendeleza.
kwa mtaji huo mimi binafsi mpaka sasa sioni mwelekeo wa serikali ya awamu ya tano.
sisemi hawa jamaa hawafanyi kazi bali ninachokisema kama ni timu ya mpira ninaona wachezaji wakipiga chenga nyingi, pasi nyingi lakini bila timu kuonekana kuwa na mipango ya kutafuta goli.
magoli katika serikali ni kuwaletea wananchi maisha mazuri kwa kasi. tunapochagua viongozi tunachagua wale ambao kodi zetu zinaweza kutuletea maisha mazuri kwa kasi.
wananchi tunatakiwa kuangalia kwa rasilimali zetu hizi tunalinganisha tukimpa uongozi huyu maisha yetu ndani ya miaka kadhaa yatakuwaje na yule ambaye tunaona maisha yetu yatapiga hatua kwa kasi ndio best option.
sioni muelekeo katika serikali hii kwa sababu wanaonekana kutokuwa na dira moja wanayoitekeleza na kila mmoja anacheza akiwa na malengo yake na hawabebi jambo moja kulitoa mwanzo mpaka mwisho bali wanachukua hili na kulitupa kuchukua lile.
mfano serikali ya awamu ya tano imeokana kuibuka na hoja namba moja ikiwa ni kukusanya mapato, kuondoa mianya ya matumizi mabaya. hapa inajumuisha kuondoa ukwepaji kodi, inajumuisha kuhakikisha kila taransaction inayostahili kulipa kodi inalipa kodi kwa maana ya kupanua wigo wa kodi, inajumuisha fedha hizi za kodi ya watanzania hazitamhudumia mtu asiyestahili kuhudumiwa na kodi hizi kwa maana ya kuthibiti wageni, kuhakikisha fedha za watanzania zinanunua bidhaa za watanzania kwanza na pale tu watanzania wanaposhindwa kuzalisha lakini wanahitaji ndipo zikanunue bidhaa za wageni hapa ikizungumzia kudhibiti bidhaa na huduma za kutoka nje.
hapa inajumuisha kuongeza tija katika fedha za watanzania na hapa unaongelea kupanga miji na vijiji ili watu wakae pamoja kwa utaratibu ili iwe rahisi kuwahudumia kwa maana ya kupunguza gharama za kuwapatia hudumia na kurahisisha kazi ya kuwapatia huduma.
serikali imeanza vizuri kwa kufuatilia mianya ya ukwepaji kodi bandarini na TRA na kuanza kuwashughulikia watendaji wa umma wanaofuja fedha za umma. serikali imeonekana kutokupenda watu kukiuka taratibu za makazi.
lakini serikali hii imeonekana kuwa na "new body but the same old engine". ninasema hivyo kwa kuwa serikali ilitakiwa kuacha mfumo wa kizamani wa mwanasiasa kuibuka na hoja akaangalia upande mmoja wa hoja hiyo na kuanza kuitekeleza bila kutumia wataalamu kukaa chini na kutafakari njia sahihi ya kutatua jambo kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
kufuatilia mapato na matumizi ya serikali bila mifumo katika nchi inayosaidia kufanya kazi hiyo ni kazi ngumu sana. kutoa huduma kwa wananchi bila kuwa na mifumo katika nchi inarahisisha huduma hizo ni sawa na kuendelea kutwanga mahindi kwa kinu wakati mashine za kutumia umeme zinawezekana.
vitambulisho vya taifa na mpangilio wa makazi ni nyenzo muhimu sana katika mambo haya. ukisha kuwa na mambo haya ni rahisi sana kurasimisha biashara zote na si kwa lengo tu la kuwawezesha kupata mikopo bali kuhakikisha kila biashara inalipa kodi. ni rahisi sana kumonitor mambo mengi yanayotendeka ndani ya nchi.
kwa mtizamo wangu vitambulisho vya taifa na kupanga makazi kwa mantiki ya arrangement on ground hata bila hati vingekuwa vipaumbele namba moja katika bajeti ya 20162017.
huko nyuma mwalimu nyerere alibaini kuwa watu wa vijijini wakikaa wametawanyika anashindwa kuwahudumia akaanzisha mpango wa kuwakusanya watanzania katika vijiji ili awaweke pamoja awahudumie. mantiki ya kupanga mji ni hiyo hiyo. lakini leo hii tunashindwa kudhibiti miji yetu, wataalamu wanashindwa kubaini hili na hawa wanajikita katika kutengeneza fedha kutoka katika concept ya kupanga mji hivyo wao wanaona kuhalalisha makazi holela ndio jukumu lao. kama nina kiwanja katika makazi holela eti ninyi wao niwape fedha waje kupima kiwanja changu na kunipa hati na hivyo ndivyo wanavyopanga mji!!!!!!. au wanachukua kipande cha ardhi eti wanapima huku watu hawa wanaopimiwa sometimes wanachangamoto za kupata huduma kuliko hata makazi holela kutokana na location.
baada ya vitambulisho na arrangement ya miji yetu nilitegemea kipaumbele cha tatu kingekuwa kuwawezesha watanzania kujihudumia na hizo project tatu kubwa zingetosha kuwa kipaumbele kwa mwaka wa 2016/2017 maana bajeti haituwezeshi kufanya kila kitu na mengine inekuwa kusukuma wizara ziendelee kuboresha utendaji.
je wewe ulitegemea nini?
nilitegemea serikali hii kutambua kuwa kazi ya
serikali ya awamu ya tano imeonekana kubaini
mimi naona wanaokosoa wako sahihi na jamii kutoa mtizamo wao juu ya maoni ya wanaokosoa iko sahihi. kwa njia hiyo wale walioko madarakani wanapata mrejesho wa kile wanachokifanya kama kinakidhi jamii wanachokitaka, walioko madarakani wanapata changamoto juu ya mipango na utekelezaji wao kwa watu kuwakosoa.
hawa wanajamii wanaojiona wana uwezo wa kuwa viongozi wanapata nafasi ya kujua fikra zao kama kweli zinawawezesha kuwa viongozi. hivyo naona kukosoana ni jambo ambalo tunatakiwa kuliendeleza.
kwa mtaji huo mimi binafsi mpaka sasa sioni mwelekeo wa serikali ya awamu ya tano.
sisemi hawa jamaa hawafanyi kazi bali ninachokisema kama ni timu ya mpira ninaona wachezaji wakipiga chenga nyingi, pasi nyingi lakini bila timu kuonekana kuwa na mipango ya kutafuta goli.
magoli katika serikali ni kuwaletea wananchi maisha mazuri kwa kasi. tunapochagua viongozi tunachagua wale ambao kodi zetu zinaweza kutuletea maisha mazuri kwa kasi.
wananchi tunatakiwa kuangalia kwa rasilimali zetu hizi tunalinganisha tukimpa uongozi huyu maisha yetu ndani ya miaka kadhaa yatakuwaje na yule ambaye tunaona maisha yetu yatapiga hatua kwa kasi ndio best option.
sioni muelekeo katika serikali hii kwa sababu wanaonekana kutokuwa na dira moja wanayoitekeleza na kila mmoja anacheza akiwa na malengo yake na hawabebi jambo moja kulitoa mwanzo mpaka mwisho bali wanachukua hili na kulitupa kuchukua lile.
mfano serikali ya awamu ya tano imeokana kuibuka na hoja namba moja ikiwa ni kukusanya mapato, kuondoa mianya ya matumizi mabaya. hapa inajumuisha kuondoa ukwepaji kodi, inajumuisha kuhakikisha kila taransaction inayostahili kulipa kodi inalipa kodi kwa maana ya kupanua wigo wa kodi, inajumuisha fedha hizi za kodi ya watanzania hazitamhudumia mtu asiyestahili kuhudumiwa na kodi hizi kwa maana ya kuthibiti wageni, kuhakikisha fedha za watanzania zinanunua bidhaa za watanzania kwanza na pale tu watanzania wanaposhindwa kuzalisha lakini wanahitaji ndipo zikanunue bidhaa za wageni hapa ikizungumzia kudhibiti bidhaa na huduma za kutoka nje.
hapa inajumuisha kuongeza tija katika fedha za watanzania na hapa unaongelea kupanga miji na vijiji ili watu wakae pamoja kwa utaratibu ili iwe rahisi kuwahudumia kwa maana ya kupunguza gharama za kuwapatia hudumia na kurahisisha kazi ya kuwapatia huduma.
serikali imeanza vizuri kwa kufuatilia mianya ya ukwepaji kodi bandarini na TRA na kuanza kuwashughulikia watendaji wa umma wanaofuja fedha za umma. serikali imeonekana kutokupenda watu kukiuka taratibu za makazi.
lakini serikali hii imeonekana kuwa na "new body but the same old engine". ninasema hivyo kwa kuwa serikali ilitakiwa kuacha mfumo wa kizamani wa mwanasiasa kuibuka na hoja akaangalia upande mmoja wa hoja hiyo na kuanza kuitekeleza bila kutumia wataalamu kukaa chini na kutafakari njia sahihi ya kutatua jambo kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
kufuatilia mapato na matumizi ya serikali bila mifumo katika nchi inayosaidia kufanya kazi hiyo ni kazi ngumu sana. kutoa huduma kwa wananchi bila kuwa na mifumo katika nchi inarahisisha huduma hizo ni sawa na kuendelea kutwanga mahindi kwa kinu wakati mashine za kutumia umeme zinawezekana.
vitambulisho vya taifa na mpangilio wa makazi ni nyenzo muhimu sana katika mambo haya. ukisha kuwa na mambo haya ni rahisi sana kurasimisha biashara zote na si kwa lengo tu la kuwawezesha kupata mikopo bali kuhakikisha kila biashara inalipa kodi. ni rahisi sana kumonitor mambo mengi yanayotendeka ndani ya nchi.
kwa mtizamo wangu vitambulisho vya taifa na kupanga makazi kwa mantiki ya arrangement on ground hata bila hati vingekuwa vipaumbele namba moja katika bajeti ya 20162017.
huko nyuma mwalimu nyerere alibaini kuwa watu wa vijijini wakikaa wametawanyika anashindwa kuwahudumia akaanzisha mpango wa kuwakusanya watanzania katika vijiji ili awaweke pamoja awahudumie. mantiki ya kupanga mji ni hiyo hiyo. lakini leo hii tunashindwa kudhibiti miji yetu, wataalamu wanashindwa kubaini hili na hawa wanajikita katika kutengeneza fedha kutoka katika concept ya kupanga mji hivyo wao wanaona kuhalalisha makazi holela ndio jukumu lao. kama nina kiwanja katika makazi holela eti ninyi wao niwape fedha waje kupima kiwanja changu na kunipa hati na hivyo ndivyo wanavyopanga mji!!!!!!. au wanachukua kipande cha ardhi eti wanapima huku watu hawa wanaopimiwa sometimes wanachangamoto za kupata huduma kuliko hata makazi holela kutokana na location.
baada ya vitambulisho na arrangement ya miji yetu nilitegemea kipaumbele cha tatu kingekuwa kuwawezesha watanzania kujihudumia na hizo project tatu kubwa zingetosha kuwa kipaumbele kwa mwaka wa 2016/2017 maana bajeti haituwezeshi kufanya kila kitu na mengine inekuwa kusukuma wizara ziendelee kuboresha utendaji.
je wewe ulitegemea nini?
nilitegemea serikali hii kutambua kuwa kazi ya
serikali ya awamu ya tano imeonekana kubaini