Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Tanzania inahitaji kocha kama Mourinho
ban.blank.jpg


Mwandishi wetu​

amka2.gif
KUNA siku nilikutana na mmoja wa makocha wa kuheshimika katika soka la Bongo. Mara kadhaa amewahi kukabidhiwa timu ya taifa. Tulizungumza mengi, lakini moja ya swali nililomuuliza ni juu ya uvumi kwamba makocha wote wa Simba na Yanga, hupangiwa wachezaji wa kucheza na ama viongozi au wafadhili wao.
Kocha yule alinitazama kama vile ndo kwanza ananijua, kisha akaniambia huenda mimi ni mwandishi pekee ambaye sijui kama jambo hilo ndilo linalotokea.
Nikataka ufafanuzi.
"Unatumiwa sms na kiongozi au mfadhili, ‘anapendekeza' first eleven ya siku hiyo. Unapata sms kama tano hivi za namna hiyo kutoka kwa watu tofauti, lakini wote wenye sauti ndani ya klabu, unategemea nini?"
Kwa mujibu wa kocha huyo, wakati wa kutuma sms hizo, huenda wako pamoja katika hoteli moja wakizungumzia mechi hizo.
Anasema wakati mapendekezo hayo yakitolewa, watatu kati ya watano hao hawajafika mazoezini zaidi ya wiki na hawajui maendeleo ya wachezaji.
Kipindi hicho, Simba na Yanga zote zilikuwa chini ya makocha wa kigeni. Nikamwuliza kama hata sasa bado walimu hao walikuwa wanapangiwa timu.
Akacheka na akanieleza vikosi vya kwanza vya Simba na Yanga siku za mchezo hujulikana siku mbili kabla na hupangwa katika mabaa na mahoteli. Alinipa mchapo huu.
"Mimi nina wachezaji kama wawili hivi wako Yanga niliwahi kuwafundisha nikiwa (anaitaja timu), baada ya kusikia listi ya mechi siku mbili kabla, nikawauliza kama wanafahamu jambo hilo, wakasema wamesikia na kocha wao ananung'unika kwa sababu hawampi nafasi ya kuchagua wachezaji anaowahitaji yeye."
Hili ni jambo lililopo na si porojo. Mfadhili au kiongozi aliyenunua mchezaji kwa fedha nyingi, asingependa kuona mchezaji huyo anakaa nje. Ndiyo maana kuna wachezaji wanaoitwa mchezaji wa fulani.
Inabidi acheze, vinginevyo uhusiano kati yake na kocha au benchi la ufundi unaharibika.
Hii ndiyo ambayo mara nyingi imepelekea wachezaji kuwa watovu wa nidhamu. Mchezaji anafikia kipindi eti anafokeana na kocha wake.
Anafanya hivyo kwa msukumo wa aliyemsajili kwa sababu anafahamu hawezi kuchukuliwa hatua zozote za kinidhamu.
Makocha wetu wanakubali hali hii kutokana na kukosa msimamo kunakochangiwa na ulofa wao. Wanahitaji fedha kwa ajili ya familia zao, ingawa mikataba yao inasomeka kuwa wao ndiyo watakaokuwa wa mwisho katika maamuzi ya timu kiufundi.
Wanaona ya nini bwana kugombana na watu wanaokupa kula kwa sababu ya mchezaji. Waache wachezaji wao wacheze, wakifungwa si wao. Kumbe hawaangalii wasifu wao utakavyosomeka hapo baadaye.
Moja kati ya vigezo vya kocha wa soka ni nini alikifanya hapo kabla. Kile cha wakati uliopita, kinatoa picha ya nini utakifanya hapo baadaye.
Jambo hili linanikumbusha kuhusu Jose Mourinho, kocha mwenye maneno mengi wa Real Madrid ya Hispania. Wakati huo akiwa Chelsea, hakuridhishwa na uamuzi wa mmiliki wa timu hiyo, Roman Abramovich kumleta kikosini mshambuliaji wa zamani wa AC Milan, Andriy Shevchenko.
Mkali huyo wa kutikisa nyavu raia wa Ukraine, hakuwa katika mipango ya Mourinho na alionyesha wazi hisia zake za kukataa ununuzi wa bei mbaya wa mchezaji huyo.
Lakini kwa kuwa bosi alikuwa ameamua kumnunua, hakuwa na jinsi, akasubiri afike katika maeneo yake, aweze kufanya vitu vyake. Na kweli, pamoja na uzuri wa Andriy, hakuweza kupata namba ya kudumu kikosini Chelsea.
Na kwa vile inasemekena Andriy na Roman ni marafiki, kitendo hicho kilimuudhi bilionea huyo, aliyeanza kutengeneza mazingira ya kumtimua Mreno huyo.
Kuna siku aliwahi kueleza hadharani: "Mimi ukinichukua leo kusimamia biashara za Roman, nitazifilisi haraka. Ndivyo ilivyo kwake, hawezi kuifanya kazi ya ukocha!"
Yalikuwa ni maneno ambayo si rahisi kutamkwa na mwajiriwa kuelekeza kwa mwajiri wake. Ni maneno ya kijasiri ambayo yanafaa kusemwa pia na makocha wa Kitanzania, ili kuweza kuisaidia soka yetu kusonga mbele.
Wao kama wanazipenda timu zetu na wana fedha, wazilete fedha hizo kwa uongozi, kisha viongozi wamuulize kocha anahitaji wachezaji gani ili wao wakamilishe masuala ya ununuzi.
Viongozi na wafadhili, hata kama tunawapenda vipi baadhi ya wachezaji walio katika vikosi vyetu, labda kwa kuwa wanajua kupiga kanzu au chenga, bado tumpe nafasi ya mwisho kocha atekeleze mipango yake. Hii itatusaidia kupata nafasi ya kuhoji uwezo wake kama timu zetu zitafanya vibaya.
Sasa mtu kama Sendeu au Ndimbo anapopanga timu badala ya makocha wao, zikianza kudorora watapata wapi ujasiri wa kuhoji uwezo wao?
Soka ni mchezo wa kitaalam, unaofundishwa na watu waliosomea. Si kila mmoja anaweza kuwa kocha, ingawa kwa Tanzania, mechi moja inaweza kuwa na makocha zaidi ya 20,000. Tubadilike.
 
‘Naiona neema ya mabadiliko katika michezo'
ban.blank.jpg


Mwandishi wetu​

amka2.gif
KARIBUNI tena wadau wa michezo, hususan wale wa Uwanja wa Kuchonga katika Jumatatu nyingine tena ya kupeana changamoto za kimichezo, lengo likiwa lilelile la kuleta ufanisi katika sekta hii muhimu.
Bila shaka mu wazima wa afya na mnaendelea na majukumu ya ujenzi wa taifa, ila kwa wale hali zao si shwari tunawaombea nafuu.
Kwa wale ambao kwa namna moja ama nyingine hatukuwa wote Jumatatu iliyopita, si vibaya tukikumbushana kwa ufupi kile kilichojiri Uwanjani wiki iliyopita.
Wiki iliyopita, tulikuwa na mada isemayo: ‘Tunataka kuona vitendo muafaka CHANETA, CHANEZA'.
Hivi ni vyama vya mchezo wa netiboli Tanzania Bara na Tanzania Zanzibar ambavyo kwa muda mrefu vilikuwa na msuguano ambao ulififisha ushirikiano wa mchezo huo wa pande hizi mbili za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Lakini baada ya majadiliano ya muda mrefu na kuangalia lilipo tatizo chini ya usimamizi wa mabaraza ya michezo ya taifa ya bara na visiwani, (BMT), na (BTMZ), hatimaye hali ilirejea shwari na sasa kuwa kitu kimoja.
Hicho ndicho kilichousukuma Uwanja wa Kuchonga ambao kama ada siku zote ni kuwanyoshea njia, au kuchonga barabara ili wadau waweze kupita vizuri na kufanikisha kulisukuma gurudumu la maendeleo ya michezo, kuwapongeza wahusika hao wa CHANETA na CHANEZA kwanza kwa kusawazisha mambo, kisha kuwashtua kuwa sasa tunataka kuiona vitendo ili kututhubutushia kuwa hali ni shwari.
Baada ya dondoo hizo sasa turejee katika mada yetu ya leo. Kwa wiki kadhaa hivi karibuni, tulikuwa na mada kadhaa zikiwa zimebeba au zinalenga ujumbe, changamoto na pongezi kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dk. Emmanuel Nchimbi ambaye amekabidhiwa dhamana na Rais Jakaya Kikwete kuongoza wizara hii nyeti.
Tuliwahi kusema, "Katika hili, hongera Waziri Nchimbi lakini..."
Katika mada hiyo tulielezea jinsi tulivyoguswa na hotuba ya waziri huyo kule Moshi, mkoani Kilimanjaro Februari 27 mwaka huu, wakati wa hitimisho la mbio za kimataifa za Kilimanjaro Marathon, pale alipoainisha kuwa yeye hatakuwa waziri wa soka, bali ni waziri wa michezo na kuwa yuko tayari kushirikiana na viongozi wa michezo yote ili kuhakikisha inalitangaza vema jina la Tanzania kimataifa.
Ni kauli iliyowagusa wengi, kwani sio siri, kwa nyakati tofauti sekta ya michezo imekuwa ikizidi kudidimizwa hapa nchini na mawaziri wanaopewa dhamana hiyo kuitenga sekta hii muhimu na kuegemea nyingine licha kuwa chini ya wizara yake, au kugeuka kuwa mawaziri wa mchezo mmoja tu soka na kuona ndio mchezo pekee huku mingine ikionekana kama ni ya kufanyiwa huruma tu.
Lakini kwa kauli ambayo nadhani ilikuwa ni mara ya kwanza kutolewa na Waziri Nchimbi tangu apewe jukumu hilo, tayari Mzee wa Kuchonga nilianza kuona nuru kuwa Waziri huyu kaingia ofisini tayari akijua ugonjwa na dawa yake, ingawaje kidogo kigugumizi kilikuwepo na kuhoji, je kauli hiyo tamu haiwezi kuishia jukwaani tu, vitendo vikawa ni ndoto?
Wakati tukijiuliza, kutafakari na kusubiri kuyaona hayo kwa vitendo, mwishoni mwa wiki iliyopita, Waziri Nchimbi, akiambatana na Naibu wake Dk. Funela Mukangara, Mkurugenzi wa Michezo, Leonard Thadeo, alianza ziara ya kukutana na kutembelea vyama mbalimbali vya michezo kujionea utendaji wa vyama hivyo na kupeana changamoto mbalimbali.
Katika ziara hizo, hakika yanayotokea yananisukuma kunena kuwa nayaona matumaini ya mabadiliko katika michezo Tanzania endapo viongozi wa vyama vya michezo mbalimbali watakuwa wanamuelewa, kumsikiliza na kumfuata Waziri Nchimbi anayoyaonyesha kwa vitendo, kuwaagiza na kuwashauri.
Alipoanza ziara yake Ijumaa kwa kukutana na viongozi wa Chama cha Riadha Tanzania (RT), na Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), aliwafafanulia kuwa kilio chao cha muda mrefu cha kukosa sapoti na udhamini, kwanza waanze kujisafisha wenyewe ili wakubalike mbele ya jamii.
Alitaja waziwazi kuwa uaminifu limekuwa tatizo kubwa kwa viongozi wa vyama vingi, jambo ambalo linaponza mbele ya wadau, hivyo kukosa kuaminika kusaidiwa, jambo ambalo ni ukweli usiopingika.
Bila chenga, aliwapasha BFT kuwa hivi sasa wako kwenye hali ya taabu ya kukukosa sapoti ya wadau kutokana na kitendo cha kujihusisha na usafirishaji wa dawa za kulevya nje ya nchi chini ya uongozi uliopita uliokuwa chini ya Alhaj Shaban Mintanga.
Hivyo ili kusafisha hali, wanapaswa kujisafisha wenyewe kwanza ili kurejesha imani ya wadau.
Hilo ni jambo la msingi, kwani vyama vingi hapa nchini badala ya kujikita katika kuandaa mipango ya maendeleo ya michezo yao, hugeuza na kutumia mwanya wa michezo kufanya biashara zao haramu ikiwamo hizo za dawa za kulevya na usafirishaji haramu nje ya nchi watu mbalimbali.
Mifano hai na ushahidi vipo.
Kutokana na changamoto hizo za Waziri, ndipo Katibu Mkuu wa BFT, Makore Mashaga, alikuja kubainisha kuwa hilo kweli ni doa kwao na kwa sasa wamejipanga kuwaingiza mabondia wao wote katika mpango wa Polisi Jamii. Katika hili ‘Big Up' BFT na tutakuja kuliweka uwanjani wiki zijazo.
Mambo yalizidi kunoga siku hiyo hiyo, ambapo Waziri Nchimbi katika kuonyesha kuwa yale anayoyasema si ya kuandikiwa kwenye hotuba tu, bali ni ya moyoni, akiwa katika hafla iliyoandaliwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti kwenye hoteli ya New Africa jijini Dar es Salaam, katika yote ikiwamo kuipongeza kampuni hiyo kwa mchango wake mkubwa katika kuidhamini timu ya soka ya Taifa ‘Taifa Stars', aliwapigia chapuo wazi wazi tena kwa mkazo, riadha na gumi.
Hakika katika hili sidhani kama imewahi kutokea kwa mawaziri lukuki waliowahi kupewa dhamana ya michezo miaka kadhaa hapa nchini.
Ni miaka takriban mitatu hivi nyuma, waziri mmoja mwenye dhamana ya michezo hapa nchini, tena akiwa katika hafla moja ya timu ya taifa na wadhamini wakiwamo Serengeti alitamka bayana kuwa wao kama wanasiasa itakuwa uwendawazimu kuegemea michezo mingine isiyo na mashabiki kama soka! Leo Nchimbi anageuka mpiga debe mkuu wa kuviombea vyama misaada na udhamini tena hadharani, sijui vyama hivyo sasa vinataka nini, hasa ukizingatia jukumu hilo, kwanza ni la vyama husika vyenyewe, waziri kazi yake ni nakshi nakshi tu.
Hapa viongozi wa vyama husika wanapaswa kusoma jambo na kujipanga upya au kifupi kubadilika na kwenda sambamba na Waziri Nchimbi na hakika watajionea mabadiliko.
Alipofika CHANETA, mbali na kukunwa na ufanisi wa chama hicho na kuahidi serikali kuzidi kuwaunga mkono, lakini pia alirudi pale pale tulipopagusa wiki iliyopita, muafaka wa bara na visiwani ambapo alitamka bayana kuwa kwa muda mrefu jambo hilo lilikuwa likimbangua kichwa, lakini sasa kapata ahueni.
Alipotua katika mchezo pendwa, soka, mbali ya kuupongeza uongozi wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), chini ya Leodegar Tenga, ambaye pia kaukwaa ujumbe wa Kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Soka Afrika (CAF), hivi karibuni, hakusita kuwaeleza kuwa haridhishwi na jinsi timu za taifa zinavyoandaliwa kizima moto ikiwamo kukaa kambi siku mbili tatu, kuwa kwa mazingira ya nchi yetu ni vigumu kuleta ufanisi, unatakiwa muda wa kutosha na serikali iko tayari kusaidia katika hilo.
Waziri huyo bado anaendelea na ziara yake katika vyama mbalimbali ambapo naamini mengi zaidi yatazidi kuibuka yenye neema kwa michezo yetu, lakini angalizo kwa viongozi wa vyama vyetu, msitumie neema hii ya kujitoa kupita kiasi kwa Waziri Nchimbi vibaya. Daima kujitoa zaidi na uadilifu katika nyanja ya uongozi wa vyama vya michezo ambavyo vingi kama si vyote ni vya ridhaa ndio nguzo kuu ya mafanikio.
Napenda kuhitimisha kwa kusema, hakika kwa mwanzo huu naiona neema ya mafanikio katika michezo. Kila la heri, tukutane wiki ijayo Uwanjani.
 
Mazembe yaipa mtihani Simba

Imeandikwa na Zena Chande, Lubumbashi; Tarehe: 20th March 2011 @ 23:59 Imesomwa na watu: 155; Jumla ya maoni: 0








SIMBA sasa inahitaji ushindi wa mabao 2-0 itakaporudiana na TP Mazembe wiki mbili zijazo ili isonge mbele katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Hatua hiyo inatokana na kipigo cha mabao 3-1 ilichokipata jana kutoka kwa TP Mazembe katika mchezo wa kwanza raundi ya kwanza Ligi ya Mabingwa Afrika uliofanyika Uwanja uitwao Stade de La Kenya wenye uwezo wa kuchukua watazamaji 35,000, ambao ulijaa, huku wenyeji wakiwa na vikundi karibu tisa vya ushangiliaji.

Ni matokeo ambayo yalipokewa kwa furaha na wachezaji wa Simba akiwemo Kocha Mkuu, Mzambia Patrick Phiri, ambaye alisema amekubali matokeo na watajipanga kuhakikisha wanapata ushindi zitakaporudiana Dar es Salaam na kusahihisha makosa.

Katika mchezo huo, Patou Kabangu aliipatia TP Mazembe bao la kuongoza dakika ya 11 kutokana na mpira wa adhabu walioanzia na wachezaji wa Mazembe na kupiga shuti lililomshinda kipa Juma Kaseja.

Dakika ya 24, Narlise Ekanga alifunga bao la pili baada ya kugongeana pasi na Alain Kaluyitika mbele ya mabeki wa Simba waliojichanganya na kuukwamisha mpira wavuni.

Simba ingeweza kuwa ya kwanza kupata bao baada ya kuanza mchezo, lakini ilikosa umakini katika umaliziaji, kwa washambuliaji wake Emmanuel Okwi, Patrick Ochan, Mbwana Samatta na Mussa Mgosi kushikwa na vigugumizi vya miguu kila walipokaribia lango la TP Mazembe lililokuwa linalindwa na kipa Kidiaba Muteba.

TP Mazembe ambao ni mabingwa watetezi wa ligi hiyo, ambapo Desemba mwaka jana ilikuwa timu ya kwanza Afrika kucheza fainali ya klabu bingwa ya dunia na kufungwa mabao 3-0 na Inter Milan, ilifunga bao la tatu dakika ya 66 mfungaji akiwa Narlise Ekanga akiunganisha mpira wa kona.

Dakika 10 baadaye Simba iliyofikia hatua ya kuvaana na Mazembe baada ya kuiondoa Elan de Mitsoudje ya Comoro katika mchezo wa hatua ya awali kwa jumla ya mabao 4-2, ilipata bao kwa mkwaju wa penalti iliyofungwa na Emmanuel Okwi.

Penalti hiyo ilitolewa na mwamuzi Younis Yassek wa Misri baada ya kipa Kidiaba Muteba kumuangusha Okwi eneo la hatari katika harakati za kuokoa.

Simba ilizinduka zaidi kipindi cha pili baada ya kufunga bao, huku kipa wake Kaseja akiokoa michomo kadhaa tofauti na hali ilivyokuwa kipindi cha kwanza.

Simba: Juma Kaseja, Haruna Shamte, Amir Maftah, Juma Nyoso, Kelvin Yondani, Jerry Santo, Amri Kiemba, Patrick Ochan, Emmanuel Okwi, Mbwana Samatta/Nico Nyagawa na Mussa Mgosi/Ali Mohammed.

Mazembe: Robert Kidiaba, Pamhile Mihayo, Janivier Besala, Jean Kasusula, Joel Kihwaki, Benza Bedi, Patou Kabangu/Given Singuluma, Narlise Ekanga, Alain Kaluyituka, Rainford Kalaba na Deo Kanda.
 
Waimbaji wazidi kuibuliwa tamasha la Pasaka Diamond
• Sekeleti wa Zambia naye kushambulia jukwaa

na Mwandishi wetu


amka2.gif
TAMASHA la muziki wa injili litakalofanyika Aprili 24, mwaka huu kwenye Ukumbi wa Diamond Jubilee mbele ya Rais Jakaya Kikwete atakayekuwa mgeni rasmi, limezidi kukaribia.
Kukaribio huko kunakwenda sambamba na kamati inayoratibu tamasha hilo ya Msama Promotions chini ya mkurugenzi wake Alex Msama, kuzidi kujipanga kuelekea siku hiyo inayosubiriwa kwa shauku kubwa.
Shauku ya wapenzi na wadau wa muziki wa injili, sio kwenda ukumbini kuburudika na ujumbe wa neno la mungu kupitia nyimbo zitakazoimbwa tu, pia maudhui ya tamasha hilo.
Kwa mujibu wa Msama, mbali ya wapenzi na mashabiki wa muziki wa injili watakaofika ukumbuni kupata baraka za Mungu kutoka kwa waimbaji, pia kufika kwao na kulipa kiingilio, ni kusaidia wenye mahitaji.
Hiyo inatokana na maudhui ya tamasha hilo la aina yake ambapo ni kutumia sehemu ya mapato kusaidia yatima, wajane na waathirika wa mabomu ya Gongo la Mboto.
Kwa maudhui hayo na mengine, tamasha hili linakuwa na sura ya zaidi ya Tamasha na yawezekana kabisa, ndio maana hata mkuu wa nchi, amekubali kuwa mgeni rasmi.
Kwa mujibu wa Msama, hatua ya Rais Kikwete kukubali kuja kwenye tamasha hilo tena akiwa mgeni rasmi, wamepokea kwa furaha kubwa wakiamini atakuwa ameguswa na maudhui ya tamasha hilo.
Msama anasema, kwa kutambua kiu ya umati wa wapenzi na mashabiki wa muziki wa injili ambao utafurika siku hiyo kwenye Ukumbi wa Diamond, kamati imekuwa ikifanya jitihada ya kufanya maandalizi ya uhakika.
"Maandalizi hapa ni pamoja na wale watakaofika kupata kile walichokitarajia ambacho ni burudani ya kuvutia ya nyimbo za injili na ndio maana, tumekuwa tukifanya uchambuzi wa kina kuhusu waimbaji," anasema Msama.
Anasema, Kamati inajua kuna waimbaji wengi ambao wangetamani kuimba siku hiyo, lakini haiwezekani kwa sababu ni wengi mno kwani ukiwakusanya wote, hata ukumbi wa Diamond Jubilee, hautatosha.
Msama anasema hadi sasa jumla ya waimbaji ambao wamethibitisha kushiriki tamasha hilo, ni sita akiwemo malkia wa muziki wa injili wa mwaka 2009, Rose Muhando.
Wengine ni Upendo Nkone na Bony Mwaitege wa Tanzania na kutoka Kenya ni Annastazia Mukabwa na Pamela Wanderwa ambao tayari wameanza kujifua ili siku hiyo kufanya kile kinachosubiriwa.
Msama anasema waimbaji wengine ambao watapamba ukumbi wa Diamond Jubilee siku hiyo ya Aprili 24 kabla ya kuelekeza mashambulizi Uwanja wa Jamhuri, Dodoma na Kambarage, Shinyanga, watajulikana baadaye.
Kwa mujibu wa Msama, mwimbaji mwingine wa sita ambaye naye amethibitisha, ni Ephrael Seleketi Mutalange kutoka Zambia.
Msama anasema, tayari mwimbaji huyo aliyeanza kuimba tangu akiwa na umri wa miaka sita tangu azaliwe Septemba 26, mwaka 1983, amethibitisha kushiriki tamasha hilo.
Msama anasema, mwimbaji huyo wa nyimbo za kumsifu Mungu, siku hiyo ataimba kwa mara ya kwanza nyimbo zilizomo kwenye albamu mpya iliyobebwa na jina la ‘Mungu Mwenyewe.'
"Sekeleti atakuja na albamu yake mpya ya ‘Mungu Mwenyewe' ambayo ataitambulisha kwa mara ya kwanza hapa nchini," anasema Msama.
Msama anazitaja baadhi ya nyimbo zilizopo kwenye albamu hiyo, ni ‘Uniongoze na ‘Kidonge cha Yesu'.
"Amesema albamu hii itakuwa anaitambulisha kwa mara ya kwanza, hivyo hii ni nafasi nzuri kwa Watanzania kuja kumshuhudia muimbaji huyo," anadokeza Msama.
Msama ameongeza kuwa, Sekeleti atakuwa nchini pamoja na waimbaji wake 10 na ataimba ‘live' siku hiyo.
Tamasha la Pasaka la mwaka huu ambalo Mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Rais Jakaya Kikwete, lina malengo ya kuchangisha fedha kwa ajili ya wahanga wa mabomu yaliyotokea kwenye kambi ya jeshi la JWTZ
Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.
Aidha, sehemu ya fedha nyingine ni kwa ajili ya kuwasomesha watoto yatima na kuwasaidia mitaji ya biashara wanawake wajane.
 
Kwaya ya Wasabato yamkabidhi cheti Dk. Ndodi


na Shabani Matutu


amka2.gif
KWAYA ya Mbiu ya kanisa la Wasabato ya kundi la Tandale imemzawadia cheti cha heshima, mkurugenzi mtendaji wa kituo cha tiba asilia cha Haleluya Sanitarium Isack Ndodi, ikiwa ni asante ya kuthamini mchango wake kwa kwaya hiyo.
Cheti hicho alikabidhiwa juzi na mwenyekiti wa kwaya hiyo, Mussa Silasi, katika zahanati yake iliyoko katika hoteli ya Itumbi, Magomeni Mwembechai, jijini Dar es Salaam.
Akizungumza kwa niaba ya kwaya hiyo, Silasi alisema wamechukua hatua hiyo kutokana na daktari Ndodi kukubali kuwa mmoja kati ya wageni rasmi waliohudhuria uzinduzi wa DVD yao ya muziki wa Injili katika ukumbi wa Ubungo Plaza, mwezi uliopita.
Baada ya kupewa tuzo hiyo Dk. Ndodi alitumia nafasi hiyo kuishukuru kwaya hiyo kwa jambo hilo la kutoa shukrani kwake kwa kuthamini mchango wake.
Dk. Ndodi hakusita kuonyesha furaha yake baada ya kwaya hiyo kumtembelea nyumbani kwake Mbezi eneo la Malamba Mawili na kuwaahidi kuwasaidia waimbaji zawadi ambayo hakupenda kuiweka hadharani hadi hapo atakapoikamilisha.
 
Azan: Sishangazwi na bongo fleva


na Shehe Semtawa


amka2.gif
MBUNGE wa Kinondoni, Idd Azan amesema hapati taabu kwenye Kiswahili kinachotumiwa na wasanii wa muziki wa kizazi kipya bongo fleva.
Azan alibainisha hilo jana jijini Dar es Salaam alipokuwa akizungumzia ugumu wanaoupata baadhi ya wanaosikiliza muziki huo unaotawaliwa zaidi na Kiswahili cha mitaani.
Alisema vijana hao wanakwenda na wakati wao lakini hata yeye si mgeni na Kiswahili hicho wanachotumia kutokana na kwamba anakifahamu kwa kuwa yeye ameishi jijini muda wake wote.
Azan alisema watu wengi ambao si wakazi wa jiji hili kwa muda mrefu mara chache ndio wamekuwa wakipata taabu kuwaelewa vijana hao.
Mbali na hilo Azan alisema nyimbo zao hizo zina ujumbe unaotoa elimu katika jamii inayotuzunguka haswa kwa vijana wenyewe.


 
Dk. Shein kuongoza uchangiaji soka Zanzibar


na Stella Mushi


amka2.gif
RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Dk. Ali Mohammed Shein, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika halfa maalumu ya chakula cha jioni kwa ajili ya kuichangia timu ya soka ya Zanzibar, Zanzibar Heroes, katika ‘Fundraising Gala' itakayofanyika kwenye ukumbi wa Zanzibar Beach Resort visiwani humo Machi 26.
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa Future Century Sports Limited, Hellen Masanja, alisema kuwa lengo na madhumuni ya hafla hiyo ni kuendeleza soka la Zanzibar na kuhamasisha wadhamini waje kudhamini ligi na soka la visiwani kwa ujumla.
Masanja alisema, wana mambo mengi ya kufanikisha lengo hilo na chakula hicho cha uchangiaji ni mojawapo, kutokana na kushuhudiwa hivi sasa soka la Zanzibar likizidi kudorora.
"Tunahitaji wadau wa kudumu wa kuliendeleza soka la Zanzibar, ndio maana tumelenga kuwaita ili waje wakae nasi katika kuendeleza soka letu la visiwani," alisema Masanja.
Alisema, tukio hilo litawakutanisha wadau mbalimbali kwa lengo la kukusanya dola laki mbili ambapo wataongozwa na Rais Shein na litarushwa na kituo cha televisheni cha Super Sports Africa kupitia DSTV na kuonekana kwenye nchi 48 za Afrika.
Aidha, alisisitiza kuwa malengo ya kampeni yao ni kuhakikisha wanaleta changamoto na kuinua kiwango cha soka visiwani humo hadi kufikia kiwango cha juu cha kimataifa.
Kwa upande wake, meneja wa mradi huo kutoka Future Century Sports Limited, Martha Enock, aliwataja wadau mbalimbali watakaofanikisha hafla hiyo kuwa ni pamoja na Benki ya Watu wa Zanzibar, Shirika la Bima la Zanzibar, (ZIC), Mamlaka ya Bandari Zanzibar, ZSSF, Zantel, Multchoice Tanzania, Vodacom.
Wengine ni Radio na Clouds Tv, Seaforth Agency, Moreover, Tanzania Distilleries, Zanzibar Beach Resorts, New Africa Hotel, Explore Zanzibar, Multi Choice Tanzania, METL na Anver Rajpar ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kamati ya uchangiaji Dar es Salaam.
Naye nahodha msaidizi wa Heroes, Nadir Haroub Ally ‘Canavaro', aliwapongeza wadhamini hao kwa kujitokeza kuwasaidia, kwani wao hawana wadhamini kabisa na ligi inachezwa katika mazingira magumu mno, hivyo kwa kujitokeza kwao watakuwa wamejikomboa na kuwaomba wengine kujitokeza kwa wingi siku hiyo.
 
Hatma ya Mosha Yanga kesho


na Juma Kasesa


amka2.gif
HATMA ya Makamu Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Davis Mosha, aliyetangaza kujiuzulu wadhifa huo hivi karibuni inatarajiwa kutolewa kesho na kikao cha Kamati ya Utendaji.
Kamati hiyo inakutana siku chache, baada ya viongozi wa matawi wa klabu hiyo Mkoa wa Dar es Salaam, kushinikiza kikao hicho kifanyike haraka kutathmini uamuzi wa Mosha kujiuzulu, ili kuiepusha Yanga kuingia katika mpasuko wa uongozi, kutokana na kuongezeka kwa wimbi la viongozi kuachia ngazi.
Aidha viongozi hao wa matawi, wakiongozwa na mwenyekiti wao Mohamed Msumi, walitangaza kutotambua uamuzi wa makamu mwenyekiti huyo kujiuzulu, kwa kile walichodai ni kutambua mchango wake na kuondoka kwake kutaongeza mpasuko ndani ya klabu hiyo.
Mosha alitangaza kujiuzulu hivi karibuni, baada kikundi cha baadhi watu wanaodaiwa kuwa wanachama wa klabu hiyo, kumshambulia na kutishia usalama wake, hatua iliyomfanya kuchukua uamuzi huo kwa ajili ya kulinda maslahi ya Yanga.
Viongozi wengine ambao wameishatangaza kujiuzulu ni aliyekuwa Katibu Mtendaji Lawrence Mwalusako, mfadhili na mjumbe wa bodi ya wadhamini Yussuf Manji, Kocha Mserbia Kostadin Papic, Meneja Emmanuel Mpangala na Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano Ahmed Nassor.
Kwa mujibu wa ofisa wa habari wa klabu hiyo, Louis Sendeu, kikao hicho licha ya kujadili suala la Mosha, pia kinatarajiwa kuweka mikakati ya kuhakikisha Yanga inafanya vema katika michezo yake mitatu iliyobakia Ligi Kuu, ili kujiweka katika mazingira ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara unaoshikiliwa na mahasimu wao Simba.
 
Nchimbi awaasa CHANETA, CHANEZA


na Juma Kasesa


amka2.gif
SERIKALI imeviasa vyama vya mchezo wa netiboli Tanzania (CHANETA) na cha Zanzibar (CHANEZA), kufanya kazi kwa ushirikiano ili kudumisha dhana ya Muungano.
Kauli hiyo ilitolewa hivi karibuni na Waziri wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo, Emanuel Nchimbi, alipofanya ziara ya kutembelea ofisi za chama hicho kwa ajili ya kufahamu maendeleo ya netiboli.
Nchimbi alisema mgogoro wa muda mrefu baina ya vyama hivyo umesababisha kuzorota kwa maendeleo ya mchezo huo bara na visiwani na kuwataka sasa kufanya kazi kwa ushirikiano ili kuepusha kutokea tofauti zilizojitokeza hivi karibuni na kusababisha viongozi wa vyama hivyo kutupiana lawama.
Alisema serikali itaendelea kuvisaidia vyama hivyo kwa kila hali, ikiwamo kuvitafutia wadhamini kutoka katika mashirika na taasisi mbalimbali sambamba na kuwapa mafunzo ya michezo viongozi wa vyama hivyo kwa ajili ya kuona mchezo huo unashika hatamu kama ilivyo soka.


h.sep3.gif
 
Viongozi TASWA kutimka leo


na Mwandishi wetu


amka2.gif
VIONGOZI wawili wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), wanatarajiwa kuondoka Dar es Salaam leo kuelekea Seoul, Korea Kusini kuhudhuria Mkutano Mkuu wa AIPS.
Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa TASWA, mkutano huo wa 74 wa Chama cha Kimataifa cha Waandishi wa Habari za Michezo (AIPS) utaanza kesho hadi Machi 27.
Mhando alisema TASWA katika mkutano huo itawakilishwa na Makamu Mwenyekiti Maulid Kitenge na Katibu Msaidizi, George John, ambao wataondoka leo alasiri kwa ndege ya Shirika la Ndege la Qatar.
Mhando alisema TASWA inaamini mkutano huo utakuwa na manufaa kwa chama pamoja na waandishi wa habari za michezo kwa ujumla hapa nchini kutokana na mada mbalimbali zitakazojadiliwa.
Aidha Taswa inawashukuru waliofanikisha safari hiyo ambao ni Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) waliosaidia tiketi za wahusika kwenda Korea Kusini na kurudi Dar es Salaam.



h.sep3.gif
 
Serikali yaviahidi raha vyama vya michezo

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 20th March 2011 @ 23:55 Imesomwa na watu: 17; Jumla ya maoni: 0






VYAMA vya michezo nchini vinaweza kuanza kuneemeka kwa kupata ruzuku ya serikali kutokana na mkakati unaoandaliwa wa kuweka bajeti.

Akizungumza na viongozi wa vyama vya michezo Dar es Salaam, mwishoni mwa wiki iliyopita, Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dk. Emmanuel Nchimbi alisema serikali haiwezi kukwepa suala la kuendeleza michezo.

Alisema kutokana na umuhimu huo kwa kushirikiana na wadau watajitahidi kupunguza au kuondoa kabisa baadhi ya kero ikiwepo ya miundombinu ya viwanja.

"Tunaangalia kibajeti namna tunavyoweza kusaidia michezo, lakini vyama visijisahau.

"Tunataka serikali isaidie, lakini hilo lisiondoe uhuru wa vyama, maana mtu anapotoa fedha anaweza kuanza kumiliki, tunataka vyama vibaki na uhuru wake kamili," alisema.

Katika kupunguza ukata kwenye vyama alisema wizara itaandaa mafunzo maalumu kwa viongozi wa vyama juu ya mbinu na ushawishi kwa wafadhili.

Waziri Nchimbi pia alivitaka vyama kujenga utamaduni wa kupatana na kuwa na agenda moja ya maendeleo.

"Muda mwingi mnatumia kuendeleza migogoro mpaka watu wengine wananuna na kuacha kusalimiana, mnaweza kujipunguzia maisha bure.

Nataka mjenge tabia ya kupatana na kuwa na agenda moja ya maendeleo, ndio inayowapeleka," alisisitiza.

Pia alivionya vyama kujenga tabia ya uaminifu wa ndani na kutotumika kutorosha watu nje na watakaobainika watafutiwa usajili.

Katika mkutano huo vyama 14 vya michezo vilikutana na Waziri na kueleza mafanikio, matatizo yanayowakabili na kuitaka serikali kusaidia.

Nchimbi alisema ameamua kuzungumza na viongozi wa vyama ili kujua matatizo yao moja kwa moja kwa lengo la kutafuta ufumbuzi wa pamoja na kuendeleza michezo yote.
 
Simba yaanza vibaya Send to a friend Sunday, 20 March 2011 20:55
ochan%20mazembe.jpg
Kiungo wa Simba, Patrick Ochan akichanja mbuga jana kwenye Uwanja wa Kenya katika mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa Afrika. TP Mazembe ilishinda mabao 3-1. Picha/Majuto Omary

Majuto Omari, Lubumbushi
MABINGWA wa Tanzania, Simba wameanza vibaya kampeni yao ya kusaka kufuzu kuingia hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa baada ya kukubali kipigo cha mabao 3-1 kutoka TP Mazembe.Vigogo hao wa Afrika walifanikiwa kupata mabao ya mapema kupitia kwa Patou Kabangu, Amia Ekanga na Alain Kaluyituka Dioko kabla ya mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Emmanuel Okwi kuifungia Simba bao pekee kwa mkwaju wa penalti.

Mazembe wakiwa kwenye uwanja wao wa nyumbani walifanikiwa kupata bao la kuongoza dakika 11, kupitia kwa Patou Kabangu kabla ya Ekanga kupachika bao la pili katika dakika ya 27 kwa shuti la mbali lililomshinda kipa Juma Kaseja na kujaa wavuni na kuwafanya mabingwa hao wa Afrika kwenda mapumziko wakiwa mbele 2-0.

Simba ilianza kipindi cha pili kwa kasi na kufanya mashambulizi kadhaa katika dakika ya 59, 62 hata hivyo washambuliaji wake Emmanuel Okwi, Mbwana Samatta na Mussa Mgosi hawakuwa makini kwenye umaliziaji.

Mabeki wa Simba waliokuwa makini kwa muda wote kumlinda Kaluyituka walijisahau na kumwacha nyota huyo wa Congo kuipatia Mazembe bao la tatu katika dakika ya 70, baada ya kupokea pasi ya Ekanga, ambapo kabla ya kufunga alimlamba chenga Haruna Shamte na kupiga kulia kwa kipa Juma Kaseja na kuamsha shangwe kubwa kwa mashabiki waliokuwa wamefurika uwanjani.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Uganda, Okwi aliifungia Simba bao la kufutia machozi dakika ya 76 kwa mkwaju wa penalti baada ya kipa wa Mazembe, Robert Kidiaba kumuangusha kwenye eneo la hatari na mwamuzi kuamuru ipigwe penalti ambayo ilifungwa na Emmanuel Okwi mwenyewe.

Zikiwa zimebaki dakika tisa mpira kumalizika, Kaseja alifanya kazi ya ziada kuokoa mpira wa kichwa uliopigwa na Kaluyituka aliyeunganisha vizuri kona ya Rainford Kalaba ambaye alikuwa akiisumbua ngome ya Simba.

Akizungumzia mchezo huo kocha wa Simba, Patrick Phiri alifurahi jinsi wachezaji wake walivyoweza kujituma na kupata bao moja ugenini ambapo alisema ni matokeo mazuri.

"Mabao mawili ya kwanza ni makosa ya kiuchezaji, hauwezi kumlaumu mtu, tunasubiri nyumbani, tumegundua uzuri wao na sisi tutahakikisha tunashinda na kusonga mbele,"alisema Phiri.Alisema,"Mazembe siyo timu ya kutisha sana kama unavyoisikia, umeona jinsi tulivyoshambulia, naamini tukiwa nyumbani tutafanya vizuri zaidi," alimaliza Phiri kwa matumaini makubwa.

Simba iliingia raundi ya pili ya mashindano hayo ya klabu bingwa barani Afrika baada ya kuichapa Elan de Mitsoudje ya Comoro mabao 4-2.

Kikosi cha Simba
Juma Kaseja, Haruna Shamte, Amir Maftar, Juma Nyoso, Kelvin Yondani, Jerry Santo, Amri Kiemba, Patrick Ochan, Emmanuel Okwi, Mbwana Samatta na Mussa Mgosi.
Akiba
Ally Mustapha, Juma Jabu, Meshack Abel, Ally Shiboli, Nico Nyagawa, Rashid Gumbo, Shika Mkina.
 
Mzambia kutumbuiza Tamasha la Pasaka

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 20th March 2011 @ 23:40 Imesomwa na watu: 23; Jumla ya maoni: 0






MWIMBAJI wa muziki wa Injili kutoka Zambia, Ephraim Sekeleti, amethibitisha kushiriki Tamasha kubwa la Pasaka litakalofanyika siku ya sikukuu ya Pasaka Aprili 24 mwaka huu ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi ya tamasha hilo, Alex Msama, alisema Sekeleti amekubali kushiriki na kwamba atatua nchini akiwa na albamu mpya iitwayo Mungu
Mwenyewe.

Alizitaja baadhi ya nyimbo zilizomo kwenye albamu hiyo kuwa ni Uniongoze na Kidonge cha Yesu.

Alisema Sekeleti atakuja nchini pamoja na waimbaji wake 10 na ataimba live siku hiyo.

Tamasha la Pasaka la mwaka huu lina malengo ya kuchangisha fedha kwa ajili ya wahanga wa mabomu yaliyotokea kwenye kambi ya jeshi Gongo la Mboto jijini Dar es Salaam.

Pia fedha nyingine ni kwa ajili ya kuwasomesha watoto yatima na kuwasaidia mitaji ya biashara wanawake wajane.
 
Viongozi Taswa waenda Korea

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 20th March 2011 @ 23:00 Imesomwa na watu: 15; Jumla ya maoni: 0








VIONGOZI wawili wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), wanatarajiwa kuondoka Dar es Salaam leo kuelekea Seoul, Korea Kusini kuhudhuria Mkutano wa 74 wa Chama Kimataifa cha Waandishi wa Habari za Michezo (AIPS).

Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari jana na Katibu Mkuu wa Taswa, Amir Mhando ilieleza kuwa mkutano huo utaanza kesho hadi Jumapili ijayo ukishirikisha nchi mbalimbali duniani wanachama wa AIPS.

"Taswa katika mkutano huo itawakilishwa na Makamu Mwenyekiti Maulid Kitenge na Katibu Mkuu Msaidizi, George John, ambao wataondoka alasiri kwa ndege ya Shirika la Ndege la Qatar.

"Taswa inaamini mkutano huo utakuwa na manufaa kwa chama pamoja na waandishi wa habari za michezo kwa ujumla hapa nchini kutokana na mada mbalimbali zitakazojadiliwa.

"Pia Taswa inawashukuru wote waliofanikisha safari hiyo ambao ni Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF)na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) waliosaidia tiketi za wahusika kwenda Korea Kusini na kurudi Dar es Salaam," alisema Mhando.

Alisema chama chake kinaamini msaada mkubwa wa NSSF na TFF kwa ajili ya safari hizo ni ishara ya ushirikiano mzuri uliojengwa baina ya Taswa na taasisi hizo mbili.
 
Carra honest over Reds penalty


RivalsDM



PRINT RSS

77

Updated Mar 20, 2011 12:26 PM ET
Liverpool captain Jamie Carragher admitted after his side's win at Sunderland that the penalty they scored from was incorrectly awarded.

Sat., Mar. 19
Tottenham 0-0 West Ham | Recap
Aston Villa 0-1 Wolves | Recap
Blackburn 2-2 Blackpool | Recap
Man Utd 1-0 Bolton | Recap
Stoke City 4-0 Newcastle | Recap
West Brom 2-2 Arsenal | Recap
Wigan 2-1 Birmingham | Recap
Everton 2-1 Fulham | Recap
Sun., Mar. 20
Sunderland 0-2 Liverpool | Recap
Chelsea 2-0 Man City | Recap
BPL Scores | Table | Fixtures


Referee Kevin Friend awarded Liverpool a first-half penalty in Sunday's 2-0 Premier League victory at the Stadium of Light on the advice of his assistant, but the challenge by Black Cats defender John Mensah on Jay Spearing occurred outside the box.
Dirk Kuyt tucked away the spot-kick and Carragher accepted the Reds were fortunate to have got the decision.
He told Sky Sports: "I thought it was a penalty, but then I looked at half-time and I don't think it was, was it? It was just outside.
"Everyone knows goals change games - up to then it had been pretty even and Sunderland had been putting a bit of pressure on. Every week you can look at different incidents and you can always say it changes the game. Maybe it has gone our way but thankfully we got the other (goal) to make sure so you could say we would still have won 1-0."
That other goal came from Luis Suarez, who fired home a shot from an acute angle, beating Sunderland goalkeeper Simon Mignolet at his near post.
Carragher hailed the impact made by the Uruguayan, who joined the Reds in January but was cup-tied for the Europa League, a competition Liverpool were eliminated from this week in his absence.
"Luis is a top player and he has given everyone a lift," Carragher said.
"Luis looked a top player and we missed him this week in Europe."
Sunderland finished the match with 10 men after Mensah's miserable day was completed by a straight red card for a foul on Suarez.
 
Nizar afunika Whitecaps Send to a friend Sunday, 20 March 2011 20:50

VANCOUVER, Canada
KIUNGO mshambuliaji wa timu ya taifa ya Tanzania ameiwezesha klabu yake ya Vancouver Whitecaps FC kupata ushindi wa kwanza kwenye Ligi ya MLS kuwafunga wapinzani wao wa jadi nchini Canada,Toronto FC 4-2.

Katika mechi hiyo iliyohudhuriwa na mashabiki 22,592 iliwafurahisha mashabiki hata wale waliokuwa wakisikiliza Radio au kutazama pambano hilo kwenye Televisheni.

Timu ya Vancouver Whitecaps ndiyo iliyokuwa ya kwanza kupata bao katika dakika ya 15 ambalo lilifungwa na Eric Hassli, lakini dakika tano baadaye Toronto walisawazisha kupitia kwa De Rosario.

Vancouver awaliongeza bao la pili katika dakika ya 26, lililofungwa na Terry Dunfield, kabla timu hizo hazijaenda mapumziko kocha wa Whitecaps alimuiingiza Nizar Khalfan kuchukua nafasi ya Chiumiento.

Baada ya kufanyika mabadiliko hayo aliongeza uhai wa safu ya kiungo ya Whitecaps kwa hali ya juu na katika dakika ya 63 Whitecaps ilipata bao la tatu lililofungwa na Atiba Harris.

Pia Whitecaps iliongeza bao la nne katika dakika ya 72 ambalo lilifungwa na Eric Hassli, lakini katika dakika ya 74, Toronto walipata bao la pili lililofungwa na Maicon Santos.

Katika mechi hiyo, Nizar Khalfan ametajwa kwamba aliweza kuwaongoza vema wenzake kufanya vizuri hasa hasa katika kipindi cha pili , ambapo Whitecaps ilikamata sehemu ya kiungo.
 
No Chelsea guarantees for Carlo


RivalsDM



PRINT RSS

3

Updated Mar 20, 2011 7:10 AM ET
Chelsea chief executive Ron Gourlay has stopped short of guaranteeing Carlo Ancelotti would still be manager at Stamford Bridge next season.
Gourlay reiterated that Ancelotti's contract runs for a further season, and said the club understood the league title could not be won every year.
However, when asked directly if Ancelotti would stay on, Gourlay did not give a straight answer.
"All you can say is that Carlo has a contract with the club until 2012," he said on Radio Five Live's Sportsweek.

Sat., Mar. 19
Tottenham 0-0 West Ham | Recap
Aston Villa 0-1 Wolves | Recap
Blackburn 2-2 Blackpool | Recap
Man Utd 1-0 Bolton | Recap
Stoke City 4-0 Newcastle | Recap
West Brom 2-2 Arsenal | Recap
Wigan 2-1 Birmingham | Recap
Everton 2-1 Fulham | Recap
Sun., Mar. 20
Sunderland 0-2 Liverpool | Recap
Chelsea 2-0 Man City | Recap
BPL Scores | Table | Fixtures


"We're delighted with Carlo and what he's achieved so far. These things can be pretty fickle. Carlo has come in and won the double last season. Yes, the expectations are high, but they are high at many clubs around Europe and we've got to be realistic.
"Let's see where we are at the end of May."
Chelsea are fourth in the Premier League after run of poor results saw them surrender a once-comfortable lead at the top of the table.
They can go third later on Sunday if they beat Manchester City to leapfrog them in the table.
Gourlay did give an endorsement to Ancelotti's qualities as a manager.
"Carlos is a world class coach," he said.
"You look at his record and it speaks for itself. His record at Chelsea in a short time, winning the double in the first season in a new league, coming out of Italy, is a great feat.
"This is a strong, competitive league, but his knowledge of the game is second to none and he holds a dressing room well.
"He's won the Champions League twice as a coach and twice as a player so he's been there and done it.
"We understand it is very, very difficult to win trophies every year. What's very important for this club is to be competiting for trophies in the latter stages of every competition."
Gourlay did not offer specific targets for Chelsea to meet over the remainder of this season.
"We're realistic," he said.
"You can't win the double, you can't win the treble every year. But we want to see progress in the club every year.
"All I can say is that Carlo has a contract until 2012. We were delighted with last season, and we're happy with the way it's going this season.
"We're coming to the sharp end now, we've got 10 games left in the league and we have a fantastic draw (against Manchester United) in the Champions League.
"Our expectations are high and we've got to keep driving the club forward."
Gourlay also said owner Roman Abramovich's commitment to the club is as strong as ever, as highlighted by his investment of £70million in Fernando Torres and David Luiz in January.
"Roman is fabulous in his support," Gourlay said. "He likes to be involved in the process, he likes to understand our decision-making and process and, to be honest, that's the best way for the club to move forward."
 
Trotters star taken to hospital


RivalsDM



PRINT RSS

16

Updated Mar 20, 2011 7:27 AM ET
Bolton boss Owen Coyle confirmed midfielder Stuart Holden was taken to hospital following Jonny Evans' red card challenge at Old Trafford.
Evans was sent off 15 minutes from the end of Manchester United's 1-0 win over Bolton on Saturday after Holden sustained a nasty gash in a tackle with the Northern Ireland international.
Coyle claimed at first sight he felt it was just a full-blooded challenge between the two players.


But Holden came off worst and as Bolton players called for immediate assistance, referee Andre Marriner decided the tackle warranted Evans' expulsion.
"Stuart has gone to hospital," confirmed Coyle.
"I think the players reacted the way they did because a cut opened up on his knee.
"We hope it is nothing worse than that and there is no break or ligament damage but we will only know when we get the results back from the hospital."
Sir Alex Ferguson had no complaints over the red card, which will rule Evans out of Premier League encounters with West Ham and Fulham, plus the FA Cup semi-final against Manchester City at Wembley on April 16.
However, he insisted Evans is not a malicious player.
"The referee has seen the player had a bad injury," observed Ferguson, who watched the contest from the directors' box as he began a five-match touchline ban.
"Both players went for the same ball, with their feet raised, and Jonny caught the lad. Once you raise your feet you are putting yourself in a dangerous area. It was unfortunate but we cannot complain."
As it turned out, even though Michael Carrick had to operate as a central defender, Coyle felt the loss of Holden affected Bolton more than United going down to 10 men.
Matthew Taylor missed an outstanding chance for the visitors before Dimitar Berbatov pounced on a Jussi Jaaskelainen mistake three minutes from time to tap home his 21st goal of the season.


"We have had five massive games in the last couple of weeks," said Ferguson.
"It has been a hard programme and the lads deserve a lot of praise for that.
"This was not a 100% top performance from us but we never gave in.
"That is what the character of this club is all about. No other club in the country has got that.
"We are fantastic at gritting our teeth and getting something out of a dead situation."
Ferguson confirmed he had lost Wes Brown to injury at half-time, a problem that, given the introduction of Fabio at right-back, required Berbatov's arrival too to combat Bolton's added height.
"We have two weeks now to try and patch up the injuries," said Ferguson.
"That is the biggest break we have. We should have Nemanja Vidic back for the West Ham game and also Darren Fletcher. I would love to have been able to bring Park Ji-sung on today too."
With a five point lead over Arsenal, having played a game more, United are certainly in the position Wayne Rooney was hoping for judging by quotes in the match programme as he looked ahead to a potential 19th league title.
"A 19th title is something I have been thinking about a lot," he told United Review.
"I am obviously from Liverpool and grew up as an Everton fan, so to be part of the team that wins a record title and overtakes Liverpool would mean so much to us players as well as the fans.
"I know all the Everton fans want us to do it, and that is our aim."
And Coyle admits results such as today's are what championships are built on.
"They have an unbelievable ability and desire to keep winning games and championships," said the Scot.
"Sir Alex will have seen games like that, year after year, game-in, game-out.
"They are also buoyed on by 75,000 fans. That helps as well."
 
Houllier stands up to critics


RivalsDM



PRINT RSS



Updated Mar 20, 2011 7:14 AM ET
Gerard Houllier told Aston Villa fans "I know what I'm doing" after coming under fire from the terraces after the 1-0 home defeat to Wolves.
Houllier admits the level of hostility towards him was a new experience in his career after Matt Jarvis' goal sucked Villa into the Premier League relegation battle.


Fans chanted "we want Houllier out" at the final whistle and also questioned his substitution of midfielder Marc Albrighton midway through the second period.
Villa are now hovering just above the bottom three after collecting only five points from the last six games.
Houllier said: "I shared the fans' frustrations. They are not happy with me and I'm not happy with what we are doing at the moment.
"This is what happens when you don't get the results. You have to live with that.
"The hostility was not something I have really faced before. It is completely new but I can live with that.
"The fans need to support the team. What we want is the fans to back the team and at the moment we are going through a difficult period. The season has gone that way."
Houllier remains convinced that Villa will climb clear of the bottom three despite their latest setback.
He said: "I told the players we have eight Champions League games left to play.

Sat., Mar. 19
Tottenham 0-0 West Ham | Recap
Aston Villa 0-1 Wolves | Recap
Blackburn 2-2 Blackpool | Recap
Man Utd 1-0 Bolton | Recap
Stoke City 4-0 Newcastle | Recap
West Brom 2-2 Arsenal | Recap
Wigan 2-1 Birmingham | Recap
Everton 2-1 Fulham | Recap
Sun., Mar. 20
Sunderland 0-2 Liverpool | Recap
Chelsea 2-0 Man City | Recap
BPL Scores | Table | Fixtures


"I think we will do it. I am convinced we have everything it takes.
"We have quality in the team but at the moment it just doesn't go our way.
"I think the boys tried hard, created enough chances to at least get an equaliser.
"We hit the bar (through Ashley Young) and I was told there was a penalty but we are going through a difficult period at the moment.
"It's very difficult to recover from a defeat like at Bolton when you've played well and deserved more than nothing.
"I think today we deserved an equaliser. Like I said, I understand the fans' frustration and everyone is concerned about the fact we are going through a tough period."
Wolves have now taken eight points from their last four games to revive their own survival hopes.
But Wolves boss Mick McCarthy has little sympathy for Houllier's current plight.
He said: "You didn't have to be the brightest light on the Christmas tree to recognise there was some tension amongst the crowd.
"I don't like to hear any manager get hostility towards them but I would prefer it to be him or 18 other managers rather than me!
"It comes with the job. If you get beaten by a team in the bottom three, you get it (the hostility).
"I empathise with him but sympathy, no."
McCarthy added: "It is a deserved victory. I know they hit the bar but overall we dominated the game. It was a worthy victory."
Jarvis settled the game with a fierce first-time shot to earn Wolves their second away success of the season.
 
Seasiders boss hits out at Webb


RivalsDM



PRINT RSS

1

Updated Mar 20, 2011 7:22 AM ET
Blackpool boss Ian Holloway accused referee Howard Webb of having "a bit of a stinker" for giving his side a penalty in the draw at Blackburn.
Tangerines captain Charlie Adam tucked away the 25th-minute spot-kick after Webb deemed Ryan Nelsen's challenge on Gary Taylor-Fletcher a foul, and the visitors were in total control when Adam netted a superb free-kick four minutes later.


With both sides sitting just above the relegation zone and in poor form, three points would have been a major step towards safety, but Blackburn dominated the second half and deserved the 2-2 draw given to them by Junior Hoilett.
Captain Christopher Samba pulled a goal back four minutes into the second half and they finally got their equaliser three minutes into injury time when Richard Kingson failed to deal with a Paul Robinson free-kick and the excellent Hoilett headed in.
As well as criticising the penalty decision, Holloway felt Taylor-Fletcher should not have been penalised for the challenge on Martin Olsson that earned Blackburn the crucial free-kick.
He said: "I thought the referee had a bit of a stinker. Was that a penalty? I don't think so. It was a great move but it bobbled off their defender then my centre-forward fell over. There was contact but he'd already had his shot. I thought it was a corner.
"But it shouldn't be balanced out with more bad decisions at the end, and it was unfortunately. Was that a free-kick on the halfway line that led to that huge boot into our box?
"But I'd rather talk about what we tried to do this week. People were on about it's a big game but we tried to play our football. We didn't get affected, we still passed it. We got ourselves 2-0 up and it could have been four. I'm proud of my team.

Sat., Mar. 19
Tottenham 0-0 West Ham | Recap
Aston Villa 0-1 Wolves | Recap
Blackburn 2-2 Blackpool | Recap
Man Utd 1-0 Bolton | Recap
Stoke City 4-0 Newcastle | Recap
West Brom 2-2 Arsenal | Recap
Wigan 2-1 Birmingham | Recap
Everton 2-1 Fulham | Recap
Sun., Mar. 20
Sunderland 0-2 Liverpool | Recap
Chelsea 2-0 Man City | Recap
BPL Scores | Table | Fixtures


"We've worked on getting a little bit more solid at the back. Unfortunately that last one the goalie came out for it but didn't get a decent punch and it got knocked back into an unguarded goal.
"My centre-half's fuming with him and my centre-forward's absolutely spitting feathers because he thought it was nothing like a free-kick."
Blackpool had the ball in the net four times in the first half, with Luke Varney having two efforts justifiably ruled out for offside, and Blackburn trudged off the pitch at half-time to a chorus of boos.
But Rovers boss Steve Kean used their bright start to the game as inspiration for the second-half fightback.
The Scot, who saw Olsson and Jason Roberts hit the woodwork prior to Hoilett's leveller, said: "It's a massive point.
"I said to the lads at half-time, 'It's very easy for me to say we're 2-0 down, we'll change the shape of the team, change the personnel, but why don't we go out and perform exactly like we did in the first part of the first half?'.
"Full credit to them, they did that, and after we scored the crowd got behind us and we had a really good go and dug something out of the game. I think we had 20 attempts on goal so I think we were well worth at least a point."
It was the second time in as many games Rovers could consider themselves unfortunate with penalty decisions following a similar call in the 3-2 defeat at Fulham two weeks ago, but, unlike his counterpart, Kean could understand Webb's point of view.
He added: "The last couple of games we've found ourselves we think on the wrong end of decisions that normally are not given. I can understand that Nelsen does get a little bit on the ball but then he does catch the player in the box.
"Howard said he had to make a call on it and, like the Fulham game, I respect the decision but I just hope there's enough time in the season for us to get a couple of ones that are not normally given."
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom