Mi nataka nikutoe out tukale ice cream/
Mwambie unatembea na sembo your night dream/
Sio rahisi ila itampasa kuamini/
Mwambie mkiucheza mchezo, unahisi kama naucheza mimi/
Kama akikuomba mtoke mwambie uko busy sana/
Kazi zinabana hauna mda usiku wala mchana/
Mletee mapozi, amwage machozi, visa vizidi/
Mfanye akuone demu wa njozi, akuote tena inapobidi/
Mwisho abwage manyanga/
Mwambie haukupenda muachane ila Mungu hajapanga/