Michepuko mingi huwa inatamani familia yako iharibike ili ibaki yenyeweSi kweli. Kwanza ukiona familia ya mchepuko wako ipo happy na wewe unakuwa happy kwa sababu unajua mambo ni bomba, utaendelea kuchepuka naye ipasavyo maana hakuna anayejua mahusiano.
Endapo itakuwa unhappy moyo wako unaweza ukakusuta na kuhofia attacks kutoka kwa familia husika au ukawaza kinachofuata ni kushikwa ugoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajiwakilisha vizuri sana..!Si kweli. Kwanza ukiona familia ya mchepuko wako ipo happy na wewe unakuwa happy kwa sababu unajua mambo ni bomba, utaendelea kuchepuka naye ipasavyo maana hakuna anayejua mahusiano.
Endapo itakuwa unhappy moyo wako unaweza ukakusuta na kuhofia attacks kutoka kwa familia husika au ukawaza kinachofuata ni kushikwa ugoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asikuambie mtu, michepuko inaumia Sana ikiona familia yako ina furaha. Haijalishi ni michepuko ya jinsia gani.
Iwapo utaweka status za familia yako ikiwa na furaha, ujue kuna maumivu upande mwingine.
Ujumbe: Michepuko siyo dili, itakuharibia familia bure.
Wenye furaha ya kweli hata muda wa kukumbuka ku-upload nonsense hawanaThe funny thing is,hiyo “familia” unayodai ina “furaha” infact haina
Display na maandishi ya kuashiria eti mna good time ni infact projections za insufficiencies zenu mna compensatia kwa kuandika na picha kwa wingi na bla blah kibao
Wenye furaha ya kweli hata muda wa kukumbuka ku-upload nonsense hawana
Tatizo mnaangalia one direction tu,hamjiangalii na nyie upande wenu the same way...
Ndio ile “sisi tulioko huku ni bora zaidi” kind of scenerio!
Maisha ni safari sio wote wana nauli-Kaa la Moto
''Display na maandishi ya kuashiria eti mna good time ni infact projections za insufficiencies zenu mna compensatia kwa kuandika na picha kwa wingi na bla blah kibaoThe funny thing is,hiyo “familia” unayodai ina “furaha” infact haina
Display na maandishi ya kuashiria eti mna good time ni infact projections za insufficiencies zenu mna compensatia kwa kuandika na picha kwa wingi na bla blah kibao
Wenye furaha ya kweli hata muda wa kukumbuka ku-upload nonsense hawana
Tatizo mnaangalia one direction tu,hamjiangalii na nyie upande wenu the same way...
Ndio ile “sisi tulioko huku ni bora zaidi” kind of scenerio!
Maisha ni safari sio wote wana nauli-Kaa la Moto