Michael Crifford alikuwa Jasusi wa Beberu?

Michael Crifford alikuwa Jasusi wa Beberu?

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
104,319
Reaction score
183,600
Nauliza tu Kwa Nia njema

Kwanini Kesi kafungulia Mahakama ya London, UK badala ya CMA au Mahakama ya Kazi Tanzania?!

Jumaa Mubarak 😃🌹
 
Tukiwa tunasema Waingereza ni watu madhalimu hapa duniani muwe mnatuelewa.

Mbatizaji, Subiri mawakala wao waliopo CHADEMA waje watuelleze. Hivi huyu Clittoid alikuwa Jasusi wa Beberu🔥🔥🐼Cliffoid?
 
Nauliza tu Kwa Nia njema

Kwanini Kesi kafungulia Mahakama ya London, UK badala ya CMA au Mahakama ya Kazi Tanzania?!

Jumaa Mubarak 😃🌹
Jibu lako utalipata iwapo utajiuliza maswali ya kwanini wale wengine walioshinda kesi zao za migogoro ya kibiashara au kimikataba ya kimataifa na aidha serikali ya Tanzania au taasisi za ki Tanzania kesi zao zilifunguliwa nje ya nchi na wakasikilizwa na kupata haki zao....

Na bila shaka ni kwa sababu MILLICON/HONORA/TIGO TANZANIA ni kampuni ya kimataifa na inafanya shughuli zake za kibiashara Tanzania kwa sababu ya mikataba ya uhusiano wa kimataifa kama IGA, MIGA, MA nk ambayo Tanzania tumesaini...

Wewe johnthebaptist mwajiriwa ukiingia mgogoro na mwajiri wako Mkurugenzi wa Namtumbo District Council, utaenda mahakama za kazi Tanzania...

Lakini kama umeajiriwa na Geita Gold Mines na ukaingia mgogoro nao, unaweza kuwashitaki kwenye mahakama ya usuluhishi wa kibiashara huko duniani...

Ndivyo ilivyo kwenye hili la TIGO na Mr. Michael Clifford. Hapa sio issue ya ujasusi Bali ni ishu ya kisheria na haki ya mtu...
 
Jibu lako utalipata iwapo utajiuliza maswali ya kwanini wale wengine walioshinda kesi zao za migogoro ya kibiashara au kimikataba ya kimataifa na aidha serikali ya Tanzania au taasisi za ki Tanzania kesi zao zilifunguliwa nje ya nchi na wakasikilizwa na kupata haki zao....

Na bila shaka ni kwa sababu MILLICON/HONORA/TIGO TANZANIA ni kampuni ya kimataifa na inafanya shughuli zake za kibiashara Tanzania kwa sababu ya mikataba ya uhusiano wa kimataifa kama IGA, MIGA, MA nk ambayo Tanzania tumesaini...

Wewe johnthebaptist mwajiriwa ukiingia mgogoro na mwajiri wako Mkurugenzi wa Namtumbo District Council, utaenda mahakama za kazi Tanzania...

Lakini kama umeajiriwa na Geita Gold Mines na ukaingia mgogoro nao, unaweza kuwashitaki kwenye mahakama ya usuluhishi wa kibiashara huko duniani...

Ndivyo ilivyo kwenye hili la TIGO na Mr. Michael Clifford. Hapa sio issue ya ujasusi Bali ni ishu ya kisheria na haki ya mtu...
DED Namtumbo 😂😂😂
 
Michael and Lissu, by any mean, walikaa pamoja wakajadili wakaona kwa hili watazipiga fedha, in connection deal
Hakuna ubaya kama iko hivyo Ili mradi havunji sheria yoyote ya nchi au ya kimataifa....

Haki inatafutwa kwa njia zozote halali na kwa gharama yoyote...

Tundu Lissu is a fighter wa HAKI na hakika atashinda na kupata haki zake halali kabisa...

Unaweza kuiga mfano wake? Au wewe umezoea kula za kunyonga na za udhalimu ndugu Crocodiletooth na kwa hiyo za jasho halali huziwezi...?
 
Unatakiwa kujua kwanza Yeye ni nani, aliajiriwa na nani, na alikuwa ana majukumu gani pale Tigo, alifanya wapi kabla ya kuwa Tigo.
 
Kampuni nyingi za simu, banks zinakuwa na kitengo cha fraud na mara nyingi kitengo hiki kinakuwa na security & criminology experts, forensic auditors.

Huyu clifford anaingia hapo. Tigo ilimuajiri kama securityl investigator .
Kwa wazungu walivyo atakuwa ana mambo mengi ya tanzania kupitia utumishi wake tigo
 
Back
Top Bottom