Acheni mawazo finyu...micro chip ni kitu cha kukipigania kiwai kufika na sio kukipinga kwa hoja nyepesi nyepesi....dunia ina advance sasa kwasasa...tuna achana na maswala ya kuzunguka na makabrasha maform ya benk...vyeti nk..so micro chip ni device itakayo incorporate personal details katika electronic device includin bank info...certificates nk..connectivity ya hii kitu na maswala ya ushetani sijaiona bado
kitatumika kurekodi mambo yako yote na hutaweza kupata huduma kahaunacho na pia kama unacho hutakuwa unajulika yale yote unayafanya vp umenipata?