Mie naunga mkono Kikwete ni dhaifu sana, he is too weak n boring sometimes

Mnachekesha kweli, Makosa ya Mkapa mnataka hakimu awe KIKWETE, kwa nini hamkumhukumu
wenyewe kama mnavyofanya kwa JK hivi sasa tena kwa makosa ya mwingine?


Basi hajuwi kwanini aliutaka urais. Hiyo ndo kazi ya kiongozi kurekebisha, kudumisha heshima na nidhamu kusimamia maadili nk.

Nawewe pia hujuwi unatetea nini. kama Mkapa alikwiba ulitaka nani ashughulike na upuuzi huo. Ngoja waingie wengine

Nadhani atasalimika mzee mwinyi tu, lakini akina Chenge, Kikwete, magufuli, Mkapa, Mzee wa ndovu nk lazima wawajibe kwa

kushindwa kuiheshimu na kuisimamia katiba.
 
Mkuu MZIMU

Wakati mwingine mie huwa nacheka sana napawasoma watu humu wanausifia utawala wa Mkapa.

Kweli unachosema kuna siku watamtangaza mtakatifu.

Hiyo bayana yako ni somo tosha.
Nakuhakikishia kiongozi, JK akitoka madarakani,baada ya nyerere atakumbukwa yeye, ameipaisha Tanzania sana, mambo ya uhuru wa vyombo vya habari, kukuza demokrasia , genda balance nk. Huyu jamaa mambo aliyoyafanya ni ya viwango vya kimataifa, sasa watu wanataka apite mitaani anawaambia nilisema maisha bora kwa kila mtanzania , basi pesa hizi hapa. Ujinga mtupu tunashabikia
 
Kuna mwehu mmoja na tumbo lake alijidai kwenda msituni, ila nawaambia hakuna kipindi rahisi cha kuikomboa nchi hii kama leo hii. Wewe afisa wa jeshi mwenye nia ya kweli kuikomboa nchi hii ANZA MIPANGO YA KUFANYA UTUMISHI WA TAIFA WA LAKO LEO!

Guys, tutajuta tukiachia ujinga huu unaofanyika leo!
 
Kikawaida tunasema kwenye mjadala wowote waerevu huleta hoja na hata kama ni kutoa utetezi basi weka hoja yako kwa mpqngilio tukusome....sasa so far naona unachofanya ni kutetea tu kitu usichotolea ufafanuzi.....kiukweli maisha ni magumu na lawama lazima zimuendee raisi ambaye ndiye mdau mkuu wa uongozi...huo uzembe wa watendaji wake sisi sio wawajibikaji ila ni yeye jukumu lake.Haiwezejani raisi kuingia madarakani familia na ndugu zako maisha yanabadilika yanakuwa mazuri isivyo kawaida wakati mtanzania wa kawaida anaishia nyumba za kupanga uswahilini huku kipato kikiwa chini na hakuna matarajio yoyote ya future zaidi ya hofu ya kesho itakuwaje.Usije ukatoa kauli kama hizi za kusifia uzembe wa mtu wakati hajatimiza wajibu mbele za wananchi,maisha ni magumu sasa hivi watu wamevurugwa hawajui kesho yao ikoje unaweza kupigwa ukaumizwa vibaya......mwenzako m'moja juzi hapo dodoma amebishana na raia wamempa kichapo hadi kalazwa hospitali yote kutetea upuuzi wa uozo wanaofanya wengine......shtuka kijana kuwa mzalendo lipende taifa lako kana tamaa utenge ufisadi.
 
Nakuhakikishia kiongozi, JK akitoka madarakani,baada ya nyerere atakumbukwa yeye, ameipaisha Tanzania sana, mambo ya uhuru wa vyombo vya habari, kukuza demokrasia , genda balance nk. Huyu jamaa mambo aliyoyafanya ni ya viwango vya kimataifa, sasa watu wanataka apite mitaani anawaambia nilisema maisha bora kwa kila mtanzania , basi pesa hizi hapa. Ujinga mtupu tunashabikia

Atakumbukwa kwa haya yafutayo.

attachment.php


Huyu mwandishi mhanga wa habari, anawakilisha kundi kubwa la wahanga malehemu na wengine ngeu, wametolewa macho nk

168665_1757079095912_1507034707_31789985_6559329_n.jpg


Ukidai haki kwa kikwete huna nafasi, ila ukiuza unga, kuiba maliasili, kufisadi nchi wewe ni rafiki kwake-Chenge, mzee wa ndovu nk


article-2387651-1B374D74000005DC-653_306x458.jpg



1371450_10200746553170104_445747008_n.jpg

Tindikali zatabalaki zanziba, mpaka leo ukimuuliza kikwete nani anawatesa washeha, mashehe au mapadri zanzibar hanamajibu.

IMG_2380.JPG



t1.jpg


Anapenda kujitowa ufaham, badala ya kudhibiti majanga, watu wanateseka halafu aandikwe kuwatembelea wahanga-ZBR

attachment.php



Kama kawaida kujlia hali wahanga iliapate huruma ya wananchi kudhibiti yasitokeeee hajuwi - Arusha
 
Mnachekesha kweli, Makosa ya Mkapa mnataka hakimu awe KIKWETE, kwa nini hamkumhukumu
wenyewe kama mnavyofanya kwa JK hivi sasa tena kwa makosa ya mwingine?
Mkuu thatha.

Unapasua mbavu, teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Najua mnatoa mapovu kwa vile mnajua mmeandika pumba tu humu hakuna jipya, swaga zile zile zisizomnyika usingizi rais, subirini mtakuja kumkumbuka kwa mema yake na moyo wa staha kwenu mavuvuzela

Haya yote unayoyatetea ni kwa manufaa ya nani ndg yangu.
Naona wewe ndiyo unatoka povu jingi sana.
Yote hayo yameletwa na CCM.
Tukishaiondoa ccm nafikiri hata fikra zenu zitakuwa sawa
 
Mkapa ni chanzo cha matatizo, yote uloyasema nikweli kabisa, lakini huyu wasasa imekithiri amechukuwa hatuagani?????????

Nilidhani Kikwete angejitutumuwa walau

1. kurejesha mali zote za watanzania zilizotolewa kinyemela na mkapa

-Nyumaba za serikali zingerejeshwa sambamba na kumuwajibisha magufuli......kinyume chake kwa udhaifu anampa shavu zaid

-Viwanda, migodi nk vingerejeshwa serikali napia kuvifufua, vijana wengi wangepata ajira mfano viwanda vya nguo nk kikwete ziiii

-Mikataba feki yote ingefutwa kwa mujibu wa sheria, kinyume chake kikwete ameendeleza wizi mpaka kuwapigilia mbali wazee wa gesi Mtwara. madawa ya kulevya, twiga nk kusamehe hata majizi ya EPA eti rudisheni-wezi wa kuku wanafia gerezan

2. Angekuwa mbunifu wa kuikuza na kuindeleza elimu na Afya ya watanzania, badala yake tumeshuhudia madudu juu ya madudu.

Udhaifu wa huyu bwana katika kufanya maamuzi, kuchukuwa hatua na kuwajibishana ni mkubwa kupita kiasi, sasa hivi TRA

wazee wakodi zetu wanajitekea tu, nayeye kama Rais anacheka na kupaa angani mithili ya popo ama Bata kukin tutarajie ninin

kwa mtu huyu???

Unazo hoja nzuri ila hujazipangilia vizuri.

1. Suala la nyumba ni moja ya maadhimio yake ambayo aliyatangaza hadharani. Nini kilimkuta akarudi nyuma, mimi sijui. Ila ninachodhani, Chama chake kinahusika na kurudi nyuma kwake.

2. Suala la mikataba mibovu alioingia Mkapa, yeye kama yeye alilitolea maelezo hilo kwa kusema kwamba, Mikataba ilioingiwa ni yakimataifa. Hivyo sio rahisi kuvunja Mikataba hiyo. Ila tutawaomba wadau wenzetu tuipitie upya mikataba hiyo kwa ridhaa yao, nakuangalia wapi tunaweza kukubaliana.

Nadhani mnajua kua, kunakipindi Tajiri Mmoja Mkubwa hapa Nchini alimwagiwa Ngano yake hapa akiambiwa kua ime expire. Jamaa hakufanya fujo na Mtu, ila Mtu mmoja alimshauri hivi, Ndugu yangu hawajamaa usipambane nao, wewe nenda Mahakama ya kimataifa, ukwashitaki wale waliokuuzia ambao inasemekana ni moja kati ya nchi za Scandinavia. Wakikuuliza Ushahidi wako, wataje serekali ya Tanzania waliogundua na kukumwagia ngano yako. Jamaa akafanya hivyo. Wazungu wakahamaki. Wakaja mbio mbio na kuwahoji vijana wetu wakazi kulikoni. Jamaa wakajamba jamba hapo, ili ficha ficha Mambo wakamlipa jamaa Mabilioni ya Fedha na kumpa na Ardhi ndani ya Jiji ya Dar-es-salaam pale walipokua hawana fedha zaidi za kumlipa.

So never play with an international contract.

Kwahiyo haikua rahisi kurekebisha chemical changes alizotufanyia Mkapa bila kuiingiza nchi katika Matatizo makubwa kuliko hayo yaliyopo.
 
Back
Top Bottom