Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Tanzania kushiriki tenisi ya vijana


na Samia Mussa


amka2.gif
TANZANIA inatarajiwa kushiriki mashindano ya tenisi ya vijana kati ya miaka 12 na 14 yatakayoanza Aprili 19 hadi 28 jijini Nairobi, Kenya.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kocha mkuu wa mchezo huo hapa nchini, Salum Mvita alisema, Tanzania inatarajiwa kuwakilishwa na wachezaji wanane, ambao walichaguliwa hivi karibuni katika viwanja vya Gymkhana jijini.
Alisema kuwa, wachezaji hao baadhi yao wamechaguliwa kutoka Arusha, ambako wanatarajiwa kuondoka Aprili 18 mwaka huu kwa ajili ya kushiriki mashindano hayo.
Aidha, Mvita aliwataja wachezaji hao kuwa ni pamoja na Martin John, Omary Hamisi, Fred Benard, John Njau, Godluck Shelemo, Zuhura Baraka, Sarah Bura na Zuhura Isihaka.
Mvita alisema kuwa, katika kuhakikisha Tanzania inanyakua ushindi katika mashindano hayo, timu hiyo inaendelea kufanya mazoezi ya nguvu, pamoja na wachezaji ambao hawakuchaguliwa kwenye viwanja vya Gymkhana.
“Wachezaji tuliowachagua, tuna uhakika watatuwakilisha vizuri kwenye mashindano hayo, kwa sababu wana uwezo mzuri na kuchangia na maandalizi mazuri tuliyofanya,” alisema Mvita.
 
Gofu kushiriki Kanda ya Sita Mombasa


na Mwandishi wetu


amka2.gif
TIMU ya taifa ya gofu, inatarajiwa kushiriki michuano ya Kanda ya Sita Afrika yanayotarajiwa kutimua vumbi Aprili 13 hadi 15 kwenye viwanja vya Klabu ya Nyali Golf & Country, Mombasa, Kenya.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Kocha msaidizi wa mchezo huo, Stanley Sanga alisema, timu hiyo ambayo iko chini ya Kocha Mkuu, Mzimbabwe, Farayi Chitengwa, inaundwa na wachezaji wanane.
Sanga aliwataja wachezaji hao kuwa ni Frank Roman, Abbas Adam kutoka Gymkhana Moshi, Elisante Lembris, Nuru Mollel, Jimmy Mollel wa Gymkhana Arusha, Godfrey Leverian Gymkhana Morogoro na wachezaji wawili wa Gymkhana Dar es Salaam, Iddi Mzaki na Michael Makala.
Aidha, Sanga alisema, kikosi hicho kilichotajwa, kina wachezaji ambao wana uzoefu na mashindano ya kimataifa, hivyo Watanzania watarajie ushindi wa kishindo.
Alisema mashindano hayo mwaka jana yalifanyika Gaborone, Botswana, ambako Tanzania ilishika nafasi ya sita baada ya kukusanya pointi 10 na nusu, kati ya nchi 12 zilizoshiriki.
Sanga alisema kuwa wenyeji Kenya ndio mabingwa watetezi baada ya kunyakua taji wakiwa na pointi 21, huku Afrika Kusini wakishika nafasi ya pili kwa pointi zao 19 na nusu, wakati nafasi ya tatu ilikwenda kwa Namibia wakiwa na pointi 16 na nusu.
 
SHIMIWI waanza kutekeleza agizo la Luhanjo


na Samia Mussa


amka2.gif
SHIRIKISHO la Michezo, Wizara na Idara za Serikali (SHIMIWI), limeanza utekelezaji wa agizo lililotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo, kulitaka kuhamasisha wafanyakazi bila kujali ni kada gani kufanya mazoezi ili kuimarisha afya zao.
Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam juzi, Katibu Mkuu wa SHIMIWI, Ramadhani Sululu ‘Uncle', alisema kuwa, wakati huu kuna maradhi mengi, hivyo makatibu wakuu, manaibu makatibu wakuu, wakuu wa Idara zinazojitegemea na wakurugenzi wa utawala na utumishi na watumishi wa serikali wote, wanatakiwa kufanya mazoezi ili wajiepushe matatizo kama ya kisukari, shinikizo la damu na ulevi wa kupindukia.
Sululu alisema, shirikisho hilo limeanza kutoa agizo kwa makatibu wa klabu katika wizara, kuandaa utaratibu wa kufanya mazoezi ya mara kwa mara kabla ya mashindano, ikiwa ni pamoja na kuandaa mashindano kati ya idara na idara.
Aidha, Sululu alisema kuwa, agizo hilo la Katibu Mkuu Kiongozi, alililotoa kwa SHIMIWI mwaka 2006 alipokuwa akizindua bonanza la michezo lililofanyika kwenye viwanja vya Sigara jijini Dar es Salaam, ambako pia aliwataka kuandaa bonanza kila Jumamosi ya mwisho ya Mei.
Alisema, watumishi wa idara na wizara zinazoshiriki, hazina utaratibu wa kufanya mazoezi hadi kuanza kwa mashindano, hivyo kuwataka kufanya utaratibu wa kuwa na mazoezi ya mara kwa mara ili kuimarisha afya zao na kudumu muda mrefu katika michezo mbalimbali.
 
Julio:Tupo tayari ya yeyote yule Send to a friend Tuesday, 12 April 2011 20:01

Sosthenes Nyoni
WAKATI Shirikisho la Soka Afrika (CAF) leo likipanga ratiba ya raundi ya pili kwa vijana kusaka tiketi kufuzu kwa Michezo ya Olimpiki 2012, kocha wa Tanzania, Jamhuri Kihwelo'Julio' amesema Cameroon ndiyo timu pekee aliyokuwa akihofia kwenye michuano hiyo.

Tanzania baada ya kufanikiwa kufuzu kwa hatua ya pili kwa kuitoa Cameroon kwa mikwaju ya penalti 4-3 baada ya kwenda sare 3-3, imetupwa kwenye Kundi B ikiwa pamoja na Senegal (14) ;Benin (17) ; Mali (18) ; Zambia ( 22) ; Sudan ( 26) ; Congo ( 29) ;Tanzania ( 30) ; Congo DR (32)kutokana na nafasi zao za ubora wa viwango vya fifa kwenye braketi.

Timu hizo nane zitapangiwa wapinzani wao kutoka Kundi A lenye miamba kama mshindi kati ya Ivory Coast au Liberia (Ivory Coast, 2) ; Misri ( 3) ; Nigeria ( 4) ;Tunisia ( 8) ; Afrika Kusini ( 9) ; Algeria (10) ; Gabon (11) ;
Morocco (12); mechi hizo zimepangwa kufanyika kati ya Juni 3/4/5 na marudiano, 17/18/19 Juni 2011.

Akizungumza kwenye kipindi cha SportsBar cha Clouds TV, Julia alisema nimesikia kuna uwezekano wa kukutana na aidha Afrika Kusini, Nigeria au Gabon katika droo itakayopangwa na kusema zote hizo hazimtishi kwa vile zinacheza mfumo wa kawaida usitumia sana nguvu kama Cameroon.
"Bila shaka uliuona mchezo ule, ebu fikiria kama wachezaji wangu wasingekuwa na mazoezi ya kujenga stamina ingekuwaje, pengine leo hii hata mtaani nisingekatiza kwa sababu ya aibu ya kufungwa.

"Nilijua wale jamaa wana cheza soka kwa nguvu sana isitoshe wachezaji wao wana uzoefu tofauti na sisi ambao wachezaji wetu wengi wanacheza hapa hapa, kwa kweli namshukuru Mungu kufanikiwa kuwatoa,"alisema Julio.

"Kwa mfano Nigeria mimi huwa nawaona ni 'mabishoo tu' hawana lolote, nikuambia kaka lengo langu ni kuhakikisha naweka historia kwa kuiwezesha Tanzania kucheza Olimpiki,"alisema Julio.
 
Okwi aomba msamaha Send to a friend Tuesday, 12 April 2011 20:00

Sosthenes Nyoni
MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Uganda na Simba, Emmanuel Okwi amewaomba radhi mashabiki wa klabu hiyo kufuatia kitendo cha kukosa penalti wakati wa mechi ya mwisho wa ligi dhidi ya Majimaji uliofanyika mwishoni mwa wiki kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Okwi alikosa penati hiyo muhimu iliyotolewa ma mwamuzi Alex Mahagi baada ya kupiga shuti lililogonga mwamba na kurudi uwanjani hivyo kuikosesha Simba fursa ya kutetea ubingwa kulikotokana na kuzidiwa bao 1 na Yanga ambayo nayo siku hiyo ilikuwa inacheza na Toto African ya Mwanza na ushinda mabao 3-0.

Akizungumza na Mwananchi jana muda mfupi kabla ya kuondoka nchini kuelekea mapumzikoni Uganda, Okwi alisema kuwa amefadhaishwa sana na tukio hilo ambalo alisema hatalisahau katika maisha yake ya soka.

"Nawaomba mashabiki wa Simba wanisamehe, nimefadhaika sana, hii sio mara yangu ya kwanza kukosa penalti, lakini ni mara yangu ya kwanza kukosa penalti muhimu ambayo ilikuwa itoe matokeo chanya.

"Inauma sana ebu fikiria ningefunga ile penati Simba ingekuwa bingwa, lakini ndiyo hivyo tena mambo ya soka naomba wasinifikirie tofauti,"alisema Okwi.

Akizungumza shutuma za baadhi ya mashabiki wa Simba ambao wamekuwa wakimtuhumu kutumiwa na Yanga, Okwi alisema: Inawezekana vipi kuwa na kitu kama hicho, mimi nimetoka Uganda kuja kucheza soka ambayo ni kazi yangu siwezi kufanya jambo kama hilo, wanaosema hivyo hawajui soka.

"Nashangaa wengine wanasema nataka kwenda Yanga hakuna kitu kama hivyo, sijui hayo mambo yanatoka wapi, mimi nina mkataba bado na Simba na nitaendelea kuitumikia kwa moyo wangu wote,"alisema Okwi.

Aidha alisema kuwa anaelekea nchini kwao na kwamba atarejea nchini baada ya michuano ya Cecafa ambayo pia ujulikana kama Kombe la Kagame.
 
Sir Alex Ferguson says his team beat 'a very good Chelsea side'

• 'We were the better side and we deserved to win'
• Manager not surprised that Fernando Torres started



  • Daniel Taylor at Old Trafford
  • The Guardian, Wednesday 13 April 2011 <li class="history">Article history
    Man-Utd-v-Chelsea-Champio-007.jpg
    Sir Alex Ferguson believes his side were the better team against Chelsea in their Champions League clash. Photograph: Tom Jenkins

    Sir Alex Ferguson will fly to Germany on Wednesday for his first spying mission on Schalke, the German club who will almost certainly be Manchester United's semi-final opponents in the Champions League despite having spent long spells of the current season struggling to get away from the Bundesliga's relegation-threatened teams.
    Schalke are currently ninth, after a revival since Ralf Rangnick took over as manager last month, but Ferguson can have serious aspirations of reaching the fourth final of his time at Old Trafford.
    "We've beaten a very, very good Chelsea side," the United manager said. "Chelsea played their part, and credit to them, but I thought we were the better side and deserved to win. We've hit our form. You saw that in the second half [in the 4-2 win] against West Ham, the performance at Chelsea last week and the performance tonight. This is a great moment for us."
    Schalke beat Internazionale 5-2 in the first leg of their quarter-final at San Siro last week and it was pointed out to Ferguson that United did not have a particularly good record against German opposition, losing to Borussia Dortmund and Bayer Leverkusen in previous semi-finals.
    "Tell me about it," he said. "But we can make that change. We've got the momentum you need now and momentum's a great thing in football. Everyone wants to play and the bonus is that we are getting everyone fit now."
    Ferguson, a close ally of Carlo Ancelotti, expressed his sympathy for the Chelsea manager, saying he was not surprised that Fernando Torres had started ahead of Didier Drogba. Yet Ferguson also admitted this had been his suspicion because of money not form. "A lot of people thought Drogba would play but I thought that, having spent the money they did on Torres, they had to play him [Torres]. I wasn't 100% certain but I couldn't see them leaving him out."
    Ferguson went on to identify Torres's inability to get any success against Rio Ferdinand and Nemanja Vidic as one of the key features of the two legs. "Torres has played against us quite a few times and he had a little golden spell against us [for Liverpool] but, if you look at the number of games he's played against us, we've actually done all right against him.
    "It's been made out he's terrorised us, and Vidic particularly, but it's not been like that. He's a good player but Vidic and Ferdinand, with their experience, should be able to handle the best players in the world because they're up there in that sphere themselves."
    Again the question was asked about whether this team were capable of emulating the 1999 side by winning the treble of Champions League, Premier League and FA Cup. "I keep being asked that ... you need a bit of luck but we have a semi-final [against Manchester City in the FA Cup] on Saturday and we have some great form right now."
    Ferguson was asked about reports in Spain that a &#8364;20m (£18m) deal has been agreed for the Atlético Madrid goalkeeper David De Gea. "You know, on Italian television they're saying we've signed two players from Italy, so I'd place this with that. There's always speculation but I can't answer it. I think we were linked with 112 players one year."

 
Sir Alex Ferguson says his team beat 'a very good Chelsea side'

• 'We were the better side and we deserved to win'
• Manager not surprised that Fernando Torres started



  • Daniel Taylor at Old Trafford
  • The Guardian, Wednesday 13 April 2011 <li class="history">Article history
    Man-Utd-v-Chelsea-Champio-007.jpg
    Sir Alex Ferguson believes his side were the better team against Chelsea in their Champions League clash. Photograph: Tom Jenkins

    Sir Alex Ferguson will fly to Germany on Wednesday for his first spying mission on Schalke, the German club who will almost certainly be Manchester United's semi-final opponents in the Champions League despite having spent long spells of the current season struggling to get away from the Bundesliga's relegation-threatened teams.
    Schalke are currently ninth, after a revival since Ralf Rangnick took over as manager last month, but Ferguson can have serious aspirations of reaching the fourth final of his time at Old Trafford.
    "We've beaten a very, very good Chelsea side," the United manager said. "Chelsea played their part, and credit to them, but I thought we were the better side and deserved to win. We've hit our form. You saw that in the second half [in the 4-2 win] against West Ham, the performance at Chelsea last week and the performance tonight. This is a great moment for us."
    Schalke beat Internazionale 5-2 in the first leg of their quarter-final at San Siro last week and it was pointed out to Ferguson that United did not have a particularly good record against German opposition, losing to Borussia Dortmund and Bayer Leverkusen in previous semi-finals.
    "Tell me about it," he said. "But we can make that change. We've got the momentum you need now and momentum's a great thing in football. Everyone wants to play and the bonus is that we are getting everyone fit now."
    Ferguson, a close ally of Carlo Ancelotti, expressed his sympathy for the Chelsea manager, saying he was not surprised that Fernando Torres had started ahead of Didier Drogba. Yet Ferguson also admitted this had been his suspicion because of money not form. "A lot of people thought Drogba would play but I thought that, having spent the money they did on Torres, they had to play him [Torres]. I wasn't 100% certain but I couldn't see them leaving him out."
    Ferguson went on to identify Torres's inability to get any success against Rio Ferdinand and Nemanja Vidic as one of the key features of the two legs. "Torres has played against us quite a few times and he had a little golden spell against us [for Liverpool] but, if you look at the number of games he's played against us, we've actually done all right against him.
    "It's been made out he's terrorised us, and Vidic particularly, but it's not been like that. He's a good player but Vidic and Ferdinand, with their experience, should be able to handle the best players in the world because they're up there in that sphere themselves."
    Again the question was asked about whether this team were capable of emulating the 1999 side by winning the treble of Champions League, Premier League and FA Cup. "I keep being asked that ... you need a bit of luck but we have a semi-final [against Manchester City in the FA Cup] on Saturday and we have some great form right now."
    Ferguson was asked about reports in Spain that a €20m (£18m) deal has been agreed for the Atlético Madrid goalkeeper David De Gea. "You know, on Italian television they're saying we've signed two players from Italy, so I'd place this with that. There's always speculation but I can't answer it. I think we were linked with 112 players one year."
 
Tanzania yaifuata Uganda Send to a friend Tuesday, 12 April 2011 19:59 Calvin Kiwia
TIMU ya taifa ya Vijana wenye chini ya miaka 23, itaondoka Ijumaa, kwenda Kampala kwa mchezo wao wa kwanza wa kutafuta kufuzu kwa Michezo ya Afrika 'All Afrika Games' dhidi ya Uganda mechi itakayofanyika Jumamosi, Aprili 16, kwenye Uwanja wa Mandela 'Namboole' jijini humo.

Afisa habari wa TFF, Boniface Wambura aliwaambia wanahabari jana jijini Dar es Salaam kuwa timu hiyo itaondoka keshokutwa na msafara wa watu 30 ukiongozwa na mtendaji wa chama cha soka, Zanzibar 'ZFA' Hafidh Ally Tahir, benchi la ufundi likiwa na watu sita wakiongozwa na kocha mkuu Jamhuri Kihwelo 'Julio' msaidizi wake Mohamed Ayoub, meneja Adolf Richard na wachezaji 20.

Mchezo huo ni kwa ajili ya kutafuta nafasi ya kucheza Michezo ya Afrika itakayofanyika jijini Maputo, Msumbuji kuanzia Septemba 3 hadi 18 mwaka huu.

Alisema mechi ya marudiano itafanyika Aprili 30, kwenye Uwanja wa Taifa endapo itafanikiwa kuifunga Uganda itasubiri mshindi wa mechi kati ya Eritrea na Kenya na mchezo wa awali utachezwa ugenini kati ya Juni 24 na 26 wakati wa marudiano ukiwa ni kati ya Julai 8 ama 10.

"Timu zimepangwa katika kanda saba ambapo kila kanda itatoa mshindi mmoja kwenda kushiriki fainali hizo na kuungana na mwenyeji Msumbuji."

Alisema Tanzania imepangwa kanda ya tano pamoja na timu za Eritrea, Kenya na Uganda.Mchezo huo utasimamiwa na kamishna Masamba Malunga kutoka DR Congo, waamuzi Nur Adbulle, Salah Abukar na Hassan Mohamed kutoka Somalia.

Hata hivyo aliongeza kusema kuwa timu hiyo tayari imeweka kambi yake ya kujiandaa na mchezo huo wa mchujo dhidi ya Uganda kwenye hoteli ya Bamba Beach Kigamboni ikiwa chini ya kocha wake Jamhuri Julio.
 
Carlo Ancelotti uncertain over his Chelsea future after United defeat

&#8226; 'It's not my decision whether I stay here or not'
&#8226; Italian says Torres's selection may have been a mistake



  • Dominic Fifield at Old Trafford
  • guardian.co.uk, Tuesday 12 April 2011 23.36 BST <li class="history">Article history
    carlo-ancelotti-007.jpg
    Carlo Ancelotti trudges off the Old Trafford pitch after Chelsea are knocked out of the Champions League. Photograph: Jason Cairnduff/Action Images

    Carlo Ancelotti has cast doubt on his long-term future as Chelsea manager and admitted the decision as to whether he remains at the club beyond the summer will be determined purely by the owner, Roman Abramovich.
    The Italian, who had admitted he was "not afraid" of the consequences of elimination before the Champions League quarter-final defeat at Manchester United, has another 14 months to run on his contract .
    "I'm not concerned," he said. "I have to work. I have to try to do my best. It's not my decision whether I stay here or not. I haven't spoken with [Roman]."
    Ancelotti did concede that he might have made a mistake by selecting Fernando Torres, the club's £50m British record signing, for the second leg. The Spaniard, who has gone 693 minutes without a goal for Chelsea, was utterly ineffective and was withdrawn at half-time.
    Asked whether the 27-year-old's inclusion had been a mistake, the manager said: "Maybe. Could be. But I thought for a lot of time before taking this decision. I preferred to start with Fernando for this kind of game, with this kind of tactics. But Didier played very well in the second half."

 
Carlo Ancelotti does it his way but result for Chelsea is unchanged

Old Trafford is a stage where the Italian has tasted so much triumph but he was unnerved as his tactical gamble failed



  • The-Chelsea-manager-Carlo-007.jpg
    The Chelsea manager Carlo Ancelotti watches his side crash out of the Champions League. Photograph: Jason Cairnduff/Action Images

    Carlo Ancelotti had stood lonely in his technical area as the taunt was picked up by the majority crammed into this arena, the cruel chorus of "You're getting sacked in the morning" echoing into the night sky. There was a helplessness about the Italian. This tie had already veered out of his control and with it his side's only chance of securing silverware this season. By the end he was hunched in his disappointment as he shuffled towards the tunnel, exiting stage left from a theatre in which he had previously flourished.
    There is the potential for the last six weeks of this campaign to be agonising for Ancelotti. The manager himself admitted after this elimination that his future at the club is at the whim of the owner, Roman Abramovich. That, in itself, represents no radical change of policy. Four managers have been dismissed by the Russian in his eight years at the club, with each dispatched ruthlessly. But until there is public backing issued from the very top of this club, rather than shady suggestions that the manager's position will be "reviewed" in May, the run-in will be dominated by rumours of the possible arrival of Guus Hiddink, Marco van Basten, Frank Rijkaard, even José Mourinho, to fill his shoes.
    Those last seven league games must still yield a top-four finish, the bare minimum expected of any Chelsea manager, though recovering from this crippling disappointment will hardly be easy. "We need to move on quickly," said Ancelotti. "We are out of the Champions League and this is not good for us. We are disappointed but this is football. We have to be able to look forward. Above all we have other games to play and win, if possible, because we all want to play in the Champions League next season."
    There was an irony that the Italian should be forced to endure this here. Ancelotti used to cherish visits to this arena, the scene of his Milan team's European Cup success over Juventus in 2003, when a corner of south Manchester was transformed into little Italy for one night only. Even last year, when Chelsea had been seeking to regain the Premier League title after four years, it was here that their defining victory was achieved. United were beaten, their challenge broken. This is a stage upon which Ancelotti had tasted so much triumph.
    Yet, his mood anchored in defeat, those memories will already be fading. The visiting manager looked unnerved at times on Tuesday night, his frustration clear that his "special" tactical gamble &#8211; a switch from 4-4-2 to 4-3-2-1 &#8211; had not produced the goal the away team's initial assuredness had suggested would be theirs. Half-chances were missed, Frank Lampard and Fernando Torres fluffing their lines. By the interval Chelsea trailed and the manager, unnerved, had already conceded that his pre-match tactics had been flawed.
    Torres, as ever, was the focus of the frustration. Ancelotti had been at pains last week to say he was under no pressure from the hierarchy to select the £50m British record signing from the start, and reiterated as much after this occasion. Yet his inclusion and the omission of Didier Drogba &#8211; even with the Ivorian's poor scoring record of one goal in his previous 13 matches &#8211; stood out as startling and rather unconvincing. The post-match admission that the selection may have been a mistake betrayed his doubts. "I wanted to put more pressure in front," he added. "But at half-time we needed to score. Didier was fresh and could use his power in front, so I took off Fernando."
    It all felt so deeply unsatisfactory. Ancelotti will curse his inability to squeeze a single goal from the Spain striker in 693 minutes as a Chelsea player but this club spent a vast amount on a player whose form had been erratic. It has rather stagnated since. "We have to believe in him," he said. "We have to wait until he improves." Torres will be a Chelsea player next season, when the team could potentially be constructed around him. Whether Ancelotti is there to oversee his recovery remains in doubt.
    In the end the manager enjoyed barely 60 seconds of hope here &#8211; the time it took between Drogba's equaliser and Park Ji-sung's winner &#8211; before Chelsea's chances were extinguished. This season's unexpected toils should not be laid upon him alone.
    This had been a team in need of regeneration, a process that began last summer with the release of a quintet of senior players and the arrival of Ramires and continued with the £73m spent on Torres and David Luiz in the new year.
    There will be more trimming to come, with occasions such as this &#8211; not to mention the club's deficit in the title defence &#8211; illustrating the time has come for change. José Bosingwa and Paulo Ferreira, maybe Florent Malouda and Yuri Zhirkov, and perhaps even Drogba and Nicolas Anelka &#8211; both of whom will be entering the final 12 months of their deals &#8211; could in effect be rendered available. That would have felt unthinkable a year ago but so would the possible departure of a double-winning manager.
    Now those realities may be closing in upon Chelsea.

 
Mburahati Queens mabingwa Send to a friend Tuesday, 12 April 2011 19:58

Salome Millinga
TIMU ya Mburahati Queens imeibuka mabingwa wa ligi ya wanawake mkoa wa Dar es Salaam kwa tofauti ya magoli 37 kwa 35 dhidi ya Sayari Queens juzi.

Sayari Queens imemaliza ligi hiyo ikiwa nafasi ya pili ikifutiwa na Tanzanite ikiwa na pointi 18 huku Simba Queens ikiwa ya nne na pointi 15, Mlimani Queens ikishikilia mkia ya ligi hiyo.

Mwanahamisi Omari(Gaucho) kutoka Mburahati Queens ameongoza kwa kufunga magoli 22 na kuibuka mfungaji bora na Fatuma Omari kuwa goli kipa bora kutoka Sayari Queens.

Huku ligi hiyo ikimalizika kwa utata mkubwa baada ya viongozi na wachezaji wa Sayari Queens kuyapinga matokeo yaliyotangazwa nakuanzisha vurugu na kupelekea kushindwa kuwakabidhi washindi zawadi.

Timu zilizofanya vizuri zitaanza maandalizi kwa ajili ya ligi ya Taifa itakayo mwishoni mwa mwaka huu Mburahati Queens, Sayari Queens, Tanzanite, Simba Queens na Evergreen Queens.

Akizungumza na Mwananchi katibu mkuu wa shirikisho mpira wa mguu la wanawake Dar es Salaam, Stephania Kabumba alisema"Tutawachukulia sheria timu zote zilizojitoka kwenye ligi bila sababu za msingi na kuwapatia maandalizi ya kutosha timu zote ambazo zitashiriki ligi ya Taifa.
Naye kocha wa Sayari Queens Juma Bomba alisema"Timu yangu haitoshiriki machuano yoyote ile na pia hatutopokea zawadi kutokana matokeo yaliyojitokeza kwa Mburahati kupewa ubingwa wa mezani huku timu yangu ikionekana kushinda na inastahiri kuwa mshindi wa kwanza".

Ligi hiyo iliyoanza Machi 15 na kumalizika Aprili 11 na kushirikisha timu 11 huku timu mbili Mndela Queens bingwa watetezi na JKT Queens zikijitoa kwenye ligi hiyo na kubaki timu tisa.
 
Carroll iongoza Liverpool kuichakaza Man City Send to a friend Tuesday, 12 April 2011 19:55

LIVERPOOL, England
MSHAMBULIAJI Andy Carroll amefunga goli lake la kwanza kwa Liverpool tangu aliposajili na kuisaidia timu yake kushinda 3-0 dhidi ya Manchester City juzi na kufufua matumaini ya klabu hiyo kucheza michuano ya Ulaya msimu ujao.

Mshambuliaji huyo wa England aliyesajiliwa kwa gharama ya pauni 35 milioni kutoka Newcastle mwezi Januari, alifunga bao la kwanza kwa shuti kali la mguu wa kushoto dakika ya 13 na kupachika bao lake la pili kwa kichwa dakika ya 35.

ìGoli la kwanza lilikuwa la shuti zuri na la pili ni kichwa cha ufundi,î alisema kocha wa Liverpool, Kenny Daglish. ìNi jambo zuri kwake kufunga bao la kwanza hapa Anfield. Nafikiri leo kila moja alicheza vizuri.î

Dirk Kuyt alifanya matokeo kuwa 2-0 ikiwa ni sekunde 93 kabla ya Carroll kufunga bao lake la pili kwa Liverpool na kuifanya klabu hiyo kuendeleza rekodi yake ya kushinda mechi tisa dhidi ya Man City kwenye Uwanja Anfield.

Liverpool imebaki nafasi ya sita kwenye msimamo, lakini sasa imepitwa kwa pointi tano na Tottenham inayoshika nafasi ya 5 na kujiweka kwenye nafasi nzuri ya kufuzu kwa Europa Ligi.

City ikiwa nafasi ya nne na mchezo moja mbele ya Tottenham wakiwa wametofautiana pointi tatu tu na Spurs katika harakati zao za kuwania kufuzu kwa Ligi ya Mabingwa.

Pigo kubwa zaidi kwa City, ni kuumia kwa nahodha wake Carlos Tevez kwenye dakika ya16 kufanya kuwa kwenye hatihati ya kukosa nusu fainali ya Kombe la FA dhidi ya Manchester United hapo Jumamosi.

ìAmeumia mguu itakuwa vigumu kwake kucheza Jumamosi. Ni vigumu kwa sababu zimebaki siku tano tu. Tutajaribu kuangalia kama atakuwa fiti, lakini kwa kawaida inahitaji wiki mbili kupona,î alisema kocha wa City, Roberto Mancini, ambaye pia aliomba msahama kwa timu yake kucheza vibaya.

ìNaomba msamaha kwa mashabiki. Tulianza kucheza baada ya dakika ya 20.î

Pamoja na kusumbuliwa na majeruhi kwenye ngome yake Daniel Agger, Glen Johnson, Martin Kelly na Sotirios Kyrgiakos wote majeruhi kocha Daglish aliamua kumpa nafasi beki wake chipukizi John Flanagan mwenye miaka 18, upande wa kulia.
 
Lionel Messi strikes to send Barcelona past Shakhtar Donetsk






Champions Lge Q/F, Second Leg

Shakhtar Donetsk 0
Barcelona 1
  • Messi 43


  • Staff and agencies
  • guardian.co.uk, Tuesday 12 April 2011 21.55 BST <li class="history">Article history
    Shakhtar-Donetsk-v-Barcel-007.jpg
    Barcelona celebrate Lionel Messi's goal against Shakhtar Donetsk in the Champions League quarter-final. Photograph: Laurence Griffiths/Getty Images

    Lionel Messi's first-half goal ensured that this tie, which looked over after the first leg, when Shakhtar were obliterated in the Camp Nou, reached a tame conclusion.
    Messi's goal, his 48th of the season, set up a probable semi-final tie against their Spanish rivals Real Madrid, barring a miracle comeback from Tottenham Hotspur &#8211; 4-0 down after the first leg &#8211; on Wednesday night.
    Shakhtar, who knocked out Roma in the previous round, started well and dominated the early stages of the game while Barcelona lay back and soaked up the pressure from the Ukrainian side without ever really being troubled.
    But, as with every side that has faced Barcelona this season, Shakhtar learned the hard lesson that if you cannot punish the Catalans when you are on top, then they will punish you. And so it proved just before half-time.
    Dani Alves found space on the right hand side. He squared the ball to Messi and the Argentinian danced around a few defenders before slotting the ball past Andriy Pyatov in the Shakhtar net. It was his ninth goal in 10 Champions league games this season.
    The second half brought more of the same from both sides. Shakhtar continued to press, and required Víctor Valdés to pull off some good saves in the visitors' goal. But Barcelona were once more able to contain with Messi again the star of the Barça show.
    Barcelona are now in the semi-finals for the fourth successive season and face the prospect of playing Real Madrid four times in different competitions over the coming weeks, starting with Saturday's league game in Madrid.

 
Lionel Messi strikes to send Barcelona past Shakhtar Donetsk






Champions Lge Q/F, Second Leg

Shakhtar Donetsk 0
Barcelona 1
  • Messi 43


  • Staff and agencies
  • guardian.co.uk, Tuesday 12 April 2011 21.55 BST <li class="history">Article history
    Shakhtar-Donetsk-v-Barcel-007.jpg
    Barcelona celebrate Lionel Messi's goal against Shakhtar Donetsk in the Champions League quarter-final. Photograph: Laurence Griffiths/Getty Images

    Lionel Messi's first-half goal ensured that this tie, which looked over after the first leg, when Shakhtar were obliterated in the Camp Nou, reached a tame conclusion.
    Messi's goal, his 48th of the season, set up a probable semi-final tie against their Spanish rivals Real Madrid, barring a miracle comeback from Tottenham Hotspur – 4-0 down after the first leg – on Wednesday night.
    Shakhtar, who knocked out Roma in the previous round, started well and dominated the early stages of the game while Barcelona lay back and soaked up the pressure from the Ukrainian side without ever really being troubled.
    But, as with every side that has faced Barcelona this season, Shakhtar learned the hard lesson that if you cannot punish the Catalans when you are on top, then they will punish you. And so it proved just before half-time.
    Dani Alves found space on the right hand side. He squared the ball to Messi and the Argentinian danced around a few defenders before slotting the ball past Andriy Pyatov in the Shakhtar net. It was his ninth goal in 10 Champions league games this season.
    The second half brought more of the same from both sides. Shakhtar continued to press, and required Víctor Valdés to pull off some good saves in the visitors' goal. But Barcelona were once more able to contain with Messi again the star of the Barça show.
    Barcelona are now in the semi-finals for the fourth successive season and face the prospect of playing Real Madrid four times in different competitions over the coming weeks, starting with Saturday's league game in Madrid.
 
Real ikimaliza kwa Spurs safari kwa Barca Send to a friend Tuesday, 12 April 2011 19:56

LONDON, England
REAL Madrid inakibarua cha kumaliza kazi yake ya kuitoa Tottenham Hotspur leo kwenye robo fainali ya Ligi ya Mabingwa ili kujiweka kwenye mazingira mazuri ya kucheza dhidi ya mahasimu wao Barcelona.

Real itakuwa White Hart Lane wakiwa kifua mbele baada ya ushindi wake wa mabao 4-0 dhidi Spurs 4-0 kwenye mchezo wa kwanza wa robo fainali wiki iliyopita.

Real na Barca zitakutana kwa mara ya kwanza kwenye hatua hiyo tangu walipofanya hivyo mwaka 2002.

Kocha wa Real, Jose Mourinho, aliisifia Spurs na soka ya England kuwa ni bora na inayopaswa kuheshimiwa kwa kusema ni timu za England pekee zinaweza kusawazisha mabao manne.

Kama alichosema ni kweli, basi klabu kama Spurs, ambayo hajashiriki michuano ya Ligi ya Mabingwa kwa muda wataweza kupigana na kupata ushindi.

Baada ya Manchester United, Spurs ni timu nyingine ya England iliyokuwa na historia ya pekee barani Ulaya kwa mwanzoni mwa miaka ya 1960 ilikuwa timu yakwa kutwaa taji la Ulaya kwa kuifunga Atletico Madrid 5-1 katika fainali ya Kombe Washindi Ulaya mwaka 1963.

Spurs pia mwaka 1962 ilifanikiwa kutinga nusu fainali ya Kombe la Ulaya wakati huo wakiwa na kocha Bill Nicholson, aliyejijengea heshima kubwa kwa kuibwaga Real ikiwa na nyota wake Alfredo Di Stefano na Ferenc Puskas.

Real, nayo iliweka historia kwa kuwa timu ya kwanza baada ya miaka 24 kushinda kwenye Uwanja wa White Hart Lane walipowafunga mabingwa watetezi wa Kombe la UEFA, Spurs kwa bao 1-0 mwaka 1985, sasa wamejiweka kwenye nafasi nyingine nzuri ya kurudia historia hiyo leo.

Kocha wa Spurs, Harry Redknapp alisema: ìHadi sasa tumepata uzoefu wa kutosha naamini leo pia tutaongeza uzoefu mwingine. Tutacheza kwa kiwango chetu cha kawaida.î

Watashuka dimbani bila ya mshambuliaji wake Peter Crouch, aliyepewa kadi nyekundu wiki iliyopita, nayo Real Madrid itamkosa beki wake Pepe.

Mourinho, pia atamtumia mshambuliaji Karim Benzema aliyepoma majeruhi yake kuchukua nafasi ya Emmanuel Adebayor, aliyefunga mabao mawili kwa kichwa wiki iliyopita.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom