Mohammed Hamad JF-Expert Member Jan 17, 2011 3,988 1,304 Jan 20, 2011 #21 shosti said: Ok nilidhani ndio kwenu huko,T.A ndio kwetu ja,mani utanikaribishaje kwetu Click to expand... Basi usinene ukamara....
shosti said: Ok nilidhani ndio kwenu huko,T.A ndio kwetu ja,mani utanikaribishaje kwetu Click to expand... Basi usinene ukamara....
Yo Yo JF-Expert Member May 31, 2008 11,217 1,702 Jan 21, 2011 Thread starter #22 Imepungua kidogo......nitatesti tena leo nione kama kesho nitakuwa safi
Kang JF-Expert Member Jun 24, 2008 5,495 2,250 Jan 22, 2011 #23 Kuwa makini labda huwa unapitiliza hadi kwenye mtandao mwengine. Anyway sielewi utachubukaje fizi? Unafanya nini huko?
Kuwa makini labda huwa unapitiliza hadi kwenye mtandao mwengine. Anyway sielewi utachubukaje fizi? Unafanya nini huko?