kyesha
Member
- Feb 17, 2019
- 40
- 65
Wakuu nina changamoto inanisumbua.
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa. Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu. Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda. Anayejua dawa msaada please.
Note: Sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu. Mimi nina Muogopa Mungu.
Maumivu wakati wa kujisaidia & baada ya kujisaidia haja kubwa. Kuna Kama michubuko kwenye njia husika inayopelekea maumivu makali.
Miwasho haipo ila ni maumivu makali, hata kukaa kwenye kiti ni maumivu tuu. Mimi ni Dereva saizi ni wiki moja kazini sijaenda. Anayejua dawa msaada please.
Note: Sijawai fanya au kufanyiwa michezo michafu. Mimi nina Muogopa Mungu.