The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 5,082
- 20,797
Mfanyabiashara mkubwa na mmiliki wa vyombo vya habari wa Marekani, Michael Bloomberg anasema ana nia ya kujitosa kwenye kinyang'anyiro cha kumtafuta mgombea wa Urais wa Marekani wa mwaka 2020 baada ya kuona wagombea wa Democrats akiwemo Joe Biden, Makamu wa Rais wa zamani hawana uwezo wa kupambana na Tariff Man Trump na kumuangusha, hivyo bora zaidi yeye.
news.cgtn.com
Bloomberg to skip China forum with White House bid decision imminent
Michael Bloomberg will not attend an economic conference in China next week, adding to speculation he could soon officially launch a bid for the U.S. presidency.