EJM_
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 3,836
- 2,091
Nimeona kwa muda sasa microsoft wakiwa wanaitangaza Microsoft Office 2013, Jana wamenitumia email iliyokuwa na preview ya hiyo office wenyewe wanaita microsoft office 2013 preview 365. Nimeinstall lakini ikawa inaleta shinda kidogo kwenye kufungua files, kibaya ni kwamba lazima uitumie ukiwa online so nikaamua kuiondoa. Kama kuna mtu anayo tayari anaweza kutuwekea hapa, au link ya tunapoweza kuishusha tafadhali.
Mi natumia 2010 na nahisi kama nimeichoka sasa
Mi natumia 2010 na nahisi kama nimeichoka sasa