Microsoft wazindua surface studio, all in one PC kwa bei ya gari

Microsoft wazindua surface studio, all in one PC kwa bei ya gari

Navuta picha miaka 20. Ijayo technology itakuwa wapi. Ila izo bei kweli za gari
-magari ya kujiendesha yenyewe
-augment reality na virtual reality
-internet of things

Microsoft-HoloLens-Skype-RGB-640x437.png
 
microsoft leo wamezindua pc yao mpya ya all in one ambayo imewalenga zaidi watu wazalishaji mambo ya 3d, graphics etc.

brief specs
  • 28-inch PixelSense touchscreen with 3:2 aspect ratio
  • Quad-core Intel Core i7 processor
  • up to 32GB RAM
  • up to 2TB 'rapid hybrid drive'
  • Nvidia GeForce GTX 980M graphics
  • HD webcam
  • Audio port
  • SD card slot
  • Mini DisplayPort
  • Ethernet port
  • 4 USB 3.0 ports
  • Stereo speakers with Dolby Audio Premium
picha
1477496874_surface-studio-04_story.jpg


Screen-Shot-2016-10-26-at-11.19.09-AM-800x500.png


pc hii inakuja na accessory inaitwa dial ambayo ni kama msaidizi wako ukifanya shughuli za utengenezaji picha.

angalia video kujua zaidi

BzMLA8YIgG0


bei ni kama ifuatavyo
  • Intel Core i5 / 8GB RAM / 2GB GPU / 1TB storage | $2,999
  • Intel Core i7 / 16GB RAM / 2GB GPU / 1TB storage | $3,499
  • Intel Core i7 / 32GB RAM / 4GB GPU / 2TB storage | $4,199
inaonekana Microsoft anamuandama Apple kila corner


Hata ikiandama Apple. Apple itabaki kuwa Apple. Yeye anakuja kufanya leo wakati Mac alianza kuwaza hayo 2007.

Hizo PC zipo hata kwa Apple Inc lakini ni special orders. Same specs.

Pia ukizungumzia Graphic, Mac is the best na Apps nyingi za graphics kwa Mac ni nzuri na Super, expensive.
 
Chief nilisikia dar kuna free WiFi serikali inatoa vip ixaanza kufanya kazi.
 
Hata ikiandama Apple. Apple itabaki kuwa Apple. Yeye anakuja kufanya leo wakati Mac alianza kuwaza hayo 2007.

Hizo PC zipo hata kwa Apple Inc lakini ni special orders. Same specs.

Pia ukizungumzia Graphic, Mac is the best na Apps nyingi za graphics kwa Mac ni nzuri na Super, expensive.

gpu gani hio inayoifanya mac iwe best? kuna mac ina gtx 1080? kuna mac ina titan X mpya?

na kipindi hao Mac wanaanza walitumia windows kutengeneza hio Mac os(osx) na mpaka leo designers wa Apple wanatumia windows kutengeneza mac hivyo ukikaa na mac yako uki enjoy kumbuka hio nayo ni product imetengenezwa na windows

2014_06_09_14_59_06.jpg


na huyo ni microsoft ndio anafanya leo ila Oem wa microsoft kina HP na Dell mbona wanafanya zamani tu? Microsoft hakuwa akitengeneza hardware zamani
 
macbook mpya inakuja na oled taskbar, copy and paste ya lenovo thinkpad carbob

thinkpad-x1-carbon-keyboard.jpg


soon tutaanza kudanganywa lenovo na oem wengine wamemcopy apple. hio thinkpad carbon imetoka muda tu.
 
macbook mpya inakuja na oled taskbar, copy and paste ya lenovo thinkpad carbob

thinkpad-x1-carbon-keyboard.jpg


soon tutaanza kudanganywa lenovo na oem wengine wamemcopy apple. hio thinkpad carbon imetoka muda tu.
Mkuu,kwani Apple wameshazindua Vifaa vyao!?
 
Microsoft na ukubwa wote ule siku hizi amekua mtu wa kuvizia apple akaribie kuzindua products mpya ndo na yeye azindue zake?
 
Tunarejea kama zamani bei ya Computer ilikuwa inaizidi bei ya gari
 
Chief Mkwawa, nafikiri Microsoft wamemkamata Apple ambao bado hiki kifaa chao walichokitoa mwaka 2010 kina bei yake ileile ya dola 2,435

81dPB9y-7uL._SL1500_.jpg


718nsI3yirL._SL1500_.jpg


Uchanganuzi:

Apple iMac 21.5" All-In-One Desktop PC (LED Backlit Screen, 3.20Ghz, Intel Core i5, 4Gb RAM, 1Tb HDD, ATI Radeon HD 5670 graphics, Slot-loading 8x SuperDrive (DVD±R DL/DVD±RW/CD-RW

Item Weight 9 Kg

Product Dimensions 52.8 x 18.8 x 45.1 cm

Item model number MC509B/A

Screen Size 21.5 inches

Processor Type Core i5

Processor Speed 3.2 GHz

Computer Memory Type GDDR3

Hard Drive Size 1 TB

Number of USB 2.0 Ports 4

Wattage 241 watts

Operating System Apple Mac OS X

Lithium Battery Weight 25 Grams

Plenty of Memory and Storage

The new iMac has 4GB of DDR3 memory as standard--now running even faster at 1333MHz--with room in its four SO-DIMM slots for up to 16GB, so you can use more applications simultaneously. And with a Serial ATA hard drive of 1 TB, feel free to load up on photos, videos and music.


features_memory_wifi_20100727.gif


Built-in Wi-Fi

High-speed 802.11n wireless technology is built into iMac. And with Time Capsule or the AirPort Express Base Station, every computer in every room can wirelessly connect to iMac, the Internet and each other.2 Over this network, everyone can print, surf the web and play music on iTunes through your home stereo--wirelessly.

features_isight_lens_20100727.gif

iSight Camera

Look closely: hidden behind the glass display at the top of iMac is an iSight camera. Use it with iChat, and you can be anywhere without actually being there. Video chat with up to three of your friends, share a video with a colleague or present to a client.3 Use iSight with Photo Booth for fun photo effects. And there’s no need to waste valuable primping time installing software or configuring the camera. Like everything Mac, iSight just works.

Lakini si mbaya, sasa hivi kutakuwa na ushindani katika manunuzi ya Xmas ijayo.
 
macbook mpya inakuja na oled taskbar, copy and paste ya lenovo thinkpad carbob

thinkpad-x1-carbon-keyboard.jpg


soon tutaanza kudanganywa lenovo na oem wengine wamemcopy apple. hio thinkpad carbon imetoka muda tu.
Kitu akifanya apple ni innovation na courage. Akifanya mwengine ni gimmick. So far apple mwaka huu wanepoteza wajiandae mwakani. They got nothing new to offer their customers. You can't hide the truth all time.
 
Kitu akifanya apple ni innovation na courage. Akifanya mwengine ni gimmick. So far apple mwaka huu wanepoteza wajiandae mwakani. They got nothing new to offer their customers. You can't hide the truth all time.
Sasa hivi kila mtu anafanya copy and paste, zaidi wanafanya maboresho madogo kujitofautisha
 
Ukiangalia hivi vyote hakuna Apple anachomuiga Microsoft, Microsoft amekuwa akimuiga Apple huku akitarajia kumpita kwa kile anachomuiga Apple, mfano mzuri ni kwenye surface pro vs MacBook pro

Sent from my HTC_A9u using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu kweny productivities window yupo vizur compare to mac. Ata hardware bado pc zina features nyingi mfano ukiangalia sasahv kuna laptop zina 4k dispay while mac ana retina display ambayo ni 2k
 
Back
Top Bottom