Mpiga gitaa alimtungia wimbo, yule mke wa rais akawa kila mara anaiimba. Mara phaa.! Rais kashtuka mpiga gitaa kawekwa nyuma ya nondo..!Duh nimeipenda Sana Ila Michelle angekuwa ni mtanzania ambavyo hawaridhiki hata kama ni mke wa rais ungesikia anatoroka kurudi mgahawani baadae, kwani amkumbuki Yule alikuwa mke WA rais anahangaika na wapiga Gitaa? Segerea si kuzuri lakin
iko vipi?Hapana mkuu. Hii stori haiko hivi.
Hahahah sea tutoke woteSalima uko wapi..x2
Wakati ule lakini hakuwa mke wa raid bali mke ya waziri wa mambo ya outsideDuh nimeipenda Sana Ila Michelle angekuwa ni mtanzania ambavyo hawaridhiki hata kama ni mke wa rais ungesikia anatoroka kurudi mgahawani baadae, kwani amkumbuki Yule alikuwa mke WA rais anahangaika na wapiga Gitaa? Segerea si kuzuri lakin
hahaa mle mle tu, bila shaka we wa huku kwetu mikoani. tusaidie wa mkoa gani. maana wa dar hawawapigi mababy wao, labda kinyume chake. (kidding mikoani vs dar)Obama bwege kabisa,Mimi na makofi angekula
mbantu orijino wewe!Obama bwege kabisa,Mimi na makofi angekula
HahahaMpiga gitaa alimtungia wimbo, yule mke wa rais akawa kila mara anaiimba. Mara phaa.! Rais kashtuka mpiga gitaa kawekwa nyuma ya nondo..!
...itaendelea....
Hahaha dah hatari mnooHapa kwetu kama ulishambandua mke wa rais amua mwenyewe aidha uhame nchi kwa usalama wako au badililisha majina yote
Ha ha ha sijasoma ila kama kweli vizur, abiria chunga mzigo wakoDid Michelle Obama really ban actress Kerry Washington from White House because she is too ... Michelle Obama 'bans actress Kerry Washington from White House because she flirts with Barack' | Daily Mail Online via @MailOnline
Obama bwege kabisa,Mimi na makofi angekula
Obama bwege kabisa,Mimi na makofi angekula