Michango ya harusi Dar by force by power

Michango ya harusi Dar by force by power

Nabii huko huku,,,,? Mbona huu mkeka hausomi jamani?
Nabii feki? Mboni ameshindwa kufufua marehemu? Nilipita pale kwa mwamposa nikakuta masikini wamejilaza nikajiuza huyu nabii inamaana hawaoni hawa masikini waliojilaza hapa mlangoni kwake?
 
Nabii feki? Mboni ameshindwa kufufua marehemu? Nilipita pale kwa mwamposa nikakuta masikini wamejilaza nikajiuza huyu nabii inamaana hawaoni hawa masikini waliojilaza hapa mlangoni kwake?
Pale watu wanasikitisha? Hivi serikali haioni jamani.halafu wanatoka mkoani
 
Pale watu wanasikitisha? Hivi serikali haioni jamani.halafu wanatoka mkoani
Wamelala pale masikini wale wanatia huruma na nabii yupo bize kupiga makelele kule kusikilizisha watu ushuhuda wa uongo, na wewe ungempelekea ushuhuda wa uongo kwenye yale maombi yako 12 ya mchongo ukaweka na la kupata mdume ukupunguzie nyege sasa mdume umekua mgudume
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom