Tetesi: Michezo ya kitoto kuelekea ‘usuluhishi’ hewa

Tetesi: Michezo ya kitoto kuelekea ‘usuluhishi’ hewa

wetangula

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2022
Posts
207
Reaction score
740
Kwa sasa kinachofanyika upande wa serikali ni kutengeneza mazingira ya kuwa na bargaining power kwenye kile kinachopangwa kuitwa muafaka/maridhiano/suluhu ya kitaifa.

Moja ya karata itakayowekwa mezani ni suala la serikali kuwaachia huru watuhumiwa wote wa uhaini hewa waliokamatwa kwenye maandamano ya MO29. Serikali itakubali.

Eti baada ya hapo watu waseme mama ana moyo wa huruma na nyenyenye nyinginezo. Niffer ametolewa kama chambo ili kuipa kesi mvuto.

Hili haliwezi kurejesha uhai wa ndugu, jamaa na rafiki zetu mliowauwa kwa makusudi. Hatutawasamehe kamwe, damu mliyomwaga italipwa kwa damu pia.
 
Kwa sasa kinachofanyika upande wa serikali ni kutengeneza mazingira ya kuwa na bargaining power kwenye kile kinachopangwa kuitwa muafaka/maridhiano/suluhu ya kitaifa.

Moja ya karata itakayowekwa mezani ni suala la serikali kuwaachia huru watuhumiwa wote wa uhaini hewa waliokamatwa kwenye maandamano ya MO29. Serikali itakubali.

Eti baada ya hapo watu waseme mama ana moyo wa huruma na nyenyenye nyinginezo. Niffer ametolewa kama chambo ili kuipa kesi mvuto.

Hili haliwezi kurejesha uhai wa ndugu, jamaa na rafiki zetu mliowauwa kwa makusudi. Hatutawasamehe kamwe, damu mliyomwaga italipwa kwa damu pia.
Hili niliwahi kulisema miaka mingi iliyopita.

CCM wanatumia mbinu ya negotiation ya machinga wa Kariakoo
 
Kwa hiyo serikali inapanga kunyonga hadi kufa vidada vilivyovaa madera na vijana zaidi ya 200?

Hapo washauriwe wote wakiri makosa yao yote waone serikali itakavyopoteana.
 
Back
Top Bottom