Mtende
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 6,385
- 7,295
kuliko your father?
hapana,kuliko mamako na babako
kuliko your father?
Leo mnaliliaF*ck Kikwete ndg na marafk zake kwa wasivyoupenda umma wote wa raia 40M...go to hell
Dah! Enzi hizo, naona watu wameishasahau kwa kasi ya ajabu!kweli ndugu fikra zako zimewekwa uzio,naamini unavaa miwani ya mbao!alichukua nchi kuongeza umaskin?gharama za maisha zimekuwa juu ukilinganisha na vipato vya watu!wewe ni mmoja kati ya walioweka akili zao mfukoni,kama alichukua nchi ili aifikishe hapa tulipo,bora asingepewa nchi!angalia deni la taifa linavyokua,angalia udhibiti wa pesa ulivyo mbovu!mtu akileta hoja,hata kama ina mantiki anapuuzwa,ona mbatia alivyowaumbua!sasa mmeleta div 5!kweli sikio la kufa...!
Kama kweli hujaelewa kilichoandikwa na mleta maada na mantiki yake then an idiot is clever than you are!