Michango ya harusi Dar by force by power

Michango ya harusi Dar by force by power

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
28,024
Reaction score
52,496
Dar bwana unashangaa mwanaume amekuzoea ghafla.anajileta bana anajileta tena hakujui humjui unasema mtu kanielewa nini? unamshukuru Mungu mkeka wa wa maombi kumi na mbili kwa mwamposa umetick mapema kabla ya juni maana kwenye mkeka tatu bora pale umeandika future husband awe hata anapumua tu akili mtatumia hata za jirani.

Ile unajipanga kwenda kutoa ushuhuda anakupa kadi ya mchango wa harusi umchangie
Kumbe alikuwa anatafuta connection tu apate mchango maana ashakuzoom laki au sabini ya single sio shida zako.

Kama huna D Mbili za roho mbaya lazima utoe unajua kuna watu tumeumbiwa haya kumyima mtu kitu unaona aibu yaani ukijichanganya ukampa na urafiki unaisha hata hyo Kadi ya mwaliko unaweza usipate anakuona kama nyanya mbichi.

Watu wa dar jamani ni feki sana especially men. Hivi unapotezaje utu wako kisa mchango wa harusi.

Mama Samia tawala milele hawa viumbe.
 
1746997259338.jpg
 
🙂 🙂 unamiaka mingapi na unawatoto wangapi?...ungeenda kutoa ushuhuda tu kwamba umepata muujiza wa kuombwa mchango wa harusi.
 
🙂 🙂 unamiaka mingapi na unawatoto wangapi?...ungeenda kutoa ushuhuda tu kwamba umepata muujiza wa kuombwa mchango wa harusi.
 
Dar bwana unashangaa mwanaume amekuzoea ghafla.anajileta bana anajileta tena hakujui humjui unasema mtu kanielewa nini? unamshukuru Mungu mkeka wa wa maombi kumi na mbili kwa mwamposa umetick mapema kabla ya juni maana kwenye mkeka tatu bora pale umeandika future husband awe hata anapumua tu akili mtatumia hata za jirani.

Ile unajipanga kwenda kutoa ushuhuda anakupa kadi ya mchango wa harusi umchangie
Kumbe alikuwa anatafuta connection tu apate mchango maana ashakuzoom laki au sabini ya single sio shida zako.

Kama huna D Mbili za roho mbaya lazima utoe unajua kuna watu tumeumbiwa haya kumyima mtu kitu unaona aibu yaani ukijichanganya ukampa na urafiki unaisha hata hyo Kadi ya mwaliko unaweza usipate anakuona kama nyanya mbichi.

Watu wa dar jamani ni feki sana especially men. Hivi unapotezaje utu wako kisa mchango wa harusi.

Mama Samia tawala milele hawa viumbe.
Hapo kwa Mwamposa umenigusa Sana. Ubarikiwe Sana.
 
Sisi wa kizazi cha kale mtuache, hatutaki usumbufu wa kuombwa mchango wa harusi. Harusi zetu tulijichanga wenyewe kulisha wahudhuriaji
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom