Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Fans accuse Football Association over FA Cup final ticket-price hike

• Cost of watching Wembley showpiece rises by 22%
• Fans will have 'to choose between the final or a holiday'



  • Agencies
  • guardian.co.uk, Thursday 14 April 2011 23.46 BST <li class="history">Article history
    Chelsea-v-Portsmouth-FA-C-007.jpg
    Didier Drogba and Frank Lampard celebrate after Chelsea's 1-0 victory over Portsmouth in last season's FA Cup final. Photograph: Tom Jenkins for the Guardian

    The Football Association has been accused of exploiting fans by increasing ticket prices for the FA Cup final by up to 22%, compared to 2010. The most expensive ticket to watch the final at Wembley on 14 May will cost £115, compared with £95 last year. Other tickets will be available at £85 and £65 and the cheapest will cost £45 &#8211; £5 more than last season.
    Manchester United play Manchester City on Saturday for a place in the final, with Bolton Wanderers facing Stoke City in the other semi-final on Sunday. Both matches are being staged at Wembley.
    "Twenty per cent is a ridiculous rise," said Kevin Parker, chairman of the Manchester City Supporters' Club told the Telegraph. "They are taking advantage of the fact that fans will want to be there. There is a difference between wanting a ticket for the final and actually being able to afford one. Very few people nowadays buy just one ticket - you buy for your family as well, and to take four down now will cost the better part of £1,000. It's a rip-off."
    David Blackburn, a season-ticket holder at Bolton, said: "Given the cost of travelling down for all four teams for both the semi-final and the final, this is a disgusting rise. For a lot of families, it may come down to choosing between a Cup final and a holiday."
    The FA said the prices offered good value, especially compared with the Champions League final &#8211; which is being held at Wembley on 28 May. Tickets for that match cost between £80 and £300.
    An FA spokesman said: "Our FA Cup final ticket price structure is in line with other major sporting events held in the country every year. Prices for this weekend's semi-final ties have not changed despite the increase in VAT at the start of the year."

 
Owen Hargreaves out for Manchester United's finale, says Alex Ferguson

&#8226; Shoulder injury the latest problem to beset England midfielder
&#8226; Anderson added to squad for FA Cup semi-final on Saturday



  • Andy Hunter
  • guardian.co.uk, Friday 15 April 2011 10.41 BST <li class="history">Article history
    Alex-Ferguson-Owen-Hargre-007.jpg
    Sir Alex Ferguson has said a shoulder injury will keep Owen Hargreaves out for the rest of the season. Photograph: Tom Jenkins for the Guardian

    Owen Hargreaves is facing a premature end to his career after Sir Alex Ferguson revealed the Manchester United midfielder will not play again this season due to a shoulder injury.
    The 30-year-old has played only six minutes of first-team football for United over the past two seasons and is out of contract this summer, with talks having already taken place over his future. Hargreaves has been beset by serious injury since moving to Old Trafford from Bayern Munich for £17m in 2007 and required surgery to address tendinitis in both knees.
    A surprise comeback against Wolverhampton Wanderers in November was curtailed by a hamstring tear after six minutes and his hopes of featuring in this season's finale, and of possibly securing a pay-as-you-play contract extension, have now been dashed by a shoulder injury.
    Asked if he expected the former England international to feature in the final weeks of the campaign, Ferguson said: "I don't see it at all. It's a shoulder injury that puts his season to an end, to be honest. He's just carried bad luck since he's been here. I'm pretty sure he won't play again this season. His contract is up at the end of the season. David [Gill, United's chief executive] had a discussion with him last week but no more than that, we will have to make a decision on that."
    Hargreaves' medical history means he is unlikely to attract any long-term contract offers this summer, with United having taken a major financial hit on a player who has started only 26 games in all competitions since his arrival four years ago.
    Darren Fletcher, meanwhile, remains sidelined by the effects of a debilitating virus that has kept him out since the defeat at Liverpool on 6 March. "Fletcher is back in training. He's not doing a lot but has put the weight back," said Ferguson. "He is a couple of weeks away."
    The suspended Wayne Rooney and Jonny Evans are United's only other main absentees for the FA Cup semi-final against Manchester City, with the return of Anderson from injury further strengthening United's squad as they pursue the treble.
    "Anderson played an hour last night [for the reserves] and on Saturday, and is much better. To consider him for Wednesday [against Chelsea] would have been too much. I knew the kind of game it was going to be, fantastic pace and a very competitive game. Having had another hour last night and played last Saturday he is much better now so we are in a strong position," said Ferguson.

 
Arsène Wenger restates control of team at Arsenal under Stan Kroenke

&#8226; Arsène Wenger says 'I run the technical department'
&#8226; Manager met Stan Kroenke at Thursday board meeting



  • Press Association
  • guardian.co.uk, Friday 15 April 2011 14.48 BST <li class="history">Article history
    wenger-007.jpg
    Arsène Wenger said his Arsenal team did not think that one bad result would end their title challenge. Photograph: Tom Jenkins for the Guardian

    Arsène Wenger has said that he will stay in charge of team affairs at Arsenal regardless of the American investor Stan Kroenke's multi-million-pound takeover of the club, which was announced this week.
    Kroenke is set to take a controlling 62.89% stake in the Premier League club, having agreed to buy out the holdings of Lady Nina Bracewell-Smith and the late Danny Fiszman for around £234m. Kroenke Sports Enterprises is now obliged to make a cash offer for the remaining capital at £11,750 per share, valuing the Gunners' parent company at around £731m. However, that process is not guaranteed, with Red & White Holdings &#8211; which is backed by the Uzbek businessman Alisher Usmanov &#8211; stating that it has no intention of selling its 27% stake. The Arsenal Supporters' Trust has said that all of its minority shareholders will not sell.
    The deal is now subject to the strict rules of the Takeover Panel and Arsenal are limited as to any public comments they can make. However, when pressed at a press conference ahead of Sunday's home match against Liverpool, Wenger said that changes behind the scenes would have no impact on the way his team is managed.
    "We will continue to run the club with the technical department having the decision on what is technical," said Wenger, who spoke to Kroenke at a board meeting on Thursday. "For all the rest I have to answer to Stan Kroenke and I am ready for any questions, but I run the technical department.
    "On the football side of things, we will continue to focus on the football the way we want to play it to develop our players. We have a squad which is about 23 years of age who are in a strong position in the league. We have a certain philosophy of football and we will continue to develop that and to play even better. We will continue to run the club like it has been done until now &#8211; that means live within our resources, produce our own resources and develop our football team."
    Arsenal are seven points behind the Premier League leaders, Manchester United, who play Manchester City in the FA Cup semi-final at Wembley on Saturday. Arsenal play their own derby, against Tottenham Hotspur, on Wednesday night and United come to the Emirates Stadium on 1 May.
    Wenger said there could be no talk of one bad result effectively ending his team's title bid.
    "We don't approach a game in that mental state, we think it is an opportunity we want to take," the manager said. "[Liverpool] is one of the games that can get us to the target that we want so we look at it in a positive way. Liverpool have a good offensive force with [Andy] Carroll and [Luis] Suárez, we are as well an offensive team so it promises to be an interesting game."

 
Arsène Wenger restates control of team at Arsenal under Stan Kroenke

• Arsène Wenger says 'I run the technical department'
• Manager met Stan Kroenke at Thursday board meeting



  • Press Association
  • guardian.co.uk, Friday 15 April 2011 14.48 BST <li class="history">Article history
    wenger-007.jpg
    Arsène Wenger said his Arsenal team did not think that one bad result would end their title challenge. Photograph: Tom Jenkins for the Guardian

    Arsène Wenger has said that he will stay in charge of team affairs at Arsenal regardless of the American investor Stan Kroenke's multi-million-pound takeover of the club, which was announced this week.
    Kroenke is set to take a controlling 62.89% stake in the Premier League club, having agreed to buy out the holdings of Lady Nina Bracewell-Smith and the late Danny Fiszman for around £234m. Kroenke Sports Enterprises is now obliged to make a cash offer for the remaining capital at £11,750 per share, valuing the Gunners' parent company at around £731m. However, that process is not guaranteed, with Red & White Holdings – which is backed by the Uzbek businessman Alisher Usmanov – stating that it has no intention of selling its 27% stake. The Arsenal Supporters' Trust has said that all of its minority shareholders will not sell.
    The deal is now subject to the strict rules of the Takeover Panel and Arsenal are limited as to any public comments they can make. However, when pressed at a press conference ahead of Sunday's home match against Liverpool, Wenger said that changes behind the scenes would have no impact on the way his team is managed.
    "We will continue to run the club with the technical department having the decision on what is technical," said Wenger, who spoke to Kroenke at a board meeting on Thursday. "For all the rest I have to answer to Stan Kroenke and I am ready for any questions, but I run the technical department.
    "On the football side of things, we will continue to focus on the football the way we want to play it to develop our players. We have a squad which is about 23 years of age who are in a strong position in the league. We have a certain philosophy of football and we will continue to develop that and to play even better. We will continue to run the club like it has been done until now – that means live within our resources, produce our own resources and develop our football team."
    Arsenal are seven points behind the Premier League leaders, Manchester United, who play Manchester City in the FA Cup semi-final at Wembley on Saturday. Arsenal play their own derby, against Tottenham Hotspur, on Wednesday night and United come to the Emirates Stadium on 1 May.
    Wenger said there could be no talk of one bad result effectively ending his team's title bid.
    "We don't approach a game in that mental state, we think it is an opportunity we want to take," the manager said. "[Liverpool] is one of the games that can get us to the target that we want so we look at it in a positive way. Liverpool have a good offensive force with [Andy] Carroll and [Luis] Suárez, we are as well an offensive team so it promises to be an interesting game."
 
Muswada sheria ya Hakimiliki ufanyiwe kazi

ban_tahariri.jpg

amka2.gif
KWA muda mrefu nyanja ya sanaa imepiga kelele kuhusu namna ya kupata maendeleo ya kazi wanazozifanya na kufikia malengo stahili.
Katika harakati hizo za kusaka namna ya kufanikisha malengo yao, kuna wenye kufahamu haki na sheria zao ambazo zinawalinda katika safari zao za kuboresha kazi zao.
Sheria za kazi za sanaa zimetungwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ambazo zinashikiliwa na Chama cha Hakimiliki na Shiriki Tanzania (COSOTA), ambacho ni zao la Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko.
Awali sheria ya hakimiliki ilianzishwa mwaka 1911, ambayo ilifanyiwa marekebisho mwaka 1966, 1999 na miaka michache iliyopita, lakini wadau wamependekeza ifanyiwe mabadiliko kwa mara nyingine.
Sababu za kupendekeza kufanyiwa mabadiliko ya baadhi ya sheria za hakimiliki ni baadhi yake kuwa na upungufu ambao hauisaidii tasnia ya sanaa Tanzania.
Katika harakati za kusaka namna ya kufanyiwa marekebisho ya sheria za hakimiliki na shiriki, asasi ya Rulu Arts ni mojawapo ya wapigania taratibu hizo zitakazofanikisha utekelezwaji wa sheria hizo.
Sisi Tanzania Daima tunaipongeza Rulu Arts kwa kusaka namna ya kuwapatia maendeleo wasanii, kwa kuanza na sheria za hakimiliki, ambazo hazina meno yatakayofanikisha maendeleo ya wasanii.
Tunaamini baada ya Rulu Arts kuandaa taratibu zenye lengo la kuboresha maendeleo ya wasanii, inatakiwa pia wasanii kuzitambua haki zao za msingi kwa kufuatilia kwa karibu maendeleo yao.
Ni jambo la kushangaza baadhi ya wasanii kutotambua taratibu ambazo zinafanikisha maendeleo yao, ili kukwepa kelele za kudhulumiwa na kuibiwa kazi zao huku wenyewe hawana mpangilio wa kujua namna wizi huo unavyofanyika.
Sisi Tanzania Daima tunasema iwapo upungufu wa sheria za hakimiliki utafanyiwa kazi kwa haraka na wizara kwa kushirikiana na COSOTA, maendeleo kwa wasanii yatapatikana na kupunguza kelele ambazo zinatokana na kudhulumiwa kazi zao.
Kwa kuwa taratibu za mabadiliko ya sheria hizo bado ziko mezani kwa Wizara ya Viwanda, Biashara na Masoko, ni jambo la kusubiri utekelezaji wake lakini Tanzania Daima tukiwa ni taasisi yenye lengo la kushirikiana na jamii, tunaikumbusha wizara kuzingatia suala hilo ili kuondoa malalamiko ambayo yanaweza kupatiwa ufumbuzi.
Serikali inatakiwa ilizingatie suala hilo kwa sababu hivi karibuni, mchumi Dk. Aikael Jehovaness, alichambua pato linalotokana na sanaa ya muziki ambalo linapotea kutokana na upungufu wa sheria ya hakimiliki, mwaka 2007 tasnia ya sanaa ilichangia sh bil. 71 tu katika pato la taifa.
Uchambuzi huo wa Dk. Aikael umegusa mahali pake, kwa sababu mara nyingi wasanii wanalalama kwamba wanaibiwa kazi zao, bila ya kuwa na takwimu, inaonekana kwamba suala hilo litafanyiwa kazi kwa haraka kwa takwimu iliyoonyeshwa na msomi huyo.
Sasa kama pato la mwaka mmoja ambao ni 2007 ni sh bilioni 71 na kwa nyanja moja ya sanaa, na sasa hivi nyanja ya sanaa imepanuka, serikali ifumbue macho na kuona kuwa nyanja ya sanaa ndiyo sehemu kubwa ya pato lake.
Sisi Tanzania Daima tunamalizia kwa kuikumbusha serikali kuwa nchi kama Marekani, Uingereza na nyinginezo uchumi wa nchi zao unaongozwa na wasanii na wanamichezo, ambao pato lao linalotokana na kazi zao, huleta maendeleo ya nchi zao.
 
Wasanii, serikali usingizi mzito
ban.mtazamo.jpg


Makuburi Ally​

amka2.gif
UKITAZAMA mara nyingi watendaji wa kazi za sanaa wamekuwa ni wa kulalamika tu, hali ambayo inaonyesha kwamba sanaa inaelekea kaburini ingawa ina mchango mkubwa wa maendeleo ya jamii.
Umuhimu wa sanaa katika maendeleo yoyote unatokana na kuwa ndiyo dira ya maendeleo ya jamii, kwa sababu asilimia kubwa ya matakwa ya jamii yanapitia katika sanaa kwa kiasi kikubwa.
Ndiyo maana watoto wengi wanajifunza masuala mengi kupitia sanaa, kwa sababu wanajifunza kupitia wasanii bila kujali ni sanaa ipi inayowasilisha jambo kwa hadhira.
Wasanii pia hutumika katika majukwaa ya siasa kwa ajili ya kuleta hamasa kwa hadhira ili wamsikilize mgombea wa nafasi ya uongozi bila kujali kama ni mwenyekiti wa kijiji ama rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Lakini pamoja na msanii kuhitajika katika kampeni za kuwania uongozi, mgombea akifanikiwa kupata nafasi, thamani yake inapotea na kukosa mwelekeo hadi uchaguzi ujao, jambo ambalo badala ya kuinuka, wanaanza upya.
Ukitazama wasanii wa Tanzania wenye maendeleo yanayotambulika ni wachache lakini wenzangu na mimi ndio wengi, jambo ambalo linakatisha tamaa maendeleo ya tasnia hiyo.
Hali inayosababisha wasanii kuwa katika hali duni, inatokana na wengi wao kutojitambua katika mpangilio wa kazi zao.
Inaonekana hawatambui taasisi zinazohusika na kazi zao kama Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA), Chama cha Hakimiliki na Shiriki Tanzania (COSOTA) na wengineo wanaohusika na sanaa.
Inashangaza siku moja Mwanasheria wa COSOTA, Doreen Anthony, aliwahi kutamka kwamba kuna wasanii ambao hata zilipo ofisi za chama hicho hawapafahamu na wengine hata kitu COSOTA, hawakifahamu na shughuli za chama hicho pia hawazifahamu na hawataki kupata elimu kupitia hakimiliki na shiriki.
Sasa kama ni hivyo, inatia mashaka kwa safari ya maendeleo ya sanaa kutokana na kwamba wanaopigiwa chepuo wenyewe hawako tayari kwa mipangilio ya maendeleo.
Mshangao kama huo uliwahi kutolewa na mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Stara Thomas, katika mkutano mmojawapo wa mikutano ya sanaa, alijaribu kutazama mwelekeo wao na wasanii wenyewe, alipatwa na kigugumizi.
Katika tamko lake kuhusu maendeleo ya sanaa alishindwa pa kuanzia na badala yake alisema, "Sijui wasanii wana tatizo gani, hatuna umoja ambao utakuwa na sauti itakayofikishia mambo yetu mbele."
Sasa wasanii wanatakiwa kugeuka nyuma na kutazama mienendo yao ili wasake njia mahususi ya maendeleo, badala ya kuendeleza &#8216;ubwana' ambao ndani ya kipindi kifupi unapotea.
Ukiitathmini sanaa ya Tanzania ina vyama, mashirikisho na asasi nyingi, ambavyo vyote vinapigania maendeleo ya wasanii lakini bado kuna kelele zisizokwisha.
Kwa maana nyingine, sisi wenyewe tutazame kasoro zetu ambazo ni &#8216;Umiminaizesheni' ambao hautusaidii katika maendeleo tunayohitaji yatufikishe tunakohitaji.
Ingawa katika mipangilio ya kupata maendeleo inatakiwa kila mmoja ajipange kivyake, lakini katika suala ambalo linahitaji umoja, basi lifanyike lakini si fulani anaanzisha wengine hawapendi.
Tubadilike na tusake maendeleo ili tufanane na baadhi ya nchi ambazo ziko juu kimaendeleo kupitia tasnia hiyo.
Tukitazama nchi kama Marekani, uchumi wake unashikiliwa na wasanii ambao pato la nchi kwa asilimia kubwa linatokana na kazi zao sambamba na michezo pia, jambo ambalo wasanii na serikali yetu hawajapeana mikakati ya ukweli ili kutekeleza maendeleo stahili.
Tuipe thamani sanaa yetu kwani kuna baadhi ya nchi wanatumia picha ya msanii mchongaji katika fedha zao, jambo ambalo linaonyesha jinsi wanavyojali sanaa zao.
Serikali pia inatakiwa iwe karibu zaidi hasa kwa kutoa maelekezo mbalimbali kuhusu sanaa kwa vyama kama COSOTA na BASATA ili wasaidie wadau badala ya kuwaacha wapotee kwa kuandaa semina ama vipeperushi ambavyo vitasaidia kutambulisha maendeleo yao.
Sababu za kutofahamika kwa vyama na mabaraza zinatokana na wahusika kuketi ofisini bila ya kusaka namna ya kutambulika kwa jamii, jambo ambalo linashangaza, kwa sababu wasanii wote wako chini yao.
 
&#8216;LE GRANDE MAITRE' FRANCOIS LUAMBO MAKIADI - Wapi alikotokea?
ban.blank.jpg


Khadija Kalili​

amka2.gif
FRANCOIS Luambo Makiadi alizaliwa Julai 6, 1938 katika Kijiji cha Sona-Bata , wakati huo Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ikijulikana kama Zaire.
Baba yake, Joseph Emongo alikuwa mfanyakazi katika kampuni ya reli wakati mama yake akiwa mjasiriamali akitengeneza na kuuza mikate.
Kipaji cha muziki kilianza kuonekana tangu akiwa na umri wa miaka saba tu. Alijitengenezea gitaa lake katika umri huo. Wakati huo alikuwa akiburudisha wanunuzi wa mikate sehemu aliyokuwa akifanyia biashara mama yake.
Kipaji chake kilivumbuliwa na mcharaza gitaa, Paul Ebengo Dewayon, ambaye alimchukua na kumpa mbinu mbalimbali za upigaji wa gitaa. Franco hakufanya ajizi, alichota vilivyo ujuzi kutoka kwa bendi ya Dewayon akiwa na miaka 12. Akiwa katika bendi ya Dewayo aliweza kukonga nyoyo za wapenzi wa muziki kwa namna alivyokuwa mahiri katika ucharazaji wa gitaa lililokuwa likionekana ni kubwa kulinganisha na umri wake. Alihusika katika kutengeneza singo Bolingo na ngai na Beatrice ( mapenzi yangu kwa Beatrice) mwaka 1953.
Mwaka 1956 akiambatana na Jean Serge Essous, waliunda rasmi bendi ya OK Jazz ambayo baadaye ilikuja kuwa TP OK Jazz. Miaka miwili baadaye Essous aliiacha TP OK Jazz na Franco alichukua uongozi wa bendi. TP OK Jazz chini ya Franco ilikua kwa haraka kutoka wanamuziki 6 hadi kufikia 50.
Kwa zaidi ya miaka 30 aliijenga bendi na kuzoa umaarufu kwa kurekodi na kufanya maonyesho duniani kote wakati wakitafuta staili itakayokuwa ikiwatambulisha. Bendi ilikamata chati na kutengeneza albamu zaidi ya 150 na kuuza nakala zaidi ya 50,000.
Franco kwa zaidi ya miaka 30 alitawala anga la muziki na kujizolea sifa kemkem barani Afrika. Na wakati huohuo akiongoza chati za muziki barani humu na albamu zake 150 kwa asilimia kubwa zikitamba vilivyo.
Pamoja na kutokuwa na elimu ya kutosha, Franco alikuwa na kipaji cha hali ya juu akikubalika na makundi mengi ya kijamii na hakuwa mwanamuziki tu bali mburudishaji wa kweli. Tungo zake nyingi ziligusa makundi mbalimbali ya kijamii nchini Zaire na hata Bara zima la Afrika.
Hakuburudisha tu, alionya na kufundisha pia hasa yale makundi ambayo hayakuwa na tabia zinazoridhisha katika jamii na kwa Wakongo kuna wakati fulani walikuwa wakimuona kama anaimba injili au alikuwa na maono fulani.
Franco alikuwa akijulikana kama mwanzilishi wa gitaa &#8216;The sorcerer of the guitar' kwa utaalamu wake uliopindukia katika kucharaza kifaa kile.
Aliwahi kupewa majina mbalimbali kama &#8216;Le Grande Maitre'. Kwa zaidi ya miaka 30 TP OK Jazz iliweza kusimama kwenye mstari kama bendi iliyoongoza barani Afrika na kujizolea maelfu ya mashabiki.
Miongo kadhaa sasa imepita tangu kutokea kifo chake, muziki wake bado unasikika ingawa si kwa kiwango kikubwa, lakini haijapata kutokea mwanamuzki wa kiwango chake kuwa na mafanikio aliyowahi kuyapata.
Bendi nyingi zimeibuka na kupotea katika anga la muziki, aina ya muziki wa Franco pamoja na kutokuwepo kwake sasa ukipigwa hata leo bado unakubalika kwa kiasi chake, ingawa lugha aliyokuwa akitumia (Kilingala) haieleweki miongoni mwa wengi.
Hakuna mwanamuziki hata mmoja wa leo barani Afrika anayeweza kujigamba kwamba amefikia umaarufu au kiwango na mafanikio aliyowahi kupata Franco. Muziki wake umeweza kurithishwa kizazi hadi kizazi, tofauti na wanamuziki wa sasa ambao tungo zao ni za leo na kesho huna hata hamu ya kusikiliza.
Ni aina ya muziki ambao mzazi anaweza kukaa na mtoto wake wakasikiliza kwa pamoja bila haya wala soni na wakaburudika vilevile.
Franco alifariki dunia Oktoba 12, 1989 akiacha watoto 18.
 
Matangazo kibao kwenye filamu ni wizi mtupu
ban.blank.jpg


Shabani Matutu​

amka2.gif
LEO katika sehemu hii ya Vunja vunja nitakuwa na mada inayohusu matangazo yanayoonyeshwa kabla ya kuanza kwa filamu.
Imekuwa kama fasheni kwa waigizaji wa hapa nyumbani kutngeneza filamu huku wakirundika matangazo lukuki mwanzo wa filamu hizo.
Sijui kama wao wanauwa wanafurahia namna wanavyokuwa wanatufanyia watazamaji tunaokuwa tunazitazama filamu hizo.
Matangazo yanakuwa mengi marefu mpaka inakuwa kero hadi kuifikia filamu inaweza kukuchukua takribani dakika 30 hivi.
Waigizaji wanasahau kuwa filamu ni biashara hivyo kwa ujanja wanaokuwa wanaufanya kuweka matangazo ili yatoshe DVD moja kwa ajili ya kutengeneza ya pili ni wizi.
Kwa msomaji utakubaliana nami kuwa urefu wa matangazo hayo kama sipoyapeleka mbele itakuchukua muda mrefu sana kuifikia filamu ambayo hailingani kabisa na urefu wa matangazo hayo.
Kwanza utamuona mkinga na DVD yake akikunja ambaye kwangu sina shida naye sasa yanapoanza kufuata matangazo ya filamu zinazotarajiwa kutoka ndipo utachoka kabisa.
Urefu wa matangazo hayo unanifanya nipate maswali yafuatayo:
Inawezekana hii ndiyo njia inayotumiwa kumuaminisha mteja kuwa filamu inayokuwa kwenye DVD yake si fupi?
Au pengine najiuliza ni kwa sababu ya kubana nafasi ili waweze kutengeneza muendelezo wa sehemu ya pili ambayo nayo mchezo huo unakuwa unaendelea?
Kwa wale wanaokuwa wanarusha michezo luningani huwa wanaweka matangazo kwa ajili ya kudhamini vipindi sasa hapa huwa najiuliza nao wanapata udhamini kupitia filamu hizi?
Si kwamba nakaa wao kutangaza kwenye mikanda yao ila ningependa kueleweka kuwa tangazo linapokuwa refu sana na mengi zaidi ya kile kinachotazamwa haipendezi.
Hapo muda uliopita filamu za Bollywood nikimaanisha India zilikuwa zikitumia staili ya matangazo lakini baada ya kugundulika kuwa yalikuwa yakiwaudhi mashabiki waliamua kuachana nayo.
Sitaki soko la filamu la hapa nyumbani lifikie huko, hivyo wasanii na watayarishaji watafute njia nyingine ya kutangaza ambayo haitawakwaza mashabiki wa filamu zao.
Katika utafiti wangu nimegundua kuna Watanzania wengi wanaokuwa wakiona filamu hizo mwanzoni huwa hawapotezi muda wao kuangalia matangazo hayo zaidi ya kuyapeleka mbele.
Ni bora wasanii wetu watambue kuwa ubora wa kazi utasaidia kuinua soko la nyumbani.
Kuinuka kwa soko la hapa nyumbani hakutategema kufanya kazi za kiujanja ujanja kama hizi.
Kabla ya kukimbilia kwenye soko la kimataifa lazima wasanii wetu wajue kuwa kuna umuhimu wa kufanya liwezekanalo kuepukana na tabia hizi za ujanja wa kitoto wa kuwafanyia wizi wateja wao.
Waswahili wanasema kuwa &#8216;Heri moja kenda shika kuliko kumi nenda rudi', wasanii wanatakiwa kuutathmini msemo huu pindi wanapotengeneza filamu zao.
Itakuwa ni hasara kubwa endapo unaweka matangazo kibao kwenye filamu ya kwanza kwa ajili ya kutafuta kutengeneza sehemu ya pili na ile ya kwanza inapokuwa mbaya itasababisha hata ile ya pili kuwa mashakani pindi inapoingia sokoni.
Kauli yangu ya leo ni kwamba matangazo marefu kwenye filamu ni wizi kwa mashabiki wenu. Tuonane wiki ijayo.


h.sep3.gif

Maoni na ushauri namba 0717 368 668.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom