Mimi nimejipata cheo cha Judge..., na mpaka sasa nadhani mistari iliyosimama kwenye huu uzi huu ndio unaongozaAaaaah hamna chamana mchana kutwa kuwaimbia waschana
unakuta libaba jituzima oooo eti linakula ujana haziingii akilini wala hazielimishi jamii
sasa nimjue wanini aliyemwaga pombe ya madee!
Stamina
Mimi nimejipata cheo cha Judge..., na mpaka sasa nadhani mistari iliyosimama kwenye huu uzi huu ndio unaongoza
c.c Mafikizolo MO11 tabibumtaratibu Hassan wenger Ududu