Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Okwi atakiwa Kaizer Chiefs

Imeandikwa na Na Mwandishi Wetu; Tarehe: 15th April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 14; Jumla ya maoni: 0








MSHAMBULIAJI wa Simba, Emmanuel Okwi anaenda kufanya majaribio ya kucheza soka klabu ya Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.

Mwenyekiti wa Simba, Ismail Rage alisema Ijumaa kuwa wamepokea maombi kutoka timu hiyo kwa ajili ya kumfanyia majaribio mshambuliaji huyo.

"Hivi sasa Okwi yupo kwao Uganda kwa ajili ya mchezo wa timu ya Taifa ya vijana ya Uganda na ya Tanzania utakaofanyika Jumamosi baada ya hapo ataenda Afrika Kusini kwa majaribio
hayo.

"Simba haina tatizo naye inamtakia kila la heri kwenye majaribio yake maana ndiyo mafanikio ya Simba kama akipata nafasi," alisema Rage.

Rage alionya kuwa mshambuliaji huyo ana mkataba na Simba hadi mwaka 2014 hivyo kama kuna timu inataka kutumia ujanjaujanja kumsajili haitafanikiwa.

"Mpaka sasa ninaowajua ni hao Kaizer Chiefs, sasa kama kuna mtu anajifanya kutaka kupita njia za panya kumsajili itakula kwake, hiyo ni mali ya Simba mpaka mwaka 2014," alisema Rage.
 
Mbio kuchangia maji Bagamoyo Jumamosi

Imeandikwa na Na Betram Lengama; Tarehe: 14th April 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 40; Jumla ya maoni: 0








KATA tano katika wilaya ya Bagamoyo, Pwani zitanufaika na shughuli ya matembezi na
mbio za kilometa 6 zinazojulikana kama ‘Tigo Walk for Water 2011', kwa ajili ya kuchangia fedha za kusaidia kutatua tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama sehemu mbalimbali
nchini.

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Rasilimali Watu wa Kampuni ya Tigo ambayo ndio wadhamini wakuu , Bennet Kakorzya alisema Dar es Salaam kuwa mbio hizo zitafanyika keshokutwa
ukumbi wa Mlimani City, Dar es Salaam.

Alisema zaidi ya wakazi 100,000 wa kata hizo watanufaika na fedha ambazo zitapatikana kutokana na shughuli hiyo, ambapo Sh milioni 60 zinatarajiwa kukusanywa na kusaidia kuchimba visima virefu kwa ajili ya kusaidia kupatikana kwa maji safi na salama kwa
wakazi hao, ambao kutokana na utafiti uliofanywa na taasisi ya Afya ya Ifakara (IHI) wana tatizo kubwa la maji.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi wa IHI, Dk. Godfrey Mbaruku, ambaye taasisi yake ndiyo ilifanya utafiti wa tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama katika kata hizo tano, alisema utafiti wao ulibaini asilimia kubwa ya wakazi wa wilaya ya Bagamoyo hasa wanaoishi vijijini hawapati maji safi na salama kutokana na kutumia visima vifupi na malumba ambayo maji yake si salama.

Alitaja kata ambazo utafiti huo ulifanyika na ambazo zitafaidika na mradi huo wa uchimbaji visima ambao unaendeshwa na kampuni ya Spearhead ni Kiwangwa,Yombo, Zinga, Mapinga na Magomeni.

Naye Balozi wa ‘Tigo Walk for Water' , Jokate Mwegelo alitoa wito kwa watu binafsi na kampuni kujitokeza kwa wingi kusaidia kuchangia shughuli hiyo ya kutafutia ufumbuzi wa tatizo la upatikanaji wa maji safi na salama na kuwasaidia wanawake na watoto ambao ndio waathirika wakubwa wa tatizo hilo.

Matembezi na mbio hizo zitaanzia lango la kuingilia Mlimani City na kupitia barabara ya Sam Nujoma kuelekea Mwenge na zikifika eneo la kituo cha mafuta ya Bonjour zitachukua njia ya Survey na kwenda hadi Chuo Kikuu ch Dar es Salaam na kurejea tena barabara ya Nujoma na kumalizikia Mlimani City.
 
Msigwa kuzuia usajili Yanga Send to a friend Thursday, 14 April 2011 20:56

Clara Alphonce
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania, Yanga uenda juhudi zao za kuimarisha kikosi chake zikakwama kama watashindwa kulimpa Ally Msigwa kama walivyotakiwa na Kamati ya Maadili Sheria na Hadhi ya wachezaji.

Kamati hiyo ya Alex Mgongolwa iliitaka klabu ya Yanga kumlipa fidia ya Shilingi 7milioni Msigwa ambaye walimuacha pamoja na wachezaji wenzake watatu kinyume na taratibu za usajili.

Yanga ilitakiwa kumlipa fedha hizo baada ya kamati kusikiliza malalamino Msigwa na kuona mabingwa hao wamekiuka kanuni hivyo kuwataka kulipa kabla ya kusajili wa msimu ujao wa ligi kuu Tanzania bara vinginevyo hawataruhusiwa kufanya usajili.

Akizungumza na Mwananchi Ally Msigwa alisema kuwa viongozi wa klabu hiyo wamekuwa wakimzungusha sana na mpaka sasa wamemlipa milioni 1 kati ya 7m ambazo alitakiwa kupewa.

''Bado sijalipwa fedha zangu kwani awali tulikubaliana kuwa watanilipa kwa mikupuo mitatu na kabla ya ligi kuisha watakuwa wamemaliza, lakini mpaka sasa wako kinywa tu'' alisema Msigwa.

Katibu Mkuu wa Yanga, Selestine Mwesigwa aliiambia Mwananchi kuwa suala la malipo ya wachezaji hao hawezi kuliweka wazi kwani ni suala la mtu binafsi ila kama wao watataka kuweka wazi wanaweza kwani hanaofika kuwa uenda akaongea alafu baadaye wakaingia katika matatizo.

Kwa upande wao Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) Katibu Mkuu, Angetile Osiah alisema kuwa mpaka sasa wao hawana tatizo lolote na Yanga kwa kuwa kipindi cha usajili bado hakijaanza.

''Hatuwezi kusema lolote kuanzia sasa kwa kuwa usajili bado haujafikia ila kama kweli hawajatimiza adhabu yao basi tutawabana kwenye usajili wao wakati utakapofika,'' alisema Osiah.

Wakiwa bado hawajatimiza hilo tayari klabu hiyo imeshaanza kuwaongezea mikataba wachezaji wake akiwemo Nurdin Bakari ambaye mkataba wake ulimalizika na ilisibitishwa na Mwenyekiti wa kamati ya mashindano wa klabu hiyo Ahmed Self.

Huku kukiwa na tetesi kwamba wachezaji watatu wa kigeni wa Yanga, Ivan Knezevic, Izack Boakye na Ernest Boakye na kiungo Athumani Idd 'Chuji' uenda wakatemwa katika usajili wa msimu ujao kutokana na kumaliza mkataba wao.

Chuji mkataba wake unamalizika mwezi huu inadaiwa kuwa ni miongoni mwa wachezaji watakao achwa kutokana na kushuka kiwango katika msimu huu.
Akizungumzia suala hilo msemaji wa Yanga, Luis Sendeu alisema "Ni kweli Nurdin amemaliza mkataba, Chuji naye unamalizika mwezi huu, Ivan ameshaondoka usiku wa kuamkia leo, hatma yao ni mpaka kamati ya utendaji itakapokaa na kutoa maamuzi ya kuwaongezea mkataba waende moja kwa moja."alisema Sendeu

"Kamati ya utendaji hata jana (juzi) imekaa na kujadili mustakabali mzima wa uendeshaji wa klabu bado haijaamuliwa nani aachwe nani asajiliwe, mchakato wa usajili ndio unaendelea hivi sasa,"alisema.
 
Wenger blames grieving Gunners for goal drought

Apr 10 2011 by Dean Jones, The People
wenger-main-155171196.jpg

ARSENE WENGER believes Arsenal's goals have dried up because they are grieving.
Since the end of February Arsenal have crashed out of three cup competitions, and their boss reckons it is all part of a confidence crisis.
They have failed to score in three of their last five games, and Wenger said: "After what happened to us we are in grief and the spontaneous side of your game goes a little bit.
"That's why our goals have dried up. This team cares and fights but after what happened to us, it takes time to recover.
"We have not given up but it's not as easy for us as it was before.
"We are second in the league, so why are people asking me if I should give up? What kind of world do we live in?''
 
EU should go, Jack

Apr 10 2011 by The People
For a young player like Jack Wilshere a two or three-week break from games is enough to freshen up, so I think he should definitely play for England Under-21s in the summer.
I watched Arsenal last week and have to say I think the international break affected them. The players just didn't look as bright as they had before.
At the end of this season Wilshere (above) will have a couple of weeks to rest between his last game for Arsenal and England's first Euro Championship tie in Denmark, so it shouldn't be a problem.
He'll have more time off before joining team-mates for pre-season, and when I look back on my playing days in England I wish our summer routine had been like that. Six weeks was too much and we'd come back overweight. It was like we were joining up with the Army in order to get fit again! Wilshere wants to go – and I'm sure Arsene Wenger will realise it can only be good for him.
 
Abramovich kumtimua Ancelotti


LONDON, England

MMILIKI wa Chelsea, Roman Abramovich ameripotiwa kuwa yupo tayari kumuonesha njia ya kuondokea kocha wake, Carlo Ancelotti ifikapo mwishoni mwa
msimu huu.

Gazeti la London Evening Standard, liliripoti jana kuwa hivi sasa Abramovich amekasirika na kitendo cha Chelsea kutupwa nje ya michuano ya Klabu Bingwa Ulaya na huenda akaamua hatima ya Ancelotti, ifikapo mwishoni mwa msimu huu.

Gazeti hilo liliripoti kuwa bilionea huyo alikuwa bado hajajiandaa kuchukua hatua kali, kutokana na kitendo cha juzi cha timu hiyo kufungwa na Manchester United lakini likaeleza kuwa inavyoonekana nafasi ya kocha huyo ipo mashakani.

Ancelotti, ambaye mkataba wake unamalizika majira ya joto yajayo alitarajiwa kufanya makubwa ndani ya klabu hiyo, lakini akashindwa licha ya timu hiyo kutwaa mataji mawili msimu uliopita.

Vyanzo vya habari vilivyopo karibu na Abramovich, vilieleza kuwa Mrussia huyo alitarajia timu hiyo kuonesha kiwango kikubwa baada ya kutumia pauni milioni 75 kuwasajili, Fernando Torres na David Luiz katika usajili wa Januari mwaka huu, lakini kwa sasa ana wasiwasi kuhusu jitihada na morali wa wachezaji hao walioonesha.
 
Everton prepared to sell Leighton Baines

Apr 10 2011 by Dave Kidd, The People
Comments (3)
Recommend (3)



baines-main-641085195.jpg

EVERTON are ready to cash in on Leighton Baines this summer – with Arsenal boss Arsene Wenger leading the race to sign him.
Baines, who signed a four-year deal at Goodison last summer, would fetch around £10million for David Moyes' cash-strapped Merseysiders, and Arsene Wenger wants a left-back as he seeks to freshen up his demoralised Gunners squad.
Liverpool have expressed an interest in the England international, but 26-year-old Baines is a lifelong Evertonian who would not want to cross Stanley Park to the red side.
Baines would prefer to stay in the Premier League, and that will frustrate long-term suitors Bayern Munich.
 
Everton prepared to sell Leighton Baines

Apr 10 2011 by Dave Kidd, The People
Comments (3)
Recommend (3)



baines-main-641085195.jpg

EVERTON are ready to cash in on Leighton Baines this summer – with Arsenal boss Arsene Wenger leading the race to sign him.
Baines, who signed a four-year deal at Goodison last summer, would fetch around £10million for David Moyes’ cash-strapped Merseysiders, and Arsene Wenger wants a left-back as he seeks to freshen up his demoralised Gunners squad.
Liverpool have expressed an interest in the England international, but 26-year-old Baines is a lifelong Evertonian who would not want to cross Stanley Park to the red side.
Baines would prefer to stay in the Premier League, and that will frustrate long-term suitors Bayern Munich.
 
Timbe, Hall wafuta nyayo za Phiri Send to a friend Saturday, 16 April 2011 09:10

Clara Alphonce
BAADA ya kocha wa Simba, Patrick Phiri kuwasilisha ripoti yake ya msimu uliopita kwa uongozi wake makocha wa Yanga, Sam Timbe na Stewart Hall, Azam nao wamefuta nyayo zake.

Katibu Mkuu wa Azam, Idrissa Nassor alisema kuwa tayari kocha wao Hall amewasilisha ripoti yake kwa uongozi ikiwemo pamoja na mapungufu ya kikosi chake katika msimu huu na mapendekezo yake.

Alisema wao ni viongozi hivyo hawawezi kumuingilia kocha wao katika timu hivyo walichikuwa wanasubiri ni ripoti yake na mapendekezo iliwaanze kufanya usajili.

''Tumepokea ripoti na tumeona mapendelezo yake hivyo kuanzia sasa tumeanza kuyafanya kazi kwani muna wachezaji baadhi ambao ametaka waongezwe ilikuziba nafasi ambazo aliona kuwa zilikuwa na mapungufu msimu uliopita,'' alisema Nassor.

Alisema mpaka sasa tayari timu yao imeongeza wachezaji watano ambao ni Obren Curckovic, Mwadin Ally kipa wa Zanzibar Herous na u-23 kipa, viungo Abdulharim Humud (Simba), Abdulghany Gulam Abdallah na Wazir Salum Omar wote Zanzibar Herous.

Kwa upande wa Yanga, Afisa Habari wake Luios Sendeu alisema kuwa kocha wao Sam Timbe hayari ameshawakilisha ripoti yake kwa uongozi na tayari wameiwakarisha katika makati ya usajili ya klabu hiyo kwa ajili ya kuifanyia kazi.

Alisema kwa sasa kamati hiyo ndio inakazi ya kuakikisha wanatekeleza mapendekezo ya kocha kwa kutafuta wachezaji kwa ajili ya kuziba mapengo ya waliondoka.

''Kwa sasa tutakuwa makini sana na usajili hatutaki yatutokee kama yaliyotokea katika usajili zilizopita na mpaka sasa tayari mchezaji wetu mmoja Nurdin Bakari ambaye mkataba wake ulikuwa umemalizika kamati ya usajili wamemuongezea mkataba mwingine,'' alisema Sendeu.
 
Dalglish bid to Kop Connor Wickham

Apr 10 2011 by Alan Nixon, The People
connor-wickham-main-214943639.jpg

Liverpool boss Kenny Dalglish is ready to win the race for Ipswich hot-shot Connor Wickham – and beat old pal Harry Redknapp to his signature.
Wickham has just signed a new deal at Portman Road, but that will not stop a transfer going through if Liverpool come up with the asking price of around £10million.
The Kop chief has been on Wickham's trail for months, watching him for club and country. He sees Wickam as the perfect capture to give him a young striker behind Andy Carroll and Luis Suarez.
Spurs supremo Redknapp is after Wickham too – as People Sport first revealed – but Dalglish's entry to the race will turn the head of the teenage terror.
Improve
Dalglish wants to sign a handful of players when he gets the go-ahead and is officially named long-term boss at the Kop. He would like to improve his squad and bring in younger players.
The Liverpool boss is also chasing Wigan's James McCarthy and Dalglish hopes to get the cash backing to buy Wickham in the next transfer window.
Meanwhile, Atletico Madrid are lining up a move for Liverpool's Milan Jovanovic.
The Serbian midfielder has found it difficult to make an impact at Anfield and is set for talks over his future this summer.
Atletico are confident they stand a good chance of landing him, if Liverpool sell, as the two clubs have a good relationship from previous transfer deals.
 
Tempers flare in Premier League fixtures

Apr 10 2011 By Richard Gibson, The People
bustuppic-735861357.jpg
BustUpPic

England goalkeeper Robert Green and midfielder Mark Noble had to be separated at the Reebok as tensions spilled over in West Ham's relegation fight.
Green reacted furiously after Bolton's on-loan striker Daniel Sturridge was allowed space to curl in a 14th-minute opener, and Noble took retribution by shoving his fist into his colleague's chest.
Hammers captain Matthew Upson had to split the duo up.
It was just as explosive at White Hart Lane where a Spurs fan confronted Vedran Corluka after the final whistle, following a misplaced free-kick by the Croatian almost let the Potters in for a late equaliser.
Back at the Reebok West Ham boss Avram Grant, in the stands due to a touchline ban, claimed to have missed the Green incident.
Questioned about the first-half flashpoint, he said: "I don't know, I need to see it and speak to them. I'll speak about everything with the players. At half-time we only thought about changing the game and we had belief we could change the game."
FA Cup semi-finalists Bolton cruised to a 3-0 victory, their seventh in succession in the Premier League against West Ham, who remain a point and a place adrift of safety.
Tottenham boss Harry Redknapp was left stumped at fans who gave Corluka both barrels after Spurs' hard-fought 3-2 win over Stoke.
Assistant boss Kevin Bond had to steer his player away from the rumpus – and Redknapp said: "I don't know why they want to give anyone here stick, I don't remember too many times we've lost here since I have been here."
He had feared fans would lay into his side following their 4-0 mauling by Real Madrid, but he added: "They were fantastic for the most part."
Stoke's Ricardo Fuller also got involved with Spurs fans – poking one of them in the chest.
 
Tegete siondoki Yanga Send to a friend Saturday, 16 April 2011 09:10

Kalunde Jamal
MSHAMBULIAJI wa Yanga, Jerryson Tegete amesema hana mpango wa kuondoka katika klabu hiyo kwa sasa.
Akizungumza na Mwananchi, Tegete alisema Yanga ni nyumbani na hana mpango wa kuondoka leo wala kesho.

Sina mpango wa kuhama timu yangu naipenda sana, kama nitaondoka Yanga basi ni kwenda nje ya nchi.Tegete alifafanua kuwa pamoja na hayo hajafunga milango kwa timu inayomuhitaji, lakini iwe kwa dau kubwa tofauti na analolipata Yanga.

Alisema mpira umempa mafanikio makubwa kiasi kwamba anajivunia kuwa mchezaji na kusema kuwa kupitia fani yake hiyo anaishi vizuri bila matatizo zaidi hata ya wale wanaofanya kazi.

ìNajivuania kipaji changu kwani nimetoka kimaisha nina nyumba mbili moja ipo Mwanza na nyingine nimejenga maeneo ya Tabata hapa Jijini Dar es Salaam.

ìNa waasa vijana wenzangu kama unakuwa na kipaji ni vyema ukakiendeleza na kukiheshimu kwa sababu utafanikiwa kwa kupitia kipaji chako,îalimaza Tegete.
 
Ian Holloway drops 'new job' bombshell on his Blackpool players

Apr 10 2011 by Alan Nixon, The People
holloway-main-408186609.jpg

Blackpool's Ian Holloway has left his players puzzled by a dressing room remark thanking them for "getting him a new job."
The unpredictable manager is known for his off-the-wall comments and mind-bending sayings but some of his team were left shocked by this latest aside.
It came in a pre-match speech before the Fulham game, adding to speculation that he could be tempted by a new challenge in the summer.
The charismatic chief has taken Blackpool to the top flight and could yet keep them there, but he has had to work on a tight budget and has found it hard to recruit players.
He has hooked up with a new agent, another factor that points to a potential move in the close season if the right offer comes his way.
 
Real, Barca ni vita ya historia Send to a friend Saturday, 16 April 2011 09:08

MADRID, Hispania
UHASAMA baina ya Barcelona na Real Madrid ulianza mwaka 1902, na sasa watakutana mara nne katika siku18 za msimu wa kipekee.

Mashabiki wa soka duniani watakuwa wakisubili vita hiyo ya pekee ya 'El Clasico', kila moja akisema lake juu ya klabu hizo mbili tajiri na zenye mafanikio zaidi katika soka ya Hispania zitakapombana kwenye Ligi, Kombe la Mfalme na nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa.

Kila klabu na jiji zinamalengo tofauti kabisa, huku Madrid wanalengo la kutunza heshima ya Hispania, huku Barcelona wanataka kutambulika wenye kama nchi ya Catalan, si Spanish, ambayo ndiyo lugha yao.

Kihistoria, Real inamafanikio zaidi kati ya timu hizo mbili, ikiwa imetwaa mataji tisa ya Kombe la Ulaya, huku Barcelona ikiwa imetwaa mataji matatu, ubingwa wa ligi Madrid imetwaa mataji 31, huku Barcelona mataji 20.

Vijana hao wa Catalans kwa misimu ya sasa ndio wanatawala, huku soka yao ya kuvutia imewawezesha kutwaa ubingwa ligi mara mbili na mwaka 2009 walitwaa taji la Ligi ya Mabingwa.

Mchezo wa kwanza wa Clasico atafanyika leo ikiwa ni mechi ya ligi itayochezwa kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu. Barcelona inaongoza ligi kwa pointi nane mbele ya Real, pia wanapewa nafadi kubwa ya kushinda mechi zote tatu na kutwaa ubingwa.

Baada ya kupokea kipigo cha mabao 5-0 kutoka kwa Barcelona kwenye mchezo wa kwanza wa ligi wa Clasico kwenye Uwanja wa Camp Nou pale Novemba, hiyo inamaanisha Real watalazimika kulipiza kisasi katika mchezo huo.Ni kipigo cha kwanza kikubwa kwa Jose Mourinho kwenye maisha yake ya ukocha, pia ulikuwa mchezo wake wa kwa kwanza wa Clasico na endapo atafungwa tena leo basi ndoto yake ya ubingwa itakuwa imekwisha ikiwa imebaki michezo saba.

Mourinho, ambaye alikuwa mkarimani ndani ya Barcelona, haamini kwamba matokeo yao ya mechi ya kwanza yanaweza kuwaathiri kwenye mechi hizi tatu. "Tunauchukua kila mchezo kwa namna ya pekee," alisema Mourinho.

"Sifikiri kwamba matokeo yaliyotokea kwenye mchezo wa kwanza yanaweza kujirudia kwenye mchezo wa pili, watatu au wanne."

Kocha wa Barcelona, Pep Guardiola ameipokea ratiba hiyo kwa mikono miwili huku akiwa na kumbukumbu ya ushindi mnono wa mabao 5-0."Hatojarisha tupo kwenye mazingira gani.Jambo la msingi ni kuwa tayari kiakili na hamu ya kufanya vizuri," alisema Guardiola. "Hii ni zawadi ambayo mtu yeyote wa mpira angependa kuipokea."

Real haijaifunga Barcelona tangu Mei 2008 waliposhinda 4-1 katika ligi kwenye Uwanja wa Bernabeu wakati kikosi bora cha Barcelona kilivyopoteza ubingwa kwa uchungu kwa mahasimu wao Real.

Mchezo huo wa ligi utafutiwa na ule wa kombe la Mfalme siku nne baadaye hapo Aprili 20 mjini Valencia kwenye Uwanja wa Mestalla, huku Mourinho akiwaza kupata taji lake la kwanza kama kocha wa Madrid.

Jambo la kufurahisha ni kuwa, Barcelona na Real hazijakuna kwenye fainali ya kombe hilo tangu mwaka 1990 wakati Barcelona iliposhinda 2-0.

Mechi ya mwisho baina yao ni ile ya nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa ambayo mchezo wa kwanza utaanzia Bernabeu hapo Aprili 27 na marudiano Camp Nou hapo Mei 3.
 
Roberto Mancini tells City stars 'it's time to deliver'

Apr 10 2011 by Steve Bates, The People
ROBERTO MANCINI told his stars last night: "Now is the time to deliver against United."
The Manchester City boss has seen his stars push their rivals close in several epic recent encounters.
But as Mancini looked past tomorrow's clash at Liverpool to the Wembley FA Cup semi-final with United on Saturday, the Italian said: "We have arrived at the moment when we should start winning these games.
"Now is the time for us to start going there and winning at Wembley. I think that our gap, now, is very close to United. I think it is impossible in one year to arrive at the level of a team who wins a lot of things. But now we are close.
"United have more big-game experience, they play to win in every game and that is a good mentality. If we want to arrive with this mentality we should continue to work because I think we can improve.
"It's important that we start by getting into the Champions League and maybe winning something.
"I think the last game we played against United we played at the same level and the others have been similar. Only the first derby, when I had just arrived, were United better than us for the last 20 minutes."
Mancini revealed he has taken his stars out for a bonding meal away from the pressure of playing.
He added: "We wanted to get together without it being for a game, only to smile and to eat."
The Italian also admitted he is tired after a draining season, but called for a major effort in the closing stage of the season.
"I'm tired because after one year that's normal if you work hard. But now it's time to take the fruit from the tree. In English that means to get your rewards."
 
FA hit back over Fergie pressure claims

Apr 10 2011 by Alan Biggs, The People
FA insiders last night hit back at Sir Alex Ferguson, insisting there will be no extra pressure on referee Lee Mason today.
Sources close to disciplinary chiefs also confirmed there is no general crackdown on swearing either.
Mason – who takes charge of Arsenal's game at Blackpool – has been pitied by the Manchester United boss, who claims he was "pressured" by the FA into getting Wayne Rooney banned.
He also added the official will now be exposed for "double standards" if he does not punish swearing.
But an FA source said: "There's a difference between swearing in the heat of the moment, or swearing at somebody and being abusive.
"It's a question of context and a distinction was made in this case. No one who lets rip an expletive after, say, missing an open goal, is at risk. There are no new guidelines."
Rooney swore into a TV camera lens after completing his hat-trick in United's 4-2 win at West Ham.
Mason confirmed he would have sent off Rooney if he had heard the incident.
 
Mancini: Wakati wa kuifunga Man United Send to a friend Saturday, 16 April 2011 09:06

LONDON, England
KOCHA Roberto Mancini amesema Manchester City wanatakiwa kusahau suala la kumpoteza nahodha wao Carlos Tevez na kutengeneza historia kwa kufuzu kwa fainali ya Kombe la FA.

Nyota huyo wa Argentina hato kuwepo Wembley leo watapoivaa Manchester United kutokana na kusumbuliwa na misuri, lakini Mancini anategemea Mario Balotelli ataweka mbali matatizo yake na kumsambaratisha Sir Alex Ferguson.Wachezaji wangu wote wanajua kuwa hii ni mechi ya pekee kwetu katika kutegeneze historia,í alisema Mancini.

ëTunatakiwa kubadilisha historia ya klabu. Kupata taji la kwanza ni vigumu, lakini sasa ni muda wa Manchester City kupata kitu.Najua tumebadilika sana sasa. Jambo lilo muhimu kwetu kwa sasa ni kufikiria mchezo huo tu.

Mategemeo yake yote kwa Balotelli, 20, ambaye amekuwa na msimu wenye visa vingi ndani na nje ya uwanja tangu aliposajiliwa kwa pauni 24milioni akitokea Inter Milan.

ëNamwamini Mario,í alisema Mancini, ambaye alimwita mshambuliaji huyo 'mjinga' baada ya mchezo wa Europa Ligi dhidi ya Dynamo Kiev mwezi uliopita na pia alimtoa kwenye mchezo dhidi ya Liverpool wiki hii pamoja na kuwa ndiye aliyekuwa ameingia kuchukua nafasi ya majeruhi Tevez.

Anajua huu ni mchezo muhimu zaidi kwake,í aliongeza Mancini.Kama akiweka akili zake mchezoni basi ana uwezo wa kufanya lolote.í

Wakati Manchester City ikihangaika ili kupata kombe la kwanza tangu 1976 ilipopata Kombe la Ligi, Bolton na Stoke ambazo zitacheza kesho Jumapili hazijawahi kupata ubingwa wowote. Stoke, ambayo imekuwa ikishiriki katika mbio za kuwania Kombe la FA tangu 1883, haijawahi kutinga hatua ya fainali.
Mara ya mwisho kufikia hatua ya nusu fainali ilikuwa mwaka 1972 wakati walipofungwa na Arsenal. Mwaka huo walipata ubingwa wa Kombe la Ligi kwa kuifunga Chelsea. Bolton imepata Kombe la FA mara nne, mara ya mwisho ilikuwa 1958.
 
Timu ya vijana tupeni raha Watanzania Send to a friend Saturday, 16 April 2011 09:19

julio%20action.jpg
kocha wa timu ya taifa chini ya miaka 23 Jamhuri Kihwelo 'Julio'

TIMU ya taifa ya vijana chini ya miaka 23, leo inatupa karata yake ya kwanza ya kusaka kufuzu kwa Michezo ya Afrika itayofanyika jijini Maputo, Msumbiji kwa kuwavaa wenzao wa Uganda.

Mchezo huo wa kwanza ni muhimu zaidi kwa vijana hao katika kutimiza ndoto ya kuiwezesha Tanzania kushiriki fainali hizo za Afrika kwa vijana ifikapo Septemba.

Tunaamini katika uwezo wa kikosi hicho pamoja na benchi la ufundi chini ya kocha wao Jamhuri Kihwelo 'Julio' kuwa ndio walioiondoa Cameroon na kutoa mwanga kwa Tanzania kuweza kucheza Michezo ya Olimpiki hapo mwakani nchini England.

Tayari, kocha Kihwelo amewataka Watanzania wasiipe kichwa timu hiyo kwa sasa na wachezaji hao wakajiona ndio wenyewe na kuharibu malengo yake, ila wategemee mazuri zaidi siku za usoni.

Tunakubaliana na kauli yake kwamba wanachohitaji vijana wetu kule Kampala ni matokeo mazuri kwenye mchezo huo wa ugenini nao kuepuka kulewa sifa mapema jambo ambalo kwa namna moja au nyingine limechangia sana timu zetu kufanya vibaya.

Tunaamini kila mchezaji ambaye atashuka uwanjani, kukaa benchi atakuwa akitambua wajibu wake ipasavyo kwamba ni kusaka ushindi dhidi ya Uganda si vinginevyo.

Tunasema vijana wetu wanatakiwa kujituma na kutanguliza mbele uzalendo, utaifa na mapenzi kwa nchi yao ambayo wanaitumikia kwa nguvu na jasho lao.

Tunaamini wachezaji wote watakuwa makini ili kuepuka kupata kadi kwa kucheza faulo za ovyo ambazo zinaweza kuigharimu timu hiyo kwenye mchezo huo muhimu na mwingine wa marudiano.

Pia, tunamkumbusha kocha (Kiwelo) kuchangua wachezaji wenye umri sahihi kwa nia ya kutegeneza kikosi imara pamoja na kuepuka kukatiwa rufaa au nchi kufungiwa kwa kuchezesha wachezaji wenye umri mkubwa.

Mwisho, tunawatakia kila la heri timu yetu, tunasema mnaweza, timizeni wajibu wenu ishindeni Uganda kama ilivyofanya Kilimanjaro Stars dhidi ya kwa The Cranes mwezi Desemba.
 
Maandalizi duni ya wanamichezo wetu hadi lini? Send to a friend Saturday, 16 April 2011 09:17

KATIKA mashindano ya 19 ya Jumuiya ya Madola nchini India mwaka jana, Tanzania ilitoka kapa katika mashindano hayo na kurejea nchini na sababu nyingi kubwa ikiwa ni maandalizi mabovu.

Wanamichezo hao ambao ni washiriki kutoka Chama cha Riadha, Ngumi, Kuogelea, Mpira wa Meza na Michezo ya Walemavu (Paralimpiki) ambao wote kwa pamoja kabla ya kuondoka nchini walikiri kuwa wako tayari na wamefanya maandalizi ya kutosha.

Pamoja na matokeo hayo yasiyoridhisha kwenye michezo ya India, bado vyama vya michezo hiyo pamoja na serikali wanaonekana kutotilia mkazo suala la maandalizi ya timu zetu kwani hadi sasa ikiwa imebaki miezi mitano kabla ya kufanyika kwa michezo wa Afrika kule Maputo, Msumbiji na ile ya Olimpiki mwaka 2012 lakini hakuna maandalizi yoyote ya maana yanayofanya kwa ajili ya michezo hiyo.

Tunafahamu vyama na mamlaka husika yenye jukumu la kusimamia na kuhakikisha wachezaji wa Tanzania wanafanya vema katika mashindano hayo kwa kuwajengea msingi mzuri tangu chini wanatakiwa kulifanya hilo kwa umakini zaidi ili kuondoa dhana ya maandalizi mabovu mara baada ya kushindwa.

Vilevile, katika kuchagua timu za kushiriki mashindano hayo ya Afrika na Olimpiki vyama vinatakiwa kuchagua wachezaji wenye sifa na si kuchagua kwa kumwangalia mtu usoni au kufuata historia kuwa aliwahi kushiriki mashindano fulani huku kiwango chake kikiwa kimeshuka.

Tusifikirie wachezaji kama waogeleaji, riadha, ngumi na michezo mingine wanapatikana Dar es Salaam pekee eti kwa kuwa kuna shule pekee ya Olimpiki Tanzania.

Kama nchi, tunatakiwa kuondoa dhana hiyo potofu na kutoa nafasi kwa watoto hata wa mikoani, kwani yawezekana vipaji vingi viko huko na vina uwezo wa kufanya vema kimataifa lakini hakuna wa kuviibua kwa dhana kuwa Dar es Salaam ndiyo chimbuko la kila kitu.

Mbali na kuibua vipaji hivyo pia, tufanye maandalizi mapema na kama kikwazo cha Tanzania kushindwa ni maandalizi mabovu, basi mbichi na mbivu zitajulikana Septemba 3, Maputo kwenye mashindano ya Afrika.

Tunafikiri kusubiri kwa mwezi moja ndipo tuanze maandalizi hadithi itabaki ile ile ya kuwa wasindikizaji kwenye michezo hii ya Afrika hata ile ya Olimpiki itakayofanyika London mwakani.
 
Manyara Stars inahitaji maandalizi mazuri zaidi Send to a friend Sunday, 10 April 2011 20:41

TIMU ya taifa ya vijana chini ya miaka 23, Manyara Stars juzi ilifanikiwa kufuzu kwa hatua ya pili ya michuano ya Olimpiki baada ya kuichapa Cameroon kwa penalti 4-3 kufuatia ushindi wake wa mabao 2-1 kwenye muda wa kawaida na kuifanya mechi hiyo kuchezwa dakika 120.

Kwanza, tunawapongeza wachezaji wote pamoja na benchi la ufundi chini ya kocha wao, Jamhuri Kihwelo 'Julio' kwa ushindi huo muhimu katika kuelekea kutimiza ndoto ya kucheza Michezo ya Olimpiki hapo mwakani nchini Uingereza.

Hatuna budi pia kuwashukuru mashabiki wote waliojitokeza uwanjani Jumamosi na kuishangilia timu hiyo kwa muda wote na kufanikisha ushindi huo siku zote tunaamini shabiki ni mchezaji wa 12, bila yeye uwanjani hakuna soka.

Pamoja na ushindi huu, tunaamini sasa ndio wakati wa kuiandaa timu hii vizuri zaidi ikiwezekana kutafutiwa kambi hata nje ya nchi kabla ya mechi yake ya mwisho ya kufuzu kwa michezo hiyo ya London 2012 ambayo itachezwa mwezi Juni.

Pia, tunadhani kwamba kikosi hichi kilichopata ushindi dhidi ya Cameroon ndicho kitakachotumika kushiriki kwenye harakati za kusaka tiketi za kucheza Michezo ya Afrika itayofanyika Septemba nchini Msumbiji ambacho kitachuana na wenzao wa Uganda.

Ni wajibu wa kocha (Julio) kwa sasa kuchagua wachezaji wenye umri sahihi kwa nia ya kutengeneza kikosi ambacho kitakuwa imara na kitachoshiriki fainali hizo za Afrika na Olimpiki hapo mwakani bila ya kuwa na tatizo la umri miongoni mwa wachezaji wake.

Kwa upande wetu, bado tunaamini kuwa vijana hao wakipewa matunzo zaidi wanaweza kutumika kwenye katika timu ya taifa (Stars) siku zijazo ili kuwajengea uzoefu na kusaidia kuwa na kikosi cha pili bora cha timu ya taifa chenye mchanganyiko wa damu.

Kwa hiyo, tunalitaka Shirikisho la Soka nchini (TFF), kwa kushirikiana na wadhamini na wadau mbalimbali wa soka watakuwa bega kwa bega katika kuiandaa timu hii ya vijana ili weze kufanya vema kwenye michezo yake iliyosalia.

Kwa upande wa wachezaji, nao waepuke kulewa sifa watambue kwamba safari ya mafanikio ndio kwanza imeanza na kwamba kila safari huanza kwa hatua na kwamba walichojifunza kwa The Indomitable Lions kiwasaidie kumkabili adui ajaye, tena kwa mafanikio makubwa zaidi.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom