Kweli michepuko imenisaidia sana, sifa zote ziende kwao:-
Hasira za hovyo hovyo kwa bi mkubwa sina
Wivu wa hovyo hovyo sina
Simsumbui sumbui bi mkubwa kwa tendo akiwa amechoka.
Muda wote tunacheka tu kwa furaha na utani uliopitiliza.
Watoto wako bize na masomo yao
Na mimi muda wote nina furaha
Kweli wanaume hatujaumbiwa kuwa na mwanamke mmoja, kama utalazimisha kuwa na mmoja, jiandae kwa kero zilizopo, moja wapo likiwa ni kupatwa na magonjwa ya akili.
Kwa asili, dume ameumbwa kuwa na majike mengi kutokana na sababu za kimaumbile.
Tuliojua hiyo siri, ngoja tuendelee kufurahia maisha.