Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Amateurs should not miss out on Hampden

Post categories: Football
Jack Ross | 09:46 UK time, Monday, 21 March 2011

Every sport has its own field of dreams, the venue where those who love their game of choice aspire to appear at and compete on.
For football in Scotland it is Hampden Park that is the arena where legends are made and cup finals won. But have recent events conspired to show that even our traditional home of Scottish football is not immune to the commercial preferences our game has developed at the expense of the love and romance of our national sport?
I am making reference to the decision to prevent the Scottish Amateur Cup final being held at Hampden, the stadium which has hosted this level of the game's showpiece match for around 100 years.
hampden_595.jpg
Hampden Park was the setting for Sunday's Old Firm cup final. Photo:SNS

There are as always perfectly viable reasons for such a decision to be reached by those who own our national stadium and indeed the possibility of the tradition being continued is a possibility but with the caveat of a price to be paid.
But are these excuses acceptable in the face of the great joy and excitement those who play football at amateur level get from earning the right to grace the hallowed turf, or in the anticipation these players will have as they drive into the bowels of the stadium on cup final day and make the long walk from dressing room to the pitch?
I do not believe they are. As a youngster I always dreamt of playing at Hampden and was fortunate to do so in both a semi-final and final.
There should be no attempt to dilute the experience of Hampden Park and, while my memories were ultimately of losing matches there, the incredible pride in walking in the footsteps of Scottish football giants lives long in the memory of those who achieve it.
Therefore do not let this decision be another step towards a further detachment between those who love our game and those who administer it.
At a time when the average fan feels an ever growing distance between them and club, a compromise would surely show that there is still room in Scotland for football dreams to come true and for players playing solely for the love of the game to have their historic day at Hampden.
A further argument for the axing of this fixture could be the possible damage to the playing surface but given the condition of the pitch during the Co-operative Insurance Cup final it would seem that it is already suffering badly.
Whether this is as a result of a severe winter or the regular staging of pop concerts is debatable but what is clear is that the pitch is not befitting of the centre piece of our national game at present.
The players of the Old Firm deserve credit therefore for producing an entertaining match in difficult underfoot conditions and none more so than Steven Whittaker of Rangers.
I blogged around a year ago on the need for versatility in today's game and there surely cannot be a better example of a player capable in so many different roles than Steven.

His performance as a make-shift centre-half only highlighted his ability to produce performances in almost any role, adding to impressive displays as a full-back on both sides and as a central midfielder.
We are very quick in Scotland to laud the talents of those from beyond our borders and on many occasions point to the Dutch model where players are educated in playing all over the park and coached to be proficient with both feet.
Does Steven Whittaker not fit all this criteria given his defensive capabilities, his ease in a midfield role, his threat going forward and his use of the ball from both sides?
Should we then not use his abilities as a great example to our young players aspiring to reach the top levels and be more vocal in promoting our own talent as the benchmark?
Our national team is on the cusp of an exciting period, let's jump on the positivity bandwagon and allow our best amateurs their day in the sun at Hampden and give more credit to those professional players our system can produce.



Comments Post your comment

Sign in or register to comment.




  • 1. At 06:22am on 22nd Mar 2011, Frustrated_Buddie wrote: In relation to the use of Hampden Park, i think there are circumstances when the national stadium shouldn't be used. Yes it would be an honour for most players to play on it, but sometimes practicality must take precedence. I've been to semi finals that include St.Mirren that have been played there and there ends up being more empty seats than occupied seats however the decision not to let the amateur footballers use the stadium is beyond me. What methods do we use to inspire our younger players to make a living in football? not many from where i'm standing. I'm sure these amateur footballers would give their right arm to get a game at Hampden never mind a final.
    In relation to the Steven Whittaker point, i'd say spot on. The Dutch Total Football model where players are trained to play different positions is a model that the SFA should adopt. Pushing players outwith their comfort zones to learn new positions and think differently about what they need to do when they are on/off the ball can only benefit the individual and scottich football as whole. Watching some SPL games can be tedious when you can see the pass a player should make but the cogs in the players mind don't quite turn that fast.
    Finally, i'm quite excited about the current Scotland team. A lot of EPL and Championship players look to be improving the squad. As long as we stay away from the 4-6-0 formation, i think we'll do just fine.


    Complain about this comment
  • 2. At 09:17am on 22nd Mar 2011, hackerjack wrote: An honor?

    Please, why should amateurs get this honor? Surely all they have achieved is being the best of a bunch too poor to make it as pros? This honor should be reserved for those who are the best in the game.


    Complain about this comment
  • 3. At 10:43am on 22nd Mar 2011, Rob04 wrote: I agree with #1 and that Hampden should be available to Amateurs.

    Its a great pitch though I have to say on Sunday it looked less than perfect. Never seen a Hampden cup final on a pitch in that poor a condition. Embarassing.

    Versatile players yes, I'm sure there are more given the oppporchancity.






    Complain about this comment
  • 4. At 18:03pm on 22nd Mar 2011, The Goalie wrote: I played in the Scottish Amateur Cup final for St. Patrick's FPFC 5 years ago. What a proud day it was for all of us being able to play at the national stadium when you think of the legends who have played there before!!

    There were prob over a thousand fans at the game and I'll never forget the feeling when we scored our goals and hearing the crowd going wild and then the celebrations at the final whistle ....brilliant!


    Complain about this comment
  • 5. At 19:06pm on 22nd Mar 2011, John Brennan wrote: Would just like to make a comment about the Amateur Cup Final being played in Hampden. In Ireland there was big controversy over the opening of Croke Park to both soccer and rugby. One idea to sweeten the deal was that new competitions were created for Intermediate and Junior GAA clubs to complement the already existing Senior Club Championship. The finals for these competitions would be played in Croke Park. The offshoot of this is that any adult player in Ireland begins the year with the opportunity of ending in Croke Park (in actul fact some English clubs have got to finals as well, with clubs from London and Liverpool reaching finals.

    I was lucky enough to be part of a team that reached a final and it is something that will stay with us for the rest of our lives. We come from a club that has been battered by Emigration to such an extent we are joined with another local club. The fact that we got to Croke Park was amazing for a small area was amazing but what made it quite simply remarkable was that our neighboring club reach a different final the same year. What this meant was that two small communities from the arse of old Ireland were playing in one of the finest stadiums in the world and for players and supporters it will never be forgotten.

    By moving these finals away from Hampden, the SFA are ruining something special for not only players but also their families, club members and supporters.


    Complain about this comment
  • 6. At 22:44pm on 22nd Mar 2011, Rob04 wrote: #4/#6
    Great posts.

    Perhaps the ideas here should be to try and keep who we have here already and look at getting more non-pro's to Hampden, and what is the national stadium.


    Complain about this comment
  • 7. At 20:31pm on 23rd Mar 2011, Jack Ross - BBC Sport wrote: Thank you as always for your responses.

    Frustrated_Buddie, the point regarding semi finals is very valid. I have played semi finals at both Hampden and Fir Park and the atmosphere at the latter on these occassions was fantastic, especially for St Mirren's victory over Hearts. Ideally, Hampden would only be used for finals (although as a player and you get the chance to play in a semi final there you cannot help being excited about it!)

    The Goalie and John Brennan, really enjoyed your memories of cup finals at major stadiums. Probably as good an argument as any for the Amateur Cup Final to continue at Hampden.

    John, in the example you gave it is great to read of an organisation keen to promote gaelic football/hurling as it recognises its importance to the country's population. Scotland's most popular sport is of course football and we should be doing all we can to encourage both participation and enjoyment at all levels.


    Complain about this comment
  • 8. At 13:19pm on 26th Mar 2011, stevenk101 wrote: Many thanks for your support, Jack, this issue is hugely important for all involved in the amateur game - good to see it highlighted here. We've put together a campaign to try to secure the future of the final, including a petition, and we'd be grateful for the support of all football fans - Save the Road to Hampden - Save the Road to Hampden.

    We're gaining momentum, with grassroots, political and media support, but every signature helps!


    Complain about this comment
  • 9. At 19:44pm on 26th Mar 2011, monkeyonyourback wrote: I find it rather sad that the Scottish Amateur Cup Final has been prevented from being played at Hampden Park.
    It's ironic that the club which calls Hampden home is the only amateur club side in the Scottish League, so surely more reason to play the final there? Tradition and history should also be considered in this context as if we lose these then we lose what makes football in this country unique.

    Fans wishes should also be taken into consideration. No matter the team you support, big or small, seeing YOUR team walk out at Hampden for a final is a proud moment and one which most average fans hardly see in their lifetime.
    I have been lucky to see this twice as a Falkirk fan. Both times we lost but both days will stay with me as fantastic memories.

    This should be afforded to all fans, professional, part-time or amateur.


    Complain about this comment
  • 10. At 20:44pm on 27th Mar 2011, Jack Ross - BBC Sport wrote: stevenk101, I wish you well in your campaign.

    Cheers
    Jack


    Complain about this comment
 
Phiri arejea kuivaa Kagera leo Send to a friend Monday, 28 March 2011 21:10

Clara Alphonce
KOCHA Patrick Phiri amerejea nchini kuiongoza timu ya Simba kwenye mchezo wao muhimu wa Ligi Kuu dhidi ya Kagera Sugar utakaofanyika leo kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Kuchelewa kurudi kwa Phiri kutoka mapumzikoni hivi karibuni alizua sitofaumu ndani Simba, huku ikidawa kuwaa kitendo chake cha kuondoka klabu hapo kinatokana kuingilia kwenye kazi yake na baadhi ya viongozi wa mabingwa hao.

Hata hivyo; uongozi wa klabu hiyo ulikanusha taarifa hizo na kudai kuwa kocha wao ameenda kumuuguza mkewe aliyekuwa anaumwa kabla hata ya mechi ya Ligi ya mabingwa Afrika dhidi ya TP Mazembe.

Afisa Habari wa klabu hiyo Clifford Ndimbo alisema kuwa kocha wao amerejea nchini jana alfajiri akitokea Zambia alipokuwa akimuuguza mkewe.Naye kocha msaidizi wa Simba, Abdallah King Kibadeni alisema kuwa kwa upande wake amejiandaa vizuri kuakikisha anachukua pointi tatu kutoka kwa Kagera.

"Nimefurahi kurejea kwa Phiri na jana (juzi) tulikuwa naye mazoezini na kuwataka wachezaji wafanye kila linalowezekana kuakikisha wanashinda mchezo wa leo na mingine iliyobaki iliwaweze kutetea ubingwa wao.

Kibadeni aliongeza kuwa wachezaji wote wapo kambini isipokuwaEmmanuel Okwi na Mbwana Samatta waliokuwa na timu za taifa na ambao bado hawajarejea nchini.

Kocha wa Kagera Sugar, Jackson Mayanja alisema mchezo wa leo utakuwa mgumu na wamejiandaa vizuri kuwakabili wapinzani wao hao. ''Simba wasitegemee kupata ushindi wa chee kwetu, tupo hapa kwa ajili ya kuhakikisha tunashinda na kupata nafasi ya tatu kama tulivyojiwekea malengo yetu msimu huu,'' alisema beki huyo wa zamani wa SC Villa.

Katika hatua nyingine Shirikisho la Soka Tanzania ( TFF), limesema litatoa fidia kwa timu ya Kagera baada ya kuhairishi mechi hiyo mara mbili mfululizo.
 
Poulsen: Algeria imesafisha njia yetu Send to a friend Monday, 28 March 2011 21:14

kocha%20poulsen2.jpg
Kocha wa Taifa Stars, Jan Poulsen

Jackson Odoyo
KOCHA wa Taifa Stars, Jan Poulsen amesema ushindi wa bao wa Algeria dhidi ya Morocco ni tiketi ya Tanzania kuelekea kufuzu kwa fainali za Afrika mwakani.

Akizungumza na Mwananchi jana jijini Dar es Salaam, Poulsen alisema hatua ya Algeria kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Morocco umelifanya kundi hilo sasa kuwa wazi kwa kila timu kufuzu.

Algeria iliyokubwa na machafuko ya kisiasa hivi karibuni na kuiondoa serikali yao ilifanikiwa kupata bao lake la ushindi nyumbani kwa mkwaju wa penalti dakika ya sita iliyofungwa na Hassan Yebda.

"Usiku wa kuamkia jana (juzi) sikupata usingizi kwa kufikiria mechi ya Algeria na Morocco huku nikiwaombea mabaya Morocco ili wapoteze mechi"alisema Poulsen na kuongeza:

"Ninamshukuru Mungu kwakusikiliza ombi langu sasa baada ya ndoto zangu kutimia nimebakiza kazi moja tu ya kuiandaa timu kwa ajili ya ushinda katika mechi mbili za ugenini".

Alisema kwa sasa hana muda wa kusubiri wala haoni timu ya kuogopa kwa sababu timu zote ameshacheza nazo na kutambua uwezo pamoja na mbinu zao za ushindi.Alisema ugumu wa mechi ni katika mechi ya kwanza kwa sababu unacheza na timu usiyoifahamu, lakini katika mechi ya marudiano huwezi kuwa na wasiwasi.

"Kazi iliyopo mbele yangu hivi sasa ni kuiandaa timu kwa ajili ya ushindi wa mechi mbili za ugenini na tayari nimeshaandaa programu yangu kesho (leo) ninaipeleka TFF katika kikao cha pamoja na uongozi."

"Ingawa siwezi kuzungumzia mambo tutakayo kwenda kuyajadili katika kikao hicho ila moja ya mambo nitakayoyapa kipaumbele ni pamoja kutafuta mechi nyingi za kimataifa za majaribio kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili."

Pia, kocha huyo hakusita kuzungumzia mipago yake katika kuirekebisha safu yake ya ushambuliaji kwa kuwaanda vizuri ili kuepuka makosa yaliyojitokeza mwishoni mwa wiki.

"Wachezaji wa Tanzania wanaugonjwa wa kutetemeke wanapofika langoni hawatulii na kuangalia goli lilipo ndiyo maana walitengeneza nafasi nyingi, lakini wakashindwa kuzitumia,"alisema Poulsen.

Alisema sifa ya mshambuliaji mzuri nikutulia anapofika langoni ili aweze kufunga, lakini wachezaji wake wanakuwa na papara wanapofika golini.
 
Mabondia hali mbaya Send to a friend Monday, 28 March 2011 21:09

Imani Makongoro
MABONDIA wa timu ya taifa ya ngumi za ridhaa wanaendelea na kambi yao ya wazi huku wakijihudumia wenyewe katika huduma muhimu kama maji, dawa na chakula kabla ya kuelekea Kampala, Uganda tayari kwa mashindano ya majiji yanayoanza Ijumaa hadi Jumapili.

Pamoja na kujihudumia wenyewe, mabondia hao wanafanya mazoezi huku wakikabiliwa na upungufu wa vifaa vya mazoezi hayo na kuwa chini ya usimamizi wa makocha wazawa Benjamin Wang'ata na Emanuel Edward huku kocha mkuu raia wa Cuba, Pimentel Hurtado hakiwa hana taarifa yoyote.

Akizungumza Mwananchi, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa, BFT, Makore Mashaga alisema kikwazo kikubwa kwao kwa sasa ni fedha.
"Kama mnavyojua mabondia wa timu ya taifa wanakabiliwa ma mashindano ya Majiji, Michezo ya Afrika na ile ya Olimpiki tukisema mabondia wakae nyumbani hadi tupate fedha haitawezekana na uwezo wao utakuwa unashuka hivyo tumeamua waendelea na mazoezi hivyo hivyo katika mazingira magumu.

"Kuna wakati sisi viongozi tunapokuwa na pesa tunatoa lakini kuna wakati tunakosa kabisa hivyo wanajihudumia wenyewe na suala la vifaa tunatumia vile vya zamani ingawa havitoshelezi mahitaji ya mabondia wetu," alisema Makore kwa masikitiko.

Aidha Makore aliwaomba wadau na Kampuni kujitokeza ili kufanikisha mazoezi ya mabondia hao ambao mchezo wanaocheza ni hatari na unahitaji lishe bora na mazoezi ya uhakika ili kumudu na hatimaye kuweza kufanya vema kimataifa.
 
Nchunga amkata maini Davis Mosha Send to a friend Monday, 28 March 2011 21:08

Kalunde Jamal
BAADA ya wanachama wa matawi 11 ya klabu ya Yanga juzi kumrudisha madarakani Makamu mwenyekiti wa klabu hiyo Davis Mosha Mwenyekiti wa klabu hiyo Llyod Nchunga amesema kuwa Mosha anapaswa kutambua Yanga sio sokoni kwa mtu kwenda na kurudi.

Nchunga aliyasema hayo baada ya Mosha kuridhia maamuzi ya wanachama hao na kukubali kwenda nao katika klabu hiyo ili kuyamaliza huku akisema atarejea klabuni hapo ili kutimiza azma ya mashabiki lakini amedai anaheshimu katiba ya Yanga.

Mwenyekiti huyo alisema hayo kuwajibu wanachama wa matawi 11 ambao waliandamana kumrudisha Mosha madarakani na kusema kuwa aliondoka madarakani kwa mujibu wa katiba na wao kama Yanga walibariki maamuzi yake katika kikao cha kamati ya utendaji kilichojadiliwa hivi karibuni.

Alisema walikutana katika kikao cha kamati ya utendaji na kubariki barua ya Mosha ambayo aliiandikia kamati ya utendaji ili kuitaarifu kujizulu kwake na kutangaza nafasi kuwa wazi.

"Tulipokutana tulipitia vifungu kadhaa vya katiba na kubariki maamuzi yake kwa sababu alifuata katiba hatukua na budi zaidi ya kubariki. Nawaambia hao wanachama kuwa kila kitu kina taratibu zake Yanga sio sokoni kwamba utakwenda kunua nyanya na kurudi kadri unavyotaka..

"Tulimbembeleza sana kabla hajaondoka kwamba asichukue maamuzi ya kujizulu lakini alichukua na kwa kuwa alifuata katiba hakukuwa na budi sasa kama anataka kurudi kwenye hiyo nafasi ni lazima agombee.


Kwa upande wa Mosha alisema yeye anaheshimu katika ya klabu hiyo na kwa sasa hawezi kusema lolote kwani anaheshimu maamuzi yake na tayari alishaandika barua.

Hata hivyo, Mosha alisema jana kuwa atazungumza na vuyombo mbalimbali vya habari leo kutoa msimamo wake baada ya kauli ya mwenyekiti wa klabu hiyo. "Nitatoa kauli yangu kesho (leo) najua kilichomo," alisema.
 
Poulsen azidi kusifu wachezaji wake Send to a friend Monday, 28 March 2011 21:07

Calvin Kiwia
KOCHA mkuu wa timu ya Taifa Stars, Jan Poulsen amewasifu wachezaji wa timu hiyo kwa kuonyesha uzalendo wa hali ya juu kwenye mchezo wao dhidi ya Afrika ya Kati uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam juzi na Stars iliibuka na ushindi wa mabao 2-1 na kujiweka katika nafasi nzuri ya kufuzu michuaono hiyo.

Mchezo huo ulikuwa kwa ajili ya kutafuta nafasi ya kucheza michuano ya mataifa ya Afrika nchini Gabon na Guinea Ikweta mwaka 2012.

Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam nje ya Ofisi za Shirikisho la soka Tanzania, TFF kocha huyo alisema amefurahishwa na jinsi wachezaji wa Stars walivyokuwa wakijituma bila kuchoka na kuonyesha uzalendo kwa nchi yao.

"Nimefurahishwa na jinsi timu ilivyokuwa ikicheza kwa kushirikiana na kujituma hasa kadri muda ulivyokuwa ukienda mbele walizidi kujituma bila ya kuchoka na kupata bao lile la ushindi dakika za lala salama," alisema Poulsen.

Alisema kushinda mchezo huo kumeifanya timu hiyo kuibua tena matumaini yake upya ya kufuzu kucheza michuano ya mataifa ya Afrika yatakayofanyika nchini Gabon na Guinea Ikweta mwaka 2012.

"Nafikiri bado safari kwetu ni ndefu na wala siwezi kusema kuongoza kundi letu ndiyo tayari tumefuzu hapana, tunahitaji kuweka nguvu zaidi kwenye michezo iliyosalia," alisisitiza.

Alisema wachezaji wanatakiwa kutambua kujituma kwao bila kuchoka na kushirikiana ndio kutawapa matokeo mazuri kwenye mechi ijayo na kufuzu kucheza mashindano hayo.
 
Hispania, Uholanzi vitani Euro 2012 Send to a friend Monday, 28 March 2011 21:06

LONDON, England
MABINGWA wa dunia, Hispania watawapumzisha baadhi ya nyota wake kwenye mchezo wao wa kufuzu kwa fainali za Ulaya leo dhidi ya Lithuania, huku Uholanzi wakiwa kwenye harakati zao za kuendelea rekodi ya ushindi.

Vigogo wengine Ujerumani, England, Ufaransa na Italia watakuwa kwenye michezo ya kirafiki, picha rasmini ya kufuzu kwa Euro 2012, itajulikana baada ya michezo ya leo.

Hispania na Uholanzi zinaongoza makundi yao kwa pointi sita zitakuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kufuzu kama zitashinda. Uholanzi itakuwa mwenyeji wa Hungary ikiwa ni siku tano tangu walipowafunga 4-0 mjini Budapest.

Ujerumani watakuwa mapumzikoni kwenye mechi za kufuzu kwa kucheza dhidi ya Australia, huku kocha wa England, Fabio Capello atawapumzisha wachezaji kadhaa kwenye mchezo wake dhidi ya Ghana.

Hispania mabingwa wa Dunia na Ulaya, iliwachapaCzech Republic 2-1 kwenye mchezo wa kirafiki Ijumaa na kuweka rekodi ya kushinda mechi nne kati ya nne mwaka huu. Wameweza kufanya hivyo bila ya Carles Puyol, Cesc Fabregas na Pedro Rodriguez, wataendelea kuwakosa nyota hao kwa sababu ya kuwa majeruhi.

Lakini vyombo vya habari vya Hispania bado vinatabili kuwa kocha Vicente Del Bosque atakuwa akijaribu kuwapumzisha baadhi ya nyota wengine leo.

"Tumekuwa na matokeo mzuri hivi sasa," alisema Del Bosque. "Hatuwezi kucheza vizuri zaidi ya hivi na tunakwenda Lithuania kusaka ushindi. Kama tutashinda, tutakuwa tumefuzu kwa urahisi."

Nayo Czech Republic itakuwa mwenyeji wa Liechtenstein kwenye mchezo mwingine wa Kundi I.

Uholanzi itakuwa ikisaka ushindi wa sita mfululizo kwenye Kundi E, watapokuwa wakiikabili Hungary wanaotaka kujirekebisha baada ya kipigo kizito cha Ijumaa.

Hungary ilifuzu kwa mara ya mwisho kwenye michuano mikubwa mwaka 1986 walipocheza Kombe la Dunia nchini Mexico. Pamoja na kuwa na matokeo mazuri kwenye baadhi ya mechi zake, Hungary itaweza kufuzu kama itafanikiwa kupunguza tofauti ya pointi sita iliyopo kwake na Uholanzi ili iweze kucheza fainali za Poland na Ukraine.

Sweden itakuwa wenyeji wa Moldova kwenye mchezo mwingine wa Kundi E, huku Ubelgiji na Uturuki watakuwa nyumbani kucheza dhidi ya Azerbaijan na Austria katika Kundi A.

Ireland Kaskazini watawavaa Slovenia katika Kundi C, wakati Serbia wakiwa ugenini Estonia. Romania watakuwa nyumbani kuwakaribisha Luxembourg mchezo pekee wa Kundi D, huku Israel wakuwa wenyeji wa Georgia katika Kundi F.

Katika michezo mingine barani Ulaya itakuwa ya kirafiki. Ujerumani wakiwa na kumbukumbu nzuri ya ushindi wa mabao 4-0 dhidi Kazakhstan walioupata Jumamosi, leo kocha Joachim Loew atakuwa na nafasi nzuri ya kujaribu kikosi cha pili dhidi ya Australia.

Kiungo wa Real Madrid, Mesut Oezil aliyetegeneza mabao mawili Jumamosi na Sami Khedira wanategemewa kukaa jukwaani.Nahodha, Philipp Lahm wa Bayern Munich pia atakuwa kwenye mapumziko, alisema kocha Loew.

Loew anategemea kumwanzisha beki Mats Hummels wa Borussia Dortmund pamoja na kiungo Andre Schuerrle wa Mainz.Ufaransa itakuwa nyumbani kwenye Uwanja wa Stade de France kuikabili Croatia. Huku Italia wakiwa wageni wa Ukraine na Portugal watawakaribisha Finland kwenye mechi zao za kirafiki.
 
Capello awapumzisha nyota wake Send to a friend Monday, 28 March 2011 21:05

LONDON, ENGLAND
KOCHA wa England, Fabio Capello amewaudhi mashabiki wake baada ya kuelezea msimamo wa kuwachezesha wachezaji wa akiba katika mechi ya kirafiki dhidi ya Ghana itakayopigwa katika Uwanja wa Wembley leo.

Mashabiki wanaamini kitendo hicho ni sawa na 'kuuza' pambano, lakini Capello amesisitiza msimamo wake wa kuwabadilisha wachezaji wote 11.

Capello tayari amewaruhusu wachezaji watano tegemeo waliocheza mechi dhidi ya kufuzu Fainali za Mataifa ya Ulaya dhidi ya Wales, ambapo walishinda mabao 2-0.

Miongoni mwa wachezaji hao ni Wayne Rooney na nahodha John Terry. Hiyo inamaanisha kutakuwa na nahodha mpya katika mechi hiyo. Gareth Barry, ambaye hakuwemo katika timu ya wachezaji 18 walioshuka Cardiff kwenye mechi dhidi ya Wales anatazamiwa kutua uwanjani.

"Ninawapa fursa wachezaji wengine kwa kuwa nataka kutoa heshima kwa klabu zao," alisema Capello.

Wachezaji wengine watakaokosekana katika timu hiyo ni Ashley Cole, Frank Lampard na Michael Dawson.

Mashabiki wamelipa pauni milioni 40 kwa ajili ya kupata burudani ya soka lakini sasa wamekosa raha baada ya kufahamu kuwa kikosi kimebadilishwa.

Ghana, ambayo ilitinga hatua ya robo fainali ya Kombe la Dunia mwaka jana iliichapa Congo mabao 3-0, katika mechi ya kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika na huenda wakaonyesha kiwango cha hali ya juu katika Uwanja wa Wembley.
 
Nchunga 'awakata maini' Yanga


*Amwekea Mosha ngumu kurudi Yanga

Na Elizabeth Mayemba

MWENYEKII wa Yanga, Lloyd Nchunga amesema hatambui kurudishwa madarakani kwa Makamu wake aliyejiuzulu hivi karibuni Davis Mosha.Akizungumza
Dar es Salaam jana, Nchunga alisema kama Mosha anataka kurudi madarakani anapaswa kufuata utaratibu kwa kupendekeza upya jina lake katika Mkutano Mkuu wa wanachama, ili achaguliwe upya.

"Hizi ni vurugu, na kurudishwa kwa Makamu huyo madarakani kumevunja kanuni na katiba ya klabu yetu, kama kweli Mosha anaitaka nafasi hiyo asubiri Mkutano Mkuu wa wanachama, ili achaguliwe upya," alisema Nchunga.

Alisema ni kweli wenye jukumu la kumrudisha Makamu huyo lipo kwa wanachama, lakini wanachama waliomrudisha walipaswa kusubiri hadi siku ya Mkutano Mkuu.

Nchunga alisema katika kikao cha Kamati ya Utendaji walichokaa hivi karibuni, waliamua suala la Makamu huyo lipelekwa katika Mkutano Mkuu wa wanachama ambao wataamua suala lake.

Mwenyekiti huyo alisema endapo Mosha, atapeleka jina lake katika mkutano huo, jina lake litaunganishwa na majina ya wanachama wengine ambao watakuwa wanawania nafasi hiyo.

Juzi baadhi ya wanachama wa klabu hiyo, walivamia nyumbani kwa Mosha na kumtaka arejee madarakani ili aweze kuinusuru timu yao katika mechi zao tatu zilizosalia za Ligi Kuu Tanzania Bara.

Katika hatua nyingine, Mosha alisema leo anatarajia kutoa msimamo wake, baada ya kusikia matamshi ya Mwenyekiti wake na anafanya hivyo kwa lengo la kuinusuru klabu hiyo na migogoro.

"Leo nitaweka msimamo wangu kwa wanachama ninaipenda Yanga, hivyo sipendi kuona tunaelekea kwenye majibizano ambayo yataleta mgogoro mkubwa hasa katika kipindi hiki ambacho timu yetu inakabiliwa na mechi tatu za ligi," alisema Mosha.
 
TFF yajivua kusimamia Ligi Kuu


Na Zahoro Mlanzi

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), limesema kuanzia msimu ujao, Ligi Kuu ya soka Tanzania bara itasimamiwa na Kamati Ndogo ya Ligi hiyo, ili iwe ya
uhuru.

Hatua hiyo imefikiwa katika Mkutano Mkuu wa kawaida wa shirikisho hilo, uliofanyika kwa siku mbili kuanzia Jumamosi Ukumbi wa Water Front jijini Dar es Salaam ambapo mkutano huo ulitoa pendekezo hilo.

Akizungumza Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa shirikisho hilo, Angetile Osiah alisema kamati hiyo itaanza kazi Julai, mwaka huu baada ya Kamati ya Utendaji ya shirikisho hilo kulijadili suala hilo.

"Mkutano umependekeza na litapelekwa kwa Kamati ya Utendaji, ili iipangie kazi na jinsi itakavyoendesha shughuli zake ili isije kuingiliana na Kamati ya Mashindano ya shirikisho hilo," alisema Osiah.

Alisema ana uhakika kamati hiyo itapunguza malalamiko ambayo wamekuwa wakiyapata katika michezo mbalimbali kutokana na kamati hiyo, itakuwa huru kwa kuamua kila jambo pekee bila kushirikisha kamati nyingine.

Katibu huyo alisema ligi mbalimbali duniani, zinaendeshwa kwa mtindo huo ila wao watakachofanya ni kuangalia ligi hizo zina upungufu gani kwa kutumia mfumo huo, ili na wao wasije kuingia katika migogoro ambayo imezitokea nchi zingine zinazoendesha ligi kwa mfumo huo.

Wakati huo huo, Osiah alisema TFF imekubali kuilipa Kagera Sugar gharama walizopata kwa kuahirisha mara mbili mchezo wa dhidi ya Simba, ambao sasa utapigwa leo Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

Alisema walipokea malalamiko kutoka kwa uongozi wa Kagera Sugar ukidai unatumia gharama kubwa kukaa jijini Dar es Salaam kusubiri mchezo wao dhidi ya Simba.

"Tuliyapokea malalamiko yao na katika kuyaangalia tukagundua wana hoja, kwani walidai fedha zilizotolewa na wadhamini kukaa jijini hazitoshi, hivyo kwa kuliona hilo TFF imeamua kuwalipia gharama zao kwa siku zilizoongezeka," alisema Osiah.

Alisema licha ya Kagera kulalamikia sana suala la kuahirisha mchezo huo, lakini kikanuni inaruhusiwa na ndiyo maana TFF imeliona hilo na kulifanyia kazi.
 
Gerrard afurahia kubaki Liverpool


LONDON, England

NYOTA wa Liverpool, Steven Gerrard amesema anajisikia mwenye furaha baada ya kuchagua kubaki katika klabu hiyo ya Anfield.Kauli ya mchezaji huyo
imekuja baada ya timu za Chelsea na Real Madrid, kujaribu kumuwinda bila mafanikio na kisha mchezaji huyo kuamua kubaki katika klabu hiyo ya Liverpool.

Aliiambia tovuti ya klabu hiyo juzi kuwa: "Ilikuwa vizuri nipokuna kichwa kutafakari wakati klabu zilipoanza kunitamani, lakini kwa sasa nikiangalia nyuma najivuna kwa kufanya uamuzi sahihi."

Nyota huyo alisema kuwa kila mtu mawazo ambayo anayapata akiwa nyumbani na kisha kutwaa ubingwa, huku marafiki na wanadungu wakiungana naye kusherehekea hayawezi kupingwa.

Alisema kuwa inakuwa vizuri zaidi timu inapotwaa ubingwa ukiwa unaichezea.
 
Neymar alalamikia ubaguzi


LONDON, Uingereza

MCHEZAJI wa Santos, Neymar amelalamikia vitendo vya ubaguzi wa rangi vilivyokuwepo uwanjani wakati wa mechi ya kirafiki kati ya Brazil dhidi ya Scotland.Mechi hiyo
iliyochezwa katika Uwanja wa Arsenal wa Emirates, inadaiwa ilikuwa na vitendo vinavyoashiria ubaguzi wa rangi dhidi ya nyota wa Santos, Neymar.

Brazil iliibuka na ushindi wa mabao 2-0 katika mechi hiyo, ambayo yote yaliwekwa kimiani na Neymar ambaye alikuwa katika kiwango cha juu.

Neymar mwenye miaka 19, alirushiwa ndizi uwanjani kitendo ambacho kinatajwa kuwa ni ubaguzi wa rangi.

Ndizi ni tunda linalopendelewa na nyani. Timu ya Brazil ina wachezaji mchanganyiko wazungu na weusi.

"Mazingira haya ya ubaguzi kwa ujumla yanasikitisha," Neymar aliiambia televisheni ya Brazil channel Sportv.

"Walikwua akinizomea sana na hata wakati nikienda kupiga penalti uwanja wote walikuwa wakizomea. Tuliacha kucheza katika nchi yetu kucheza hapa na kitu kama hiki kinatokea, Inasikitisha," alisema.
 
Kundi la Stars vita
Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 28th March 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 814; Jumla ya maoni: 3


03_11_jq3jgp.jpg

Kikosi cha Taifa Stars





KUNDI la Tanzania katika kuwania kufuzu fainali za Mataifa ya Afrika (CAN) mwaka 2012 zitakazofanyika Gabon na Equatorial Guinea limezidi kuwa gumu baada ya timu zote nne kulingana kwa pointi.

Hatua hiyo inatokana na ushindi wa bao 1-0, ambao Algeria iliupata katika mchezo wa juzi dhidi ya Morocco na ule ambao Tanzania ‘Taifa Stars' iliupata Jumamosi dhidi ya vinara wa Kundi hilo la D, Jamhuri ya Afrika ya Kati wa mabao 2-1, hivyo kufanya timu zote nne kufikisha pointi 4 zikishindana uwiano wa mabao ya kufunga na kufungwa.

Kwa mazingira hayo Stars inapaswa kujifunga kibwebwe katika michezo yake ijayo kama ina nia ya dhati kuhakikisha inafuzu fainali hizo ambazo mara ya mwisho ilicheza mwaka 1980 mjini Lagos, Nigeria.

Timu zote nne zimemaliza michezo yake mitatu ya mzunguko wa kwanza na sasa zinasubiri michezo ya marudiano, ambapo Stars itacheza na Jamhuri ya Afrika ya Kati kati ya Juni 3,4 au 5 ikiwa ugenini, huku Morocco nayo ikiikaribisha Algeria kwa tarehe hizo hizo.

Kulingana na vyanzo mbalimbali kwenye mtandao, ushindi huo wa bao 1-0 iliyoupata Algeria kwa bao la penalti lililofungwa mapema na Hassan Yebda yameifanya Stars ipae kwa nafasi moja hadi ya pili kutokana na kuwa na uwiano mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa.

Jamhuri ya Afrika ya Kati yenyewe inaendelea kuongoza ikiwa na pointi nne, mabao matatu ya kufunga na kufungwa mawili, hivyo ina faida ya bao moja, wakati Stars sasa inashika nafasi ya pili ikiwa imefunga mabao matatu na imefungwa matatu, hivyo uwiano wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 0.

Morocco yenyewe imefunga bao 1 na imefungwa moja, hivyo nayo uwiano wa mabao ya kufunga na kufungwa ni 0, lakini Stars inakuwa juu kutokana na idadi kubwa ya mabao ya kufunga na kufungwa.

Ingawa taarifa za mitandao mbalimbali jana inaonesha Stars ni ya pili ikiegemea msingi huo, mtandao wa Shirikisho la Soka Afrika (Caf) wenyewe msimamo wa mashindano hayo unaonesha Stars inashika nafasi ya tatu.



Jumla Maoni (3) Maoni Watanzania tungetarajia timu ya Taifa ikae kambini mara tu baada ya ligi kumalizika lakini ajabu utasikia wachezaji wanaitwa kwenda kambini kuanzia tarehe 15/05 ili wafanye mazoezi wiki mbili tu tayari kwa mchezo wa tarehe 3, 4 au 5/06. Maoni Safi sana Stars,hizo fainali siyo lelemama..ni kukomaa.TFF jitahidi kuomba mechi za ugenini na nchi za kifaransa za Afrika ya kati na Magharibi.Ombeni nchi za Benin,Tchad,Togo,Mali,Guinea,Gambia,Burkina Faso,n.k

Nyie wachezaji:Baada ya ligi acheni mamboni ya kwenda kwenye 'mambo fulani'komaeni na mazoezi(hata mazoezi binafsi) hii ni vita Maoni Kwa hakika huu niulimbukeni wa hali juu kabisa timu yeyete ya ushindi huwa si kaa tu kambini bali huwa haibadili badiliki hukaa kwapamoja kwa muda mrefu sasa kwa hii yakwetu leo mara ueitwa kesho umeachwa kana kwa kocha hajiamini au hujui alitendalo kwamfano safu ya ushambuliaji,viungo na golikipa maeneo haya yamekuwa yakibadilishwa mno na makocha wetu ukichanganya na muda watakao kaa kambini jibu lake lina sehemu tatu zinazo wakilishwa na sehemu mbili yan
 
Phiri arejea na matumaini Simba

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 28th March 2011 @ 23:55 Imesomwa na watu: 431; Jumla ya maoni: 2








KOCHA Mkuu wa Simba Patrick Phiri aliwasili nchini juzi na kuahidi timu yake itafanya vizuri katika mechi zake zote zinazoikabili kitaifa na kimataifa.

Phiri alikuwa kwao Zambia alipoenda siku moja baada ya mechi ya Klabu Bingwa Afrika kati ya timu yake na TP Mazembe iliyofanyika Lubumbashi Machi 20.

Baada ya mechi hiyo ambayo Simba ilifungwa mabao 3-1 Phiri hakurudi na timu na badala yake aliondokea hukohuko Lubumbashi kwenda Zambia.

Akizungumza mjini Dar es Salaam Phiri amesema amerudi Machi 27 jioni na kuahidi kuanza na ushindi katika mechi ya Ligi Kuu leo dhidi ya Kagera Sugar na ile ya Jumapili dhidi ya TP Mazembe.

"Si kwamba nilifanya makusudi kukaa muda mrefu Zambia nikifahamu kuwa timu inakabiliwa na mechi ngumu, nilikuwa nauguliwa na mke wangu hali yake haikuwa nzuri lakini kwa sasa anaendelea vizuri," alisema.

"Naendelea kuiandaa timu, kwa jinsi nilivyoiacha na kwa programu yangu sina shaka itafanya vizuri katika mechi zake, na mimi naiandaa kwa ajili ya kucheza mechi zote si ile ya Mazembe tu, nina imani itafanya vizuri," alisema.

Machi 28 asubuhi Phiri aliiongoza timu yake kwenye mazoezi Uwanja wa Uhuru.

Alipewa ruhusa ya siku mbili lakini akakaa Zambia wiki nzima hali iliyozua minong'ono kwa baadhi ya wadau wa soka ambapo aliyewahi kuwa mfadhili wa Simba Azim Dewji alipendekeza uongozi umsimamishe kocha huyo kwa madai kitendo alichokifanya ni utovu wa nidhamu.

Wakati huohuo, Simba leo inashuka Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam kuvaana na Kagera Sugar katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, ambao awali ilikuwa ufanyike jana.

Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Angetile Osiah aliwambia waandishi wa habari kuwa mchezo huo uliahirishwa kutokana na Simba kuomba kwa vile ilikuwa na wachezaji watano katika kikosi cha Taifa Stars ambacho Jumamosi kiliifunga Jamhuri ya Afrika ya kati mabao 2-1.

Awali Machi 28 Katibu Mkuu wa Kagera Sugar, Hamis Mdaki alieleza kusikitishwa kwao na hatua ya TFF kuahirisha mchezo huo kwa vile timu yake ipo Dar es Salaam tangu Ijumaa iliyopita na gharama zimekuwa kubwa kuendelea kuwepo jijini.

Lakini akizungumzia hilo, Osiah alisema walikaa na Kagera Sugar, wamekubaliana baadhi ya gharama ichukue TFF kuhakikisha timu hiyo inacheza leo bila kuathiri hali yao kiuchumi.

Mchezo wa leo ni muhimu zaidi kwa Simba kwani kama itashinda itakuwa imejiweka katika mazingira mazuri zaidi ya kutwaa ubingwa, ambapo itafikisha pointi 47 huku ikiombea Yanga yenye pointi 40 ikishika nafasi ya pili ifungwe Jumatano na Azam ili vijana hao wa Msimbazi watangaze ubingwa wakiwa na mechi mbili mkononi.



Jumla Maoni (2) Maoni Mengi yamesemwa kumhusu Phiri kuwa hatarejea Simba kwa vile kuondoka kwake kwenda Zambia ni baada ya mikwaruzano na viongozi wa klabu ya Simba. Ninawaasa waandishi wa habari kujaribu kuandika habari zilofanyiwa utafiti kuliko kuandika tu ili mradi kuuza magazeti. Ni aibu kuona mtu anaandikwa kuwa hatarudi na safari yake haikuwa ya kumuuguza mkewe halafu baada ya siku mbili mtu huyo unakwenda kumhoji kuhusu programme yake ya mazoezi. Maoni watanzania tuache fikira potofu,phiri hajaanza ukocha leo wala jana anakijua anacho kifanya na matatizo ni kwa kila mtu.Tumuache afanye kazi yake,ni mzoefu kwenye GEMU huyo.
 
Ruvu Shooting waitumia salamu Azam

Imeandikwa na John Nditi, Morogoro; Tarehe: 28th March 2011 @ 23:50 Imesomwa na watu: 130; Jumla ya maoni: 0








KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Ruvu Shooting, Charles Boniface, amesema pamoja na kufanikiwa kuendelea kubakia Ligi Kuu, timu ya Azam isitarajie kupata mteremko kwenye mchezo wao wa kufunga pazia la ligi hiyo.

Mchezo huo wa kufunga dimba umepangwa kufanyika Aprili 10 mwaka huu , hivyo baada ya ushindi huo, timu hiyo itaendelea na mazoezi makali kujiandaa na mchezo huo ili kuibuka na ushindi mnono wa kulinda heshima yao.

Akizungumza baada ya kumalizika mchezo wao na JKT Ruvu na kushinda kwa mabao 3-2, alisema dhamira yao ni kuibuka na ushindi dhidi ya Azam.

" Mchezo wetu na JKT Ruvu ulikuwa ni mtihani mkubwa kwetu, ilitupasa tushinde ili tubakie Ligi Kuu, vijana wangu wamejituma na wametimiza ndoto hiyo," alisema kocha huyo.

Lakini alisisitiza kuwa licha ya kushinda dhidi ya JKT Ruvu, mkakati umewekwa wa kuendeleza ushindi mwingine katika mchezo na Azam kwa vile lengo si kumaliza ligi hiyo na pointi hizo 20.

Alisema Ligi Kuu ya msimu huu ilikuwa ngumu na aliichukua timu ikiwa na wakati mgumu, hivyo kutokana na ushirikiano kati ya wachezaji, viongozi na walimu wamefanikiwa kuibakiza timu Ligi Kuu.

Naye Kocha Mkuu wa JKT Ruvu, Charles Kilinda , alisema timu yake imefungwa kutokana na kuzidiwa kimchezo na vijana wa Ruvu Shooting na si kwamba kulikuwepo na njama ya kuibeba timu hiyo.

Akizungumzia michezo ya mwisho ya kufunga dimba , Kilinda alisema wamebakia na michezo miwili dhidi ya Simba na Polisi Dodoma.
 
Walimu wa michezo watakiwa wabadilike

Imeandikwa na Joachim Nyambo, Mbeya; Tarehe: 28th March 2011 @ 23:45 Imesomwa na watu: 34; Jumla ya maoni: 0








JITIHADA za serikali na wadau wa michezo kuendeleza michezo nchini kwa kuwawezesha walimu shuleni kupata elimu ya ufundishaji wa soka hazijazaa matunda kutokana na walimu waliowezeshwa kutoifanyia kazi elimu hiyo.

Mwenyekiti wa Chama cha Makocha Tanzania (Tafca) Mkoa wa Mbeya, Juma Mwambusi alitoa kauli hiyo hivi karibuni na kusema pamoja na elimu ya soka waliyopewa katika vipindi tofauti vya mwaka juzi na mwaka jana yaliyogharamiwa na benki ya NMB walimu hao bado hawana mwamko wa kushiriki michezo hali ambayo haiwatofautishi na walimu wasio na taaluma hiyo.

Alisema kwa Mkoa wa Mbeya ambao idadi ya walimu waliowezeshwa kupata mafunzo hao inazidi walimu 40 hakuna mabadiliko hali inayozusha maswali miongoni mwa wadau kuwa walimu hao walikuwa na sababu gani ya kushiriki mafunzo na kisha kutunza vyeti vyao kwenye makabati.

Alisema jambo la kushangaza ni kuwa shule zilizo na walimu hao hazishiriki mashindano yoyote ya michezo yakiwemo ya uibuaji wa vipaji vya soka yanayoshirikisha vijana walio na umri wa chini ya miaka 17.

Alisema matarajio ya Tafca pamoja na wadau wengine ilikuwa ni kuona walimu hao wanahamasisha soka katika shule wanazofundisha na kuhakikisha timu kutoka katika shule hizo zinashiriki mashindano mbalimbali hali ambayo ingewezesha vipaji vya wanafunzi wao kuonekana na kuendelezwa.

"Tulidhani kwa kupewa mafunzo hayo sasa tutaona mabadiliko makubwa yatakayoanzia kwenye shule zao.

Mabadiliko ambayo ingekuwa changamoto kubwa ya uibuaji wa vipaji vya soka na hatimaye kuuwezesha mkoa kupata wachezaji ambao licha ya kuupa sifa mkoa wao lakini ingekuwa mwanya wa kuwapa ajira," alisema Mwambusi.

Alitoa rai kwa walimu hao kubadilika na kulipa fadhila kwa wadhamini wa mafunzo waliyopata kwa kuhakikisha wanatekeleza kile kilichotarajiwa badala ya kuwakatisha tamaa wadau waliosaidia hali inayozorotesha soka nchini.

Uwepo wa walimu hao waliowezeshwa mafunzo ya soka, unaoufanya Mkoa wa Mbeya kuwa na zaidi ya makocha 100 wenye taaluma hiyo lakini hadi sasa ni wachache mno kati yao wanaoshiriki ipasavyo kwenye mchezo huo kiasi cha baadhi ya timu kuendelea kufundishwa na makocha wasio na taaluma.
 
Vijana Stars kurejea leo

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 28th March 2011 @ 23:30 Imesomwa na watu: 323; Jumla ya maoni: 0








TIMU ya Taifa ya vijana chini ya umri wa miaka 23 ‘Vijana Stars' inarejea Dar es Salaam leo asubuhi ikitokea Cameroon ambako Machi 27 ilifungwa mabao 2-1.

Ofisa Habari wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Boniface Wambura amesema kuwa timu hiyo itatua Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere saa tatu asubuhi ikiwa na matumaini ya kufanya vizuri kwenye mchezo ujao.

Vijana Stars ilifungwa mabao 2-1 mjini Younde katika mchezo wa kuwania kufuzu fainali za Olimpiki zitakazofanyika mwakani jijini London, Uingereza.

Kutokana na matokeo hayo, Vijana Stars inahitaji ushindi wa bao 1-0 ili isonge mbele katika michuano hiyo.

Wakati huohuo, Mkutano Mkuu wa TFF uliofanyika Jumamosi na Jumapili wiki iliyopita ulipitisha mapendekezo ya shirikisho hilo ya bajeti ya mwaka 2011.

Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa shirikisho hilo, Angetile Osiah bajeti hiyo inaonesha kuwa matarajio ya makusanyo kutoka vyanzo mbalimbali ni Sh 6,199,143,120 na matumizi ya Sh 6,128,354,040.

"Kwa mujibu wa bajeti hiyo kunja nakisi ya Sh 70,789,080 ambayo kimahesabu inaonekana kuwa ni ndogo.

"Hata hivyo, kiwango hicho cha mapato hakitoi picha halisi ya fedha zinazotarajiwa kuingia TFF kutokana na masuala ya kiufundi yanayoendana na fedha za udhamini," alisema Osiah.

Katibu huyo alieleza kwa Mkutano Mkuu pia uliipa ridhaa Kamati ya Utendaji kuanza mchakato wa kuongeza wanachama wapya baada ya Serikali kutangaza mikoa mipya minne.

"Kwa mujibu wa Katiba ya TFF, moja ya sifa kuu za kuwa mwanachama wa TFF ni mikoa ya kijiografia ya Serikali.

Mikoa hiyo mipya iliyotangazwa na Serikali ni Simiyu, Geita, Njombe na Katavi. "Mkutano Mkuu pia ulipitisha pendekezo la Kamati ya Utendaji la kuunda Kamati Ndogo ya Ligi Kuu ambayo itaundwa kwa lengo la kuendesha Ligi Kuu kwa uhuru," alisema.
 
Skrtel: Dalglish the key to Reds' revival


RivalsDM



PRINT RSS

2

Updated Mar 29, 2011 9:37 AM ET
Liverpool defender Martin Skrtel believes Kenny Dalglish's man-management skills have been key in turning around the Reds' failing season.
Since the Scot took over from Roy Hodgson in early January after his disastrous six-month spell in charge the Reds have accrued 20 points from 10 matches, losing just twice.

Sat., Apr. 2
West Ham vs. Man Utd
Birmingham vs. Bolton
Everton vs. Aston Villa
Newcastle vs. Wolves
Stoke City vs. Chelsea
West Brom vs. Liverpool
Wigan vs. Tottenham
Arsenal vs. Blackburn
Sun., Apr. 3
Fulham vs. Blackpool
Man City vs. Sunderland
BPL Scores | Table | Fixtures


That has put them within touching distance of fifth place - and the final qualifying spot for Europe - in the Premier League.
Skrtel has echoed the comments of many of his team-mates in admitting the atmosphere is totally different under the 60-year-old and believes it is all down to the approach of the man rated the club's greatest player and the last manager to win the title at Anfield.
Dalglish is still to have a permanent contract offered to him by owners Fenway Sports Group, having originally been appointed until the end of the season only, but Skrtel would welcome him being given an extended deal.
"He knows how to take the pressure away and protect the squad," said the Slovakia international.
"A lot has changed at the club recently, but the most important thing has been confidence. Kenny has given us that.
"With confidence in football you can achieve great things. Everybody is happy now, looking forward to every single training session, every match.
"If he gets a contract for a long time, I'll be very happy. Every day he makes work interesting and enjoyable.
"We are winning games now. You can tell Kenny is a winner."
Skrtel's future was the subject of speculation back in January when he was enduring a poor run of form but the 26-year-old is happy at Anfield.
"Why would I go anywhere else? I know I am at a huge club - one of the biggest in the world, with a history and a set of supporters that no other club can really match," he told LFC Weekly.
"We have great players like Stevie Gerrard, Luis Suarez and Andy Carroll. Not everybody gets to experience this. I am very proud to be here.
"I have a contract for the next three-and-a-half years. I am happy here, so if the manager and people at the club are happy with my work, I'm happy to be here too."



PRINT RSS




Member Comments

Please note by clicking on "add a comment" you acknowledge that you have read the Terms of Use and the comment you are posting is in compliance with such terms. Be polite. Inappropriate posts may be removed by the moderator.
LOG IN TO ADD A COMMENT Page 1 of 1 PREV PREV NEXT NEXT


Post Comment

  • Report Abuse PhiladelphiaHotSpur
    • 3/29/2011 8:57:57 AM
    The Key ?? a little bit of a stretch, if you ask me.....

    but indeed a slow news day....................

    DB88 - In the end, you need players that want to wear your kit.....having one of your best disinterested is clearly a terrible dynamic.
  • Report Abuse dutchboy88
    • 3/29/2011 8:33:16 AM
    Slow news week as this is nothing new.. But I will add, IMO you have to throw in the departure of sulking Bambi and subsequently the signing of Suarez and Carrol as the other factor in the turnaround. Bambi's on the field performance and attitude contributed more than people think to the lack of confidence that the team has had for the last year.
LOG IN TO ADD A COMMENT Page 1 of 1 PREV PREV NEXT NEXT
 
Kipingu aipa somo TFF

Imeandikwa na John Nditi, Morogoro; Tarehe: 28th March 2011 @ 23:15 Imesomwa na watu: 56; Jumla ya maoni: 0








MWENYEKITI wa Baraza la Michezo Tanzania ( BMT) Kanali Mstaafu Idd Kipingu, amelishauri Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania ( TFF) kuongeza kasi ya kuendesha mafunzo ya ualimu wa michezo kwa walimu wa shule za sekondari na msingi ili kuendeleza michezo shuleni katika ubora unaokubalika.

Pia ameishauri kuendelea kusimamia mipango ya kukuza soka kwa vijana waliopo chini ya umri wa miaka 17, ili kuliwezesha Taifa kupata wachezaji wengi chipukizi na wenye vipaji watakaotumiwa na klabu za ligi mbalimbali nchini.

Alisema hayo mwishoni mwa wiki Mikumi, akizungumza na gazeti hili alipokuwa akishiriki mkutano wa walimu wakuu wa shule za sekondari uliofanyika Mikumi, wilayani Kilosa.

Alisema ili kupata mafanikio ya haraka katika michezo baada ya Serikali kurudisha michezo shuleni, ni vyema taasisi za michezo ikiwemo TFF kuendesha kozi nyingi za michezo mbalimbali hasa soka kwa walimu wa shule za sekondari na msingi.

Alisema shule nyingi zimekosa walimu wenye taaluma ya michezo, hivyo kupitia mpango huo endelevu kuwafundisha kozi fupi kwa walimu hao kutasaidia kuinua viwango na ubora wa michezo shuleni.

Alisema katika kutambua uzito wa jambo hilo, uongozi wa Shule ya Sekondari Makongo, umetoa nafasi kwa Chama cha Riadha Tanzania (RT) kuweka kambi kwa walimu wao wa shule za msingi na sekondari wanaotarajiwa kupatiwa mafunzo ya mchezo huo hivi karibuni.
 
Ibra: Eastlands switch unlikely


RivalsDM



PRINT RSS

2

Updated Mar 29, 2011 9:12 AM ET
AC Milan striker Zlatan Ibrahimovic has played down rumours that he could join big-spending Manchester City at the end of the season.
Reports over the weekend claimed that Ibrahimovic is the latest high-profile signing that the Premier League's big spenders want to add to the squad over the summer.

Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats Scores | Fixtures | Table | Stats

Ibrahimovic played under City boss Roberto Mancini at Inter Milan and has only been with their city rivals since last summer after joining from Barcelona.
The Sweden international feels he is approaching the final few seasons of his career and suggested he does not intend to play for another club before he retires.
"Me at Manchester City? Well, I say nothing," the 29-year-old told La Gazzetta dello Sport. "I still have three years left to play at AC Milan, then I see the end of my career.
"I don't have the strength to change and move one more time. But, in football things can change quickly."
Ibrahimovic also had some words of advice for his former Inter team-mate Mario Balotelli, who has endured a fitful first season in the Premier League with City.
He added: "When you are a talent, you need the right environment to grow well, but it is not always enough.
"Look at Balotelli - he had so much talent, the right environment, but he didn't go to the last level."
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom