Micro sim card inahitajika

Micro sim card inahitajika

Bavaria

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2011
Posts
53,106
Reaction score
53,622
Nipo tanga kwa sasa ila next week nina mpango wa kwenda dar es salaam. Nina hitaji kama kuna mtu anaweza kunitengenezea micro sim card kwa bei rahisi. Au mniagizie sehemu wanayo tengeneza. Asanteni
 
Kata mwenyewe, mbona simple?tafuta mtu mwenye micro sim ikate km ilivyo itasoma kwenye simu yako
 
Nipo tanga kwa sasa ila next week nina mpango wa kwenda dar es salaam. Nina hitaji kama kuna mtu anaweza kunitengenezea micro sim card kwa bei rahisi. Au mniagizie sehemu wanayo tengeneza. Asanteni

Chukua mkasi ukate mwenyewe, mpaka uende Dar kwa ajili ya kukata line? Pia kuna micro sd catter zinauzwa mpk elfu15 unaweza kuwa unajikatia line zako kiurahisi sana, na hata kuirudishia ili iweze kuingia kwenye simu za kawaida ni rahisi!
 
Nipo tanga kwa sasa ila next week nina mpango wa kwenda dar es salaam. Nina hitaji kama kuna mtu anaweza kunitengenezea micro sim card kwa bei rahisi. Au mniagizie sehemu wanayo tengeneza. Asanteni
nipigie 0787 103846.nipo tanga natengeneza kwa elfu kumi.
 
Back
Top Bottom