Microsoft wazindua surface studio, all in one PC kwa bei ya gari

Microsoft wazindua surface studio, all in one PC kwa bei ya gari

Sasa mkuu kweny productivities window yupo vizur compare to mac. Ata hardware bado pc zina features nyingi mfano ukiangalia sasahv kuna laptop zina 4k dispay while mac ana retina display ambayo ni 2k
Huwezi kumuiga mtu halafu ubakie pale ulipomuiga lazima uongeze manjonjo kidogo ili kujitofautisha nae
Kwenye soko la ushindani unatakiwa kuwa mbunifu sana, na ndo anachokifanya Apple kwa kutumia silaha ya design.
 
Ndio maana mm windows sibanduki ng'oo...mambo yote yapo huku.
 
Mkuu, sorry unaposema kuwa Apple hafanyi utafiti una maana gani!? Mbona bidhaa zake zimekuwa tofauti na wengine kwenye soko, je utofauti huu nani anamfanyia utafiti!? Sawa inawezekana kweli hakuna Apple alichobuni ila amekuwa ni mwanamapinduzi kwa vitu vilivyobuniwa na wengine aidha kwa kuviacha njiani au kukosa uhalisia, mfano mzuri ukitazama kwenye finger print (touch ID), kabla Apple hajaanza kuitumia kuna baadhi ya device za makampuni tayari walishaanza kuzitumia lakini hazikuwa efficiency kama Apple alipointroduce touch ID, baada ya touch ID ndo tukaona wengine wakafuata, pia kwenye high resolution display kwenye simu, iPhone 4 retina display ndo simu ya kwanza kuwa na resolution kubwa ndo zinafuata simu nyingine ambapo leo tunazungumzia 4K display ni mifano michache tu ya Apple kufanya mapinduzi kwenye mifupa iliyowashinda fisi na kuifanya steki
Mkuu kama apple ndo wakwanza kuwa na simu yeny resolution kubwa (retina display)mbona mpaka leo yeye hajafika kwenye 4k ambayo other company like sony wameshaintroduce. Tukiangalia water resistance features ambayo ndo imekuwa introduced for the first time in iphone 7 na 7 plus, company like sony na samsung tang 2013 walikuwa wameshaianzisha kweny flagship zao (xperia z series na galaxy s5). Kweny camera za simu bado ntampa credit samsung kweny galaxy s na note series compare to apple.
 
kwanini unasema hivyo? kuna maeneo kibao microsoft yupo juu ya apple kama
-gaming
-enterprises
-office na productivity
-desktop & laptop na soko la pc kwa ujumla (windows)
-server
-cloud etc
apple anauza brand yaani jina lakini microsoft namba nyingine
 
Mkuu kama apple ndo wakwanza kuwa na simu yeny resolution kubwa (retina display)mbona mpaka leo yeye hajafika kwenye 4k ambayo other company like sony wameshaintroduce. Tukiangalia water resistance features ambayo ndo imekuwa introduced for the first time in iphone 7 na 7 plus, company like sony na samsung tang 2013 walikuwa wameshaianzisha kweny flagship zao (xperia z series na galaxy s5). Kweny camera za simu bado ntampa credit samsung kweny galaxy s na note series compare to apple.
Apple walipointroduce retina display walikuwa na imani ndio display ambayo ndio mwisho wa binadamu kudifferenciate between pixels kwenye kioo yaani kuiona pixel moja kwenye kioo kwa macho ya kawaida ni ngumu, suala kawa nini Apple kastuck kwenye retina display hajaenda kwenye 4K kama wengine, Apple anapodesign hardware zake huwa anazioptimize na OS yake (iOS), kutokana na udogo wa betri ya simu yake tuchukulie iPhone 7 yenye betri 1960mAh na kioo cha 4.7" ukaiwekeea 4K display efficiency ya utumiaji betri itapungua si ajabu ukakuta simu inakaa na betri hata masaa manne au matatu, kumbuka the more display resolution the more battery usage na usishangae ni kwa nini simu za Android zinazopack battery zaidi ya 3000mAh lakini matumizi yake hayana utofauti mkubwa na simu za Apple ambazo zinatumia battery za 1900mAh. Hata mimi nawaunga mkono Apple kwenye suala la display, simu ikiwa na display ya HD au FHD inatosha kabisa hizi 4K nahisi tuzipeleke kwenye PC na TV
Mkuu, kwenye suala la technology kila kampuni ina sehemu yake ya kujidai kama pioneer, na kuigana ni muhimu kama hicho kitu kina manufaa kwake kutokana na demand ya soko lake, water and dust resistant kaanzisha Sony kama sikosei hata huyo samsung kuiga kwa Sony, kwa hiyo usishangae Apple naye kuiga
 
Apple walipointroduce retina display walikuwa na imani ndio display ambayo ndio mwisho wa binadamu kudifferenciate between pixels kioo yaani kuiona pixel moja kwenye kioo kwa macho ya kawaida ni ngumu, suala kawa nini Apple kastuck kwenye retina display hajaenda kwenye 4K kama wengine, Apple anapodesign hardware zake huwa anazioptimize na OS yake (iOS), kutokana na udogo wa betri ya simu yake tuchukulie iPhone 7 yenye betri 1960mAh na kioo cha 4.7" ukaiwekeea 4K display efficiency ya utumiaji betri itapungua si ajabu ukakuta simu inakaa na betri hata masaa manne au matatu, kumbuka the more display resolution the more battery usage na usishangae ni kwa nini simu za Android zinazopack battery zaidi ya 3000mAh lakini matumizi yake yana utofauti na simu za Apple ambazo zinatumia battery za 1900mAh. Hata mimi nawaunga mkono Apple kwenye suala la display, simu ikiwa na display ya HD au FHD inatosha kabisa hizi 4K nahisi tuzipeleke kwenye PC na TV
Mkuu, kwenye suala la technology kila kampuni ina sehemu yake ya kujidai kama pioneer, na kuigana ni muhimu kama hicho kitu kina manufaa kwake kutokana na demand ya soko lake, water and dust resistant kaanzisha Sony kama sikosei hata huyo samsung kuiga kwa Sony, kwa hiyo usishangae Apple naye kuiga
Hapo unenena atleast nmekuelewa maana tumekuwa wamoja
 
Apple walipointroduce retina display walikuwa na imani ndio display ambayo ndio mwisho wa binadamu kudifferenciate between pixels kwenye kioo yaani kuiona pixel moja kwenye kioo kwa macho ya kawaida ni ngumu, suala kawa nini Apple kastuck kwenye retina display hajaenda kwenye 4K kama wengine, Apple anapodesign hardware zake huwa anazioptimize na OS yake (iOS), kutokana na udogo wa betri ya simu yake tuchukulie iPhone 7 yenye betri 1960mAh na kioo cha 4.7" ukaiwekeea 4K display efficiency ya utumiaji betri itapungua si ajabu ukakuta simu inakaa na betri hata masaa manne au matatu, kumbuka the more display resolution the more battery usage na usishangae ni kwa nini simu za Android zinazopack battery zaidi ya 3000mAh lakini matumizi yake hayana utofauti mkubwa na simu za Apple ambazo zinatumia battery za 1900mAh. Hata mimi nawaunga mkono Apple kwenye suala la display, simu ikiwa na display ya HD au FHD inatosha kabisa hizi 4K nahisi tuzipeleke kwenye PC na TV
Mkuu, kwenye suala la technology kila kampuni ina sehemu yake ya kujidai kama pioneer, na kuigana ni muhimu kama hicho kitu kina manufaa kwake kutokana na demand ya soko lake, water and dust resistant kaanzisha Sony kama sikosei hata huyo samsung kuiga kwa Sony, kwa hiyo usishangae Apple naye kuiga
upo sahihi na mimi ni watu ambao wanaamini hakuna haja ya resolution kubwa zaidi.

ila toka kumekuja mambo ya VR, 3d na 360 degree video sasa hivi resolution kubwa ina maana.

mkuu tafuta hata vr box ya kichina na simu ya Quad HD halafu nenda youtube kisha search video za 360° uangalie utaona kitu kipya kabisa na utaona unamiss kitu kwenye iphone
 
Steve hajawahi kuwa designer, Wozniak ndiye alikuwa designer and everything, Steve alikuwa msimamizi wa Biashara
 
macbook mpya inakuja na oled taskbar, copy and paste ya lenovo thinkpad carbob

thinkpad-x1-carbon-keyboard.jpg


soon tutaanza kudanganywa lenovo na oem wengine wamemcopy apple. hio thinkpad carbon imetoka muda tu.
Mkuu hivi thinkpad ina maana gani? Kuna lenovo ninayo ipo kama hivyo hivyo
 
So ile iMac yenye Window??
gpu gani hio inayoifanya mac iwe best? kuna mac ina gtx 1080? kuna mac ina titan X mpya?

na kipindi hao Mac wanaanza walitumia windows kutengeneza hio Mac os(osx) na mpaka leo designers wa Apple wanatumia windows kutengeneza mac hivyo ukikaa na mac yako uki enjoy kumbuka hio nayo ni product imetengenezwa na windows

2014_06_09_14_59_06.jpg


na huyo ni microsoft ndio anafanya leo ila Oem wa microsoft kina HP na Dell mbona wanafanya zamani tu? Microsoft hakuwa akitengeneza hardware zamani
 
Imetengenezwa na..? ebu fafanua hapa vizuri mkuu
"Chief-Mkwawa Hivyo ukikaa na mac yako uki enjoy kumbuka hio nayo ni product imetengenezwa na windows
 
Mkuu hivi thinkpad ina maana gani? Kuna lenovo ninayo ipo kama hivyo hivyo
thinkpad ni laptop ambazo zimetengenezwa kwa ajili ya wafanyabiashara, zinadumu sana na specs zake ni nzuri, unaweza kuzi upgrade karibia kila kitu. ni brand inayomilikiwa na lenovo ambayo wameinunua toka IBM.
 
Imetengenezwa na..? ebu fafanua hapa vizuri mkuu
"Chief-Mkwawa Hivyo ukikaa na mac yako uki enjoy kumbuka hio nayo ni product imetengenezwa na windows
hizo hapo juu ni Imac zinarun windows wanadesign bidhaa mpya za Mac be it software au Hardware, hivyo end product inapotoka si ina maana ni bidhaa ambayo imetengenezwa na windows?
 
Steve hajawahi kuwa designer, Wozniak ndiye alikuwa designer and everything, Steve alikuwa msimamizi wa Biashara
woz ni engineer/developer ila hata uwe unajua code kushinda watu wote duniani bila kuwa na trait za design bidhaa yako itafeli. hapa ndo anakuja Job yeye alikuwa designer kazi yake ana over see bidhaa za Apple tufanye hiki watu watapenda hii ndio design yenyewe,

cheki hii thread
The 6 Pillars Of Steve Jobs's Design Philosophy

jamaa ameeka ushahidi mzuri tu
 
thinkpad ni laptop ambazo zimetengenezwa kwa ajili ya wafanyabiashara, zinadumu sana na specs zake ni nzuri, unaweza kuzi upgrade karibia kila kitu. ni brand inayomilikiwa na lenovo ambayo wameinunua toka IBM.
Aisee kumbe ndo mana bei zake kidogo zimechangamka!!
 
Back
Top Bottom