Michano, Punch lines special thread

Dogo janja usigome kama TUCTA / huwezi ku-manage kwa ganja kama vipi kamsome GUPTA. (male marxist)
 
Angalia usiwe unazima moto usioweza kuuzima ukakuzima mazima
 
King Kong in da house minjingu we go harder// nipo na nitonye yes he's my brodda.
 
Last edited by a moderator:
Wanangu wa Moshi Tech, komaeni mtatoboa/
Msishindane na mademu, mapedeshee watawahonga Noah/
 
Tunzo nzito kama behewa la mizigo/
Mi ni bia nzito, mlevi na mnywaji mjichunge na figo/
 
na sijiwezi kama snitch anaeropoka/
dada ako aniita plasma nina inchi za kutosha/


illimatix
 
wnaniita boko haramu/
nawateka dada zao kwenye soko la mamu/

nikki mbishi
 
tunajikinga japokuwa wanamind kuzaa na sisi...... wanathamani ya diamond na tunawabeba kwa freee
.... CNN hii
 
Mi ni paka mwenye kengele, nAwasaka panya
 
Mi nataka nikutoe out tukale ice cream/
Mwambie unatembea na sembo your night dream/
Sio rahisi ila itampasa kuamini/
Mwambie mkiucheza mchezo, unahisi kama naucheza mimi/
Kama akikuomba mtoke mwambie uko busy sana/
Kazi zinabana hauna mda usiku wala mchana/
Mletee mapozi, amwage machozi, visa vizidi/
Mfanye akuone demu wa njozi, akuote tena inapobidi/
Mwisho abwage manyanga/
Mwambie haukupenda muachane ila Mungu hajapanga/
 
Mwanza zao la hphop mapenzi TANGA/ lebo kapewa mkurya studio kumejaa MAPANGA/
 
Mnajigawa kwa makundi/
Lakini kumbuka malaya hachungwi/
 
Naishi kibosi na usanii HAUPOTEI/ natumia noti yenye sahihi toka enzi za MTEI.
 
Najionea maajabu, najionea mapya mama angu , hakuna mpenzi ya hivi kokote kwenye hii dunia.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…