na kwa jinsi unavyohalalisha anachofanya inaelekea waweza uza utu wako mkuu kwa fedha! kofia ya Majambawazi sio? asiite ile blog yake ya Jamii bali ya CCM!
Duhh! Fedha hizi zinaharibu taaluma za watu. Nilipenda sana kutembelea blog ya huyu mpendwa wangu lakini kwa haya niliyoyaona ..... nimekoma na sirudii tena kufika kwenye .....michuzi,.....blogs.......nnnnn!@
Nilimtumia email kwamba anapaswa kuwa fair maana badala ya kuifagilia ccm ndo anaiua maana watu wanajua kinachoendelea huku yeye anachakachua.
Ni michuzi huyo mzee wa libeneke.
na kwa jinsi unavyohalalisha anachofanya inaelekea waweza uza utu wako mkuu kwa fedha! kofia ya Majambawazi sio? asiite ile blog yake ya Jamii bali ya CCM!
na kwa jinsi unavyohalalisha anachofanya inaelekea waweza uza utu wako mkuu kwa fedha! kofia ya Majambawazi sio? asiite ile blog yake ya Jamii bali ya CCM!