Miezi 9 iliyopita tuliambiwa Dr Dau aliacha Mfupa NSSF, sasa hivi ina Trilioni 7!!

Dau kajitahidi sana huo ndio ukweli ....kuna mambo kama ununuzi wa ardhi ya miradi ya arusha city na dege ......yanahitaji marekebisho ili kurekebisha bei za ardhi na mengine ,
kuna wakati huku tulikua tunawashindanisha DAU na KIMEI ..ilikuwa katika kuchagiza tu.sidhani kama kutatokea pair nyingine kama hiyo kwa sasa ....wote hao wameyatoa mashirika mbali na Magu angetakiwa awaweke karibu wamshauri.
NSSF aliyoipokea DAU toka kwa Mustapha Mkullo ....ilikuwa na assets chache sana ....sawa na CRDB aliyoipokea Kimei late 90s ilikuwa imebakisha branch hazizidi NNE nchi nzima na walikuwa mbioni kufunga bank kwa kufilisika ...leo hii wako kila wilaya na ndio bank kubwa ....
Mradi kama wa Dege city kwa stage uliokwishafikia nitamshangaa sana KIHUHIRA na huyo bosi wake kama watauzira.
Upo sahihi kabisa lakini hata hilo la viwanja... ni vile tu watu hatutaki kuelewa evaluation ya land for equity! Hapa nishasema sana, unapoingia ubia na mwenye ardhi halafu percentage share yake ikafika angalau 10% wakati jengo linalojengwa ni la gharama; hapo ukifanya land evaluation LAZIMA itakuwa above market value kwa hata mara 5 na zaidi!!!

Kwahiyo kimsingi, issue wala sio "bei" ya hiyo ardhi bali percentage ownership ya jengo na total value ya jengo husika!

Mbaya zaidi, wanaomiliki hizi ardhi ni real estate developers ambao piga ua hawezi kukubali kukuuzia kwavile anafahamu mambo yanaendaje kwenye real estate industry na anafahamu akikuuzia ina maana atafanya hivyo kwa kuangalia market value!! By the way, kwanini akuuzie ikiwa na yeye ni real estate developer!!!

Kwavile wanafahamu, mara zote atakutaka muingie ubia... so, is up to ukubali kuingia ubia na mimi or tafuta ardhi somewwhere else!! Na hili suala hata watu wa kawaida hivi sasa wanajua kama wanamiliki prime areas! Kwa mfano, zamani ilikuwa rahisi sana kuhamisha watu pale Kariakoo... lakini siku hizi hawakubali na badala yake wanakuambia jenga na yeye ummilikishe sehemu ya jengo husika... very brilliant!

Na kwa kutokana na hilo, Dau pale hata akipelekwa mahakamani kwa tuhuma za "kununua" ardhi ekari moja kwa 800 Million hawezi kukutwa na hatia kwa sababu hazikukunuliwa kwa hiyo bei bali zimethaminishwa to that value... thamani iliyochangiwa sana na %age ownership na thamani ya mradi!!

Wakitaka kumtia hatiani, labda waangalie ikiwa hapakuwa na ujanja ujanja... kwamba, ilikuwa very possible kwa mbia kupata 5% ownership lakini akapewa 20%... hapo ndipo unaweza kujenga kesi ngumu!
 
View attachment 449437 View attachment 449438

Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa

Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?

Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?

Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau

lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii

Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi
Gazeti la HabariLeo limeongelea "Mifuko ya Jamii" collectively na siyo NSSF, ingawa NSSF ni mmojawapo ya mifuko ya jamii.
 
Mwezi uliopita serikali ilikopa fedha kwa ajili ya kulipa mifuko ya kijamii
 
View attachment 449437 View attachment 449438

Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa

Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?

Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?

Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau

lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii

Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi

Ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.
 
Tulisema hapa kuwa kuna chuki tu kwa Dau... lakini watu wakajifanya ujuaji mwingi, haya sasa jibuni hoja
 
Upo sahihi kabisa lakini hata hilo la viwanja... ni vile tu watu hatutaki kuelewa evaluation ya land for equity! Hapa nishasema sana, unapoingia ubia na mwenye ardhi halafu percentage share yake ikafika angalau 10% wakati jengo linalojengwa ni la gharama; hapo ukifanya land evaluation LAZIMA itakuwa above market value kwa hata mara 5 na zaidi!!!

Kwahiyo kimsingi, issue wala sio "bei" ya hiyo ardhi bali percentage ownership ya jengo na total value ya jengo husika!

Mbaya zaidi, wanaomiliki hizi ardhi ni real estate developers ambao piga ua hawezi kukubali kukuuzia kwavile anafahamu mambo yanaendaje kwenye real estate industry na anafahamu akikuuzia ina maana atafanya hivyo kwa kuangalia market value!! By the way, kwanini akuuzie ikiwa na yeye ni real estate developer!!!

Kwavile wanafahamu, mara zote atakutaka muingie ubia... so, is up to ukubali kuingia ubia na mimi or tafuta ardhi somewwhere else!! Na hili suala hata watu wa kawaida hivi sasa wanajua kama wanamiliki prime areas! Kwa mfano, zamani ilikuwa rahisi sana kuhamisha watu pale Kariakoo... lakini siku hizi hawakubali na badala yake wanakuambia jenga na yeye ummilikishe sehemu ya jengo husika... very brilliant!

Na kwa kutokana na hilo, Dau pale hata akipelekwa mahakamani kwa tuhuma za "kununua" ardhi ekari moja kwa 800 Million hawezi kukutwa na hatia kwa sababu hazikukunuliwa kwa hiyo bei bali zimethaminishwa to that value... thamani iliyochangiwa sana na %age ownership na thamani ya mradi!!

Wakitaka kumtia hatiani, labda waangalie ikiwa hapakuwa na ujanja ujanja... kwamba, ilikuwa very possible kwa mbia kupata 5% ownership lakini akapewa 20%... hapo ndipo unaweza kujenga kesi ngumu!

Hakuna kitu kibaya kama kuongozwa sehem yeyote na mtu mwenye roho maskini ...yuko tayari kuleta hasara kubwa tu ili kukomoa.......sasa wame suspend miradi ambayo ilishaanza ...na matokeo yake kuja kuanza upya tutalipa twice yote at the expense ya CHUKI ....kama walidhani shares walizopewa zilikuwa exgarreted kuna ubaya gani kama angewaita mezani ili waachie baadhi ya share zirudi NSSF au ziende CONSOLIDATED HOLDINGS .etc ...
by time table DEGE ESTATE ilitakiwa kukamilika sambamba na daraja along with access toll road na NSSF wangekuwa wanapiga pesa darajani na kwenye toll road na bado kwenye kuuza apartments .....tungekuwa mbali sana

MNAVYOONA MRADI ULISHAFIKIA 80% BADO FINISHING NA SASA UMEZIRWA NA PIA INAONEKANA JIJI HILO LINGEKUWAJE HAPO LIKIISHA
 

Attachments

  • dege 1.jpg
    dege 1.jpg
    22.2 KB · Views: 139
  • dege 2.jpg
    dege 2.jpg
    63.6 KB · Views: 115
  • dege 3.png
    dege 3.png
    155.1 KB · Views: 45
Mtoa post tunaamini vipi kama zipo triolini 7 kweli wakati nchi imefilisika
Hamna dawa Hospitali
Mikopo ya wanafunzi
Vi wonder vimeshamiri
Miradi ya maendeleo imekufa
Ajira hadi za walimu zimeshindwa tolewa?Mimi nadhan mpaka machi hadi mishahara itashindwa kulipwa kama Ugiriki
 
Hkn chchote kikubwa kinachowasumbua upande wa pili ni Chuki binafsi kwa Dk Dau hkn saidi lkn wakae wakijua ni upumbavu tu ndio umewajaa
 
Wengi awamu hii akiwemo Faru John walijaribu kuonyesha kwamba awamu tangulizi ilikuwa failure unfortunately walishindwa fahamu kwamba data na takwimu ndio zinazobainisha uongo na ukweli.

Strategically Dau hakupaswa kuwa balozi(ingawa una hadhi kuliko ukurugenzi wa NSSF) alipaswa kuwekwa sehem critical kama wizara ya madini na nishati(possibly kuwa waziri kumuepusha na siasa za ubosi) soon tungeona faida ya madini.

Wa TZ tunaugonjwa wa kusahau. Management almost yote ya NSSF imesimamishwa kazi kupisha uchunguzi. Kuna kamati ya bunge iliainisha mapungufu makubwa kwenye uwekezaji wa miradi mbali mbali ikiwemo ununuzi wa ardhi kwa bei kubwa iasiyowezekana. Leo hii unaweza kusema unachosema. Kazi tunayo.
 
hata mimi nimeshangaa. heading za magazeti mawili tofauti zimechambuliwa kwa contents tofauti. Does "mifuko ya Jamii" means NSSF pekee? Hizo shs trilioni saba ni makadirio ya mitaji ya uwekezaji ya mifuko yote itakapofika 2085 yaani miaka 69 ijayo so ni wastani wa 0.13 trilioni kwa mwaka kwa mifuko yote kwa umoja wao hivyo ni kakitu kadooooogo sana sio cha kujivunia hata kidogo. Hapa projection ime-assume hakutakuwa na janga lolote zito la kisiasa, kisera, kiuchumi nk ndani ya miaka hiyo 69.
 
Kwa hio ajili ya ufisadi wake ndo maana akapewa promotion ya kuwa balozi... Au alitakiwa apelekwe Kwenye mahakama ya mafisadi? Wacha fitna na chuki za kidini.... Watu kama wewe ndo wachawi wa Maendeleo ya nchi hii.
 
Hapo unakuta Machinga Complex inapewa thamani kama ilivyokadiriwa kwenye feasibility study wakati linatengeneza hasara kila uchao!

Kwa Machinga Complex wala hata usiwalaumu NSSF, wale walikuwa financiers wa mkopo kwa City Council. Iwapo mradi hauzalishi sio concern yao jambo la msingi ni city council kulipa deni.
 
Hapo unakuta Machinga Complex inapewa thamani kama ilivyokadiriwa kwenye feasibility study wakati linatengeneza hasara kila uchao!
Katika biashara kitu hasara na faida ni vitu tegemeo, kuendana na hali ya biashara. Thamani ya asset haiwezo kupungua kwa sababu wakati mradi umekuwa wa hasara.
 
View attachment 449437 View attachment 449438

Magazeti haya haya yalisema NSSF imefilisika na kwamba Mkurugenzi Mkuu mpya kaachiwa fupa

Ina maana kuondoka kwa Dr Dau NSSF miezi 9 ndio mafanikio makubwa Kiasi hiki? Kutoka kuwa Fupa Hadi kuwa Imara kifedha na balance ya TRILLION 7 Kwa mpaka 2085?

Kwa miradi gani mpya iliyoanzishwa na yenye tija kiasi hicho?

Maana huyu Mkurugenzi mpya amesimamisha miradi yote na akalalamika miezi 3 iliyopita alisema hakuna mradi mbaya, wa hovyo na usio na manufaa kwa taifa na wenye kutia hasara kama Daraja la Kigamboni ambalo ni mmoja ya legacy kubwa ya Dr Dau

lakini wiki iliyopita kabadilika na kanukuliwa akisifia kuwa Daraja Kigamboni lina print pesa kuliko BOT na ni mradi bora zaidi kuliko miradi yote iliyofanywa na pension funds za nchi hii

Mwenyezi Mungu Ni Mjuzi
Kashapewa maelekezo chakuongea
 
hata mimi nimeshangaa. heading za magazeti mawili tofauti zimechambuliwa kwa contents tofauti. Does "mifuko ya Jamii" means NSSF pekee? Hizo shs trilioni saba ni makadirio ya mitaji ya uwekezaji ya mifuko yote itakapofika 2085 yaani miaka 69 ijayo so ni wastani wa 0.13 trilioni kwa mwaka kwa mifuko yote kwa umoja wao hivyo ni kakitu kadooooogo sana sio cha kujivunia hata kidogo. Hapa projection ime-assume hakutakuwa na janga lolote zito la kisiasa, kisera, kiuchumi nk ndani ya miaka hiyo 69.

Tuacheni utani kwenye mambo ya msingi haiwezekani na haiingii akilini mifuko yote I we na uwekezaji unaofikia Trillion 7 pekee by 2085.

Na huo wastani 0.13 Trillion kwa mwaka ni ndogo sana kuwa uwekezaji wa mifuko yote.

Ukiangalia uwekezaji wa NSSF pekee kwa miaka kumi iliyopita uwekezaji wao unazidi 2 Trillions.

Angalia tu flagship projects, uwekezaji wa Majengo Dsm, Arusha, Kigoma na maeneo mengine nchini.

Angalia thamani ya Daraja,

Mikopo wanayoidai serikali kuanzia UDOM, TB, pesa za Loan Board.

2085 ni mbali sana na hata sasa nahisi washapita hiyo value tajwa
 
Back
Top Bottom