Michezo mingine bana!

Michezo mingine bana!

kama huna ari michezo hiyo inaweza kukufanya utapike mboga zote ulizokula.
 
mwenzenu nimecheka mpaka mbavu zinauma spea tafadhari

roller-coaster-2.jpg
karaha ...


Mama mtu mzima hawezi kabisa kumsaidia mwana,.. mama akiwa mwoga kihivi nae ndo kalipia bembea, mtoto ndo inampoteza kabsaamental , starehee lakini inakuwa kama "marufuku" kutizamana usoni,......so sijui ni maumivu au raha?, sijui ikisimama utapanda tena?...
 
Yawezekana ikawa "Haja kubwa".....weye wajua ile kilima nanii..., kutokea St. Peters as you drive kuelekea Masaki????.

. . .kinaitwa 'kilima nyege' . . .if your sphincters are loose, and the car is at 60kph or more. . .its likely to fart,belch or even wet your pants...
 
Dah! hiyo vitu sipandi hata kwa dawa.
 
hahahahahahahaahha asante mtoa pic you made my day, lol.
 
nakumbuka wakati nipo mtoto huko madongo poromoka tulikua na mchezo unaofanana na huu.yaani mnachagua mlima mrefu halafu mnaseleleka kuanzia kileleni kwenda chini,lakini hapo tena ungoje mida bwada kwenye kaputula yako. munaijua midabwada?
 
Michezo kama hii bora uanze kucheza tangu utotoni, unaweza vamia tu ukubwani ukaja aibika bure kama hao jamaa hapo
 
Back
Top Bottom