Miezi 9 iliyopita tuliambiwa Dr Dau aliacha Mfupa NSSF, sasa hivi ina Trilioni 7!!

hv mleta mada una viroba kichwani? kanywe ama kaoge maji ya baridi ili vipungue.

hiyo tril 7 ni projection ya mapato kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii ifikapo 2085. sasa hadi kufikia 2085 ni miez 9 hiyo?

halafu acha kabisa ulevi wa kidini, ww ni mdini sana. dr dau ni fisadi, ova!
Na wewe unachanganya mambo pamoja na kushuku wenzako ni wapiga viroba! Kwahiyo kama hoja ni viroba basi unaonekana nawe umeshavitikwa au huwa unakuja na majibu yako kwenye mada za aina hii!

Mosi, hiyo 7.1 Trillion sio projection bali ni thamani ya uwekezaji kwa mifuko yote by 2015. Kwahiyo, sio miezi 9 bali hiyo ripoti ni ya tangu mwaka jana...

In addition, taarifa haijasema kila mfuko una uwezo wa kustawi hadi 2085 bali hiyo 2085 ni kwa NSSF huku PPF ikiwa hadi 2075 na LAPF hadi 2058! Kwahiyo mfuko uliokadiriwa kuwa na uwezo wa ku-survive kwa muda mrefu zaidi ni NSSF!

Sasa hapo unaweza kutafakari kwa kuangalia miradi ya mifuko mbalimbali na ndipo unaweza ku-predict ukubwa wa share ya kila mfuko ndani ya hiyo 7.1 Trillion.

Na ikiwa umeshaambiwa ni NSSF ndiyo yenye uwezo wa kustawi muda mrefu zaidi; sidhani kama utahitaji kutumia calculator just kufahamu ni mfuko upi miongoni mwa yote ndiyo ina largest percentage share kwenye hiyo 7.1
 
We ni pusi hebu weka hiyo nukuu alosema daraja LA kigamboni ni mradi wa hovyo,alichosema baadhi ya miradi ni ya hovyo hasa dege na majengo yanaoishi mapanya, sasa kama kuna miradi ya hizo trilion je urejeshwaji wa hizo hela ukoje,hata siku moja hakuna alobisha kuwa Nssf ina miradi ila ina miradi 1.ya kifisadi na 2. Hewa ila 3.liquidity ilikuwa mashakani maana waloshindwa hata kulipa mshahara ikabidi wa discount shares na kuziuza,cash flow ilikuwa Shida,bado majibu mazuri yatakuja ni swala LA muda tu.
 
Naona kuna jazba hapa na pofu!! Tusubiri ile report itoke tuone wale wakurugenzi watarudi au watapanda kizimbani!! Tusubiri!!! Salaam kwa FJ
 
View attachment 449437 View attachment 449438

Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa

Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?

Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?

Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau

lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii

Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi
Pole kwa kutoyajua matatizo ya ndani ya NSSF aliyoyatengeneza Dr Dau!!
 
Wengi awamu hii akiwemo Faru John walijaribu kuonyesha kwamba awamu tangulizi ilikuwa failure unfortunately walishindwa fahamu kwamba data na takwimu ndio zinazobainisha uongo na ukweli.

Strategically Dau hakupaswa kuwa balozi(ingawa una hadhi kuliko ukurugenzi wa NSSF) alipaswa kuwekwa sehem critical kama wizara ya madini na nishati(possibly kuwa waziri kumuepusha na siasa za ubosi) soon tungeona faida ya madini.
What??? Are you serious!!!
 
I am.very happy this post still exist since posted. I did post the same news earlier and was nowhere to be seen.

Truth be told , watanzania tunaongoza Afrika Mashariki kwa UNAFIKI,, WIVU, UONGO NA UVIVU WA KUFANYA KAZI NA KUFIKIRI. Kwa hivyo akitokea Mtanzania mwenzetu kafanya vizuri na ana maendeleo basi ni lazima tumsakame mpaka aanguke au tumharibie jina.

Kwa upande mwingine utaona ndugu zetu wafanyi biashara wa kiafrika wakifanikiwa pia tunawaandama katoa wapi pesa au alipoataje, lazima no fisadi. Na akiwa na rafiki serekalini hata kama walisoma pamoja , basi huyo ndiye anayemsaidia kuiba.

Hapa hutasikia mfanyi Biashara wa Kihindi, Mwarabu, Mzungu au Msomali akiandamwa kama ndugu zetu. Hao wenye makabila hayo wakishika nyadhifa za kiserekali hawaandamwi kama mbantu.

Hebu tujikumbushe wakati wa mwinyi na yule kiongozi mwenye Asili ya kihindi ( ALNOOR KASSAM )naliyepewa madaraka ya kuyauza mashirika na viwanda vya Umma hutasikia akitajwa
 
hv mleta mada una viroba kichwani? kanywe ama kaoge maji ya baridi ili vipungue.

hiyo tril 7 ni projection ya mapato kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii ifikapo 2085. sasa hadi kufikia 2085 ni miez 9 hiyo?

halafu acha kabisa ulevi wa kidini, ww ni mdini sana. dr dau ni fisadi, ova!

Lakini mahakama ya mafisadi imekosa kesi.

Acha chuki na Dr.Dau

Miradi inaendeshwa kwa akili na wala sio sadaka kama vigango na usharika.
 
Walipe mafao ya kujitoa kwa wakati sio mpaka usubiri miezi 6 au walipe fao la kutokuwa na ajira wasilete porojo .
 
I am.very happy this post still exist since posted. I did post the same news earlier and was nowhere to be seen.

Truth be told , watanzania tunaongoza Afrika Mashariki kwa UNAFIKI,, WIVU, UONGO NA UVIVU WA KUFANYA KAZI NA KUFIKIRI. Kwa hivyo akitokea Mtanzania mwenzetu kafanya vizuri na ana maendeleo basi ni lazima tumsakame mpaka aanguke au tumharibie jina.

Kwa upande mwingine utaona ndugu zetu wafanyi biashara wa kiafrika wakifanikiwa pia tunawaandama katoa wapi pesa au alipoataje, lazima no fisadi. Na akiwa na rafiki serekalini hata kama walisoma pamoja , basi huyo ndiye anayemsaidia kuiba.

Hapa hutasikia mfanyi Biashara wa Kihindi, Mwarabu, Mzungu au Msomali akiandamwa kama ndugu zetu. Hao wenye makabila hayo wakishika nyadhifa za kiserekali hawaandamwi kama mbantu.

Hebu tujikumbushe wakati wa mwinyi na yule kiongozi mwenye Asili ya kihindi ( ALNOOR KASSAM )naliyepewa madaraka ya kuyauza mashirika na viwanda vya Umma hutasikia akitajwa
Hii dhana Ililetwa Na ujamaa ambao ulishindwa,
 
Watoe data za ukweli wawe ZIKA?!! tuendelee kuishi tu kwa kuwa hakuna uhakiki wa oxygen.
 
View attachment 449437 View attachment 449438

Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa

Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?

Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?

Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau

lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii

Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi
Dau kajitahidi sana huo ndio ukweli ....kuna mambo kama ununuzi wa ardhi ya miradi ya arusha city na dege ......yanahitaji marekebisho ili kurekebisha bei za ardhi na mengine ,
kuna wakati huku tulikua tunawashindanisha DAU na KIMEI ..ilikuwa katika kuchagiza tu.sidhani kama kutatokea pair nyingine kama hiyo kwa sasa ....wote hao wameyatoa mashirika mbali na Magu angetakiwa awaweke karibu wamshauri.
NSSF aliyoipokea DAU toka kwa Mustapha Mkullo ....ilikuwa na assets chache sana ....sawa na CRDB aliyoipokea Kimei late 90s ilikuwa imebakisha branch hazizidi NNE nchi nzima na walikuwa mbioni kufunga bank kwa kufilisika ...leo hii wako kila wilaya na ndio bank kubwa ....
Mradi kama wa Dege city kwa stage uliokwishafikia nitamshangaa sana KIHUHIRA na huyo bosi wake kama watauzira.
 
Is this a joke or what?
Trillion 7 within 9 months ?
Hapo unakuta Machinga Complex inapewa thamani kama ilivyokadiriwa kwenye feasibility study wakati linatengeneza hasara kila uchao!
 
Back
Top Bottom