Michepuko sasa basi

Michepuko sasa basi

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
365,547
Reaction score
844,630
1415810924388.jpg
 
Hapo bado sana itaendelea tuu michepuko. Ntaiacha office then naenda kushughulika narudi kuipick then naenda home. Waambieni hao matekenelogia wafikiri kwa kina zaidi.:israel:
 
Hapo bado sana itaendelea tuu michepuko. Ntaiacha office then naenda kushughulika narudi kuipick then naenda home. Waambieni hao matekenelogia wafikiri kwa kina zaidi.:israel:
wao wanawaza kidot.com sisi tunawaza kiuhalisia
 
Mshana sijakuelewa na picha hii ! I have to admit

Ina maana hiyo pete utakayovishwa na mwenzako itakuwa inasoma GPS so anaweza akajua upo maeneo gani. Ni kama wanavyo track stolen phones hivi.
 
Hapo bado sana itaendelea tuu michepuko. Ntaiacha office then naenda kushughulika narudi kuipick then naenda home. Waambieni hao matekenelogia wafikiri kwa kina zaidi.:israel:

...na kama utendaji kazi wake unategemea kugusana na mwili???
 
Hivi!!!kwani hio pete imegundishwa ama...hebu tupe matumizi yake then nikupe jibu sahihi!

Activater module yake inafanya Nazi kufuata mapigo ya damu, kwahiyo hata ukifa ghafla mtu wa kwanza kujua ni mwenza wako
 
Back
Top Bottom