Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
Mmmmhhh Nazjaz, hii msg yako ina mvuto... kukumbukana ni muhimu sana... kwema lakini huko kwenu? Karibu kahawa!!! :coffee:Mko wapi rafiki zangu? Mbona kimya sana?
l miss u, hebu tukumbukane, msinitupe mpenzi wenu wa moyo
Niaje Arifuuu:brushteeth:
Mmmmhhh Nazjaz, hii msg yako ina mvuto... kukumbukana ni muhimu sana... kwema lakini huko kwenu? Karibu kahawa!!! :coffee:
hapa shwari mkuu, tunasindikiza sredi takatifu ya kufuta migomo ya PM kwa mheshimiwa nazjaz.Niaje Arifuuu
WARNING: if you are too serious you better avoid me cuz I always define life as a joke.naona mmekosa cha kufanya
Firstlady anakukaba sana mwambie asifanye hivyo hata Yesu hapendihapa shwari mkuu, tunasindikiza sredi takatifu ya kufuta migomo ya PM kwa mheshimiwa nazjaz.
Firstlady anakukaba sana mwambie asifanye hivyo hata Yesu hapendi
dah! balaa kamanda! yaani hapa ukiona nimepotea mwezi pia usishangae. lakini nataka nipige changa la macho nielekee dodoma sjui nitunge script gani?Firstlady anakukaba sana mwambie asifanye hivyo hata Yesu hapendi
Weee jamaa weee ban uliyokuwa umepigwa imeisha?naona mmekosa cha kufanya