Miaka zaidi ya 20 ya utafiti kuhusiana na Askofu Mkuu Zachary Kakobe

Kakobe ni mpiga dili we hukuona kipindi kile walikua wanagombana kwenye account yake kuna nini?
Toa toa dhahabu etc jamaa anaishi maisha ya kifahari kama president kwa fedha zenu bado hujashtuka tu
 
Asingeweza kumfagilia kwa vile alikuwa anatishia utawala wake. Infact mungu ndio anamjua mkweli nani na yupi ni tapeli..
 
Baadhi ya watu walio wengi wanapenda sana kushabikia na kusambaza taarifa ya vitu au mambo mengi ambayo hawana uhakika wala uthibitisho usio na shaka.Mimi hupenda kueleza na kuzungumza vitu au mambo ambayo nimefanyia utafiti na kubaini ukweli usio na shaka.Binafsi uongo na uzushi ni dhambi ambayo ninajua mshahara wake ni jehanamu ya moto.Mimi sitaki kabisa kwenda motoni, bali nataka kuingia mbinguni, kwahiyo siwezi kusema uongo.
Twende kwenye mada yenyewe,Kumekuwa na maneno mengi yanayozungumzwa kuhusu Askofu Kakobe na ukifuatilia unakuta huyo anayezungumza hajua lolote na ni habari za kusikia tu na hajatafiti yeye binafsi.Mfano unakuta mtu anasema bila aibu Kakobe ametoroka nchi!Wakati ukifuatilia pale Mwenge Kanisa la F.G.B.F Jumapili unamkuta madhabahuni anafundisha Neno la Mungu!.Mfano Jumapili hii ya tarehe 30.03.2014,Askofu Kakobe amefundisha somo, "USIPOWAHUBIRI WAO WATAKUHUBIRI WEWE".Ukipita mitaani bado watu wanaendelea kusema uongo!Kakobe alishatoroka zamani na hayupo Tanzania.
Utafiti wangu ambao nimeufanya kwa zaidi ya miaka 20 kwa kumsikia,kuzungumza nae na kumwona kuhusiana na Askofu Mkuu Zachary Kakobe ni kwamba.Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu kweli kweli ambaye anamjua Mungu anayemwamini na kumtumikia,haendi kwa misisimiko au kwa kufuata upepo unaelekea wapi!.Mfano kipindi kile ambacho maelfu elfu walikuwa wanapanga foleni kwa mzee yule aliyejulikana kwa jina la Babu wa Loliondo na kupata kikombe,Askofu Kakobe kwa ujasiri mkubwa alisimama na kufundisha kwa kutumia Biblia kwamba ile siyo Mungu aliye hai ni uganga tu wa kienyeji na akasema hicho mnachokiona hakitaendelea,wengi walipinga sana na kukebehi lakini leo imekuwa ni historia na alichokifundisha kimetimia.Ninazo kaseti za mafundisho kuhusiana na hayo.Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu wa kweli anayefundisha kweli yote bila kuangalia sura za watu.Pia anachokifundisha ndicho anachokiishi!Maisha yake yapo nuruni kweli kweli na hicho ndicho kinanivutia sikuzote kuendelea kujifunza kutoka kwake.
Askofu Kakobe amejitoa kwa asilimia zote kwa ajili ya Ufalme wa Mungu na matunda yanaonekana na mpaka sasa Injili inahubiriwa ulimwenguni kote kwa njia nyingi mbalimbali.Wale wanaozungumza uzushi na uongo kuhusiana na Askofu Kakobe ni wale ambao wana roho nyingine na siyo Roho wa Mungu aliye hai na hawataki kweli yote.Kwa maana imeandikwa, 1YOHANA 4:6, "Yeye amjuaye Mungu atusikia,Yeye asiyetokana na Mungu hatusikii.Katika hili twamjua Roho wa kweli,na roho ya upotevu".Mwenye masikio na asikie!Nawasilisha.

unaelewa maana ya utafiti lakini?
 
Kakobe ni mpiga dili we hukuona kipindi kile walikua wanagombana kwenye account yake kuna nini?
Toa toa dhahabu etc jamaa anaishi maisha ya kifahari kama president kwa fedha zenu bado hujashtuka tu
Mwemkundu umeshawahi kufika nyumbani kwa Kakobe kijitonyama? unawajuwa wanaioshi kifahari?
 
Kama anaishi kwa utukufu wa Mungu asingemtelekeza mzazi MWenzie aliyemzalia mtoto wa kwanza we kiume (Mary Raphael) wa kule tuliani.
 
Steam n vapour?

Mkuu naamini mumbe anaposema utafiti ana maana "reasearch". Katika hali ya kawaida utafiti huwa unakuwa na nadharia (theory), njia (methodology), sampuli na mengine mengi, sasa labda alichoongea huyu mjumbe tusikiite steam n vapor, ila atueleze how did he come to that conclussion, akituonesha utafiti wake ulikuwaje na ushahidi tunaweza kujua.
 
------ yaani miaka 20 ndio umetafiti hizo Pumba hapo .......bila shaka utakuwa unaitwa somebody KAKOBE.
 
Baadhi ya watu walio wengi wanapenda sana kushabikia na kusambaza taarifa ya vitu au mambo mengi ambayo hawana uhakika wala uthibitisho usio na shaka.Mimi hupenda kueleza na kuzungumza vitu au mambo ambayo nimefanyia utafiti na kubaini ukweli usio na shaka.Binafsi uongo na uzushi ni dhambi ambayo ninajua mshahara wake ni jehanamu ya moto.Mimi sitaki kabisa kwenda motoni, bali nataka kuingia mbinguni, kwahiyo siwezi kusema uongo.
Twende kwenye mada yenyewe,Kumekuwa na maneno mengi yanayozungumzwa kuhusu Askofu Kakobe na ukifuatilia unakuta huyo anayezungumza hajua lolote na ni habari za kusikia tu na hajatafiti yeye binafsi.Mfano unakuta mtu anasema bila aibu Kakobe ametoroka nchi!Wakati ukifuatilia pale Mwenge Kanisa la F.G.B.F Jumapili unamkuta madhabahuni anafundisha Neno la Mungu!.Mfano Jumapili hii ya tarehe 30.03.2014,Askofu Kakobe amefundisha somo, "USIPOWAHUBIRI WAO WATAKUHUBIRI WEWE".Ukipita mitaani bado watu wanaendelea kusema uongo!Kakobe alishatoroka zamani na hayupo Tanzania.
Utafiti wangu ambao nimeufanya kwa zaidi ya miaka 20 kwa kumsikia,kuzungumza nae na kumwona kuhusiana na Askofu Mkuu Zachary Kakobe ni kwamba.Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu kweli kweli ambaye anamjua Mungu anayemwamini na kumtumikia,haendi kwa misisimiko au kwa kufuata upepo unaelekea wapi!.Mfano kipindi kile ambacho maelfu elfu walikuwa wanapanga foleni kwa mzee yule aliyejulikana kwa jina la Babu wa Loliondo na kupata kikombe,Askofu Kakobe kwa ujasiri mkubwa alisimama na kufundisha kwa kutumia Biblia kwamba ile siyo Mungu aliye hai ni uganga tu wa kienyeji na akasema hicho mnachokiona hakitaendelea,wengi walipinga sana na kukebehi lakini leo imekuwa ni historia na alichokifundisha kimetimia.Ninazo kaseti za mafundisho kuhusiana na hayo.Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu wa kweli anayefundisha kweli yote bila kuangalia sura za watu.Pia anachokifundisha ndicho anachokiishi!Maisha yake yapo nuruni kweli kweli na hicho ndicho kinanivutia sikuzote kuendelea kujifunza kutoka kwake.
Askofu Kakobe amejitoa kwa asilimia zote kwa ajili ya Ufalme wa Mungu na matunda yanaonekana na mpaka sasa Injili inahubiriwa ulimwenguni kote kwa njia nyingi mbalimbali.Wale wanaozungumza uzushi na uongo kuhusiana na Askofu Kakobe ni wale ambao wana roho nyingine na siyo Roho wa Mungu aliye hai na hawataki kweli yote.Kwa maana imeandikwa, 1YOHANA 4:6, "Yeye amjuaye Mungu atusikia,Yeye asiyetokana na Mungu hatusikii.Katika hili twamjua Roho wa kweli,na roho ya upotevu".Mwenye masikio na asikie!Nawasilisha.

katika miaka 20 ya utafiti wako,hicho ndicho umetoka nacho?rudia tena kwa miaka 40 au 60.
 
Nadhni utfti una vigezo vyke,mbna huna rejea za hyo mka20?Kakobe ni mtafutaji kama wngne kama huamin muulze Masud Masud
 
Mimi ninashangaa with wanaowahukumu watumishi was Mungu. Eleweni Kuwait Mungu anagawa karama mbalimbali nashauri kula MTU amtafute Mungu name Kuwait uhusiano mzuri na Yesu utapata vote kutoka kwake ache I kushutumu viongozi was kanisa. He huyo anaetuhumu watmishi was Mungu ana credibility gain mbele za Mungu with tunayemwabudu katka Roho name kweli. Mungu awabariki wale wrote wasio name shaka Nate.
 
sijaona maana halisi ya utafiti wa miaka ishirini uliyosema. Huu ni wasifu wake mfupi tena ambao haujautendea haki pia.
 
Baadhi ya watu walio wengi wanapenda sana kushabikia na kusambaza taarifa ya vitu au mambo mengi ambayo hawana uhakika wala uthibitisho usio na shaka.Mimi hupenda kueleza na kuzungumza vitu au mambo ambayo nimefanyia utafiti na kubaini ukweli usio na shaka.Binafsi uongo na uzushi ni dhambi ambayo ninajua mshahara wake ni jehanamu ya moto.Mimi sitaki kabisa kwenda motoni, bali nataka kuingia mbinguni, kwahiyo siwezi kusema uongo.
Twende kwenye mada yenyewe,Kumekuwa na maneno mengi yanayozungumzwa kuhusu Askofu Kakobe na ukifuatilia unakuta huyo anayezungumza hajua lolote na ni habari za kusikia tu na hajatafiti yeye binafsi.Mfano unakuta mtu anasema bila aibu Kakobe ametoroka nchi!Wakati ukifuatilia pale Mwenge Kanisa la F.G.B.F Jumapili unamkuta madhabahuni anafundisha Neno la Mungu!.Mfano Jumapili hii ya tarehe 30.03.2014,Askofu Kakobe amefundisha somo, "USIPOWAHUBIRI WAO WATAKUHUBIRI WEWE".Ukipita mitaani bado watu wanaendelea kusema uongo!Kakobe alishatoroka zamani na hayupo Tanzania.
Utafiti wangu ambao nimeufanya kwa zaidi ya miaka 20 kwa kumsikia,kuzungumza nae na kumwona kuhusiana na Askofu Mkuu Zachary Kakobe ni kwamba.Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu kweli kweli ambaye anamjua Mungu anayemwamini na kumtumikia,haendi kwa misisimiko au kwa kufuata upepo unaelekea wapi!.Mfano kipindi kile ambacho maelfu elfu walikuwa wanapanga foleni kwa mzee yule aliyejulikana kwa jina la Babu wa Loliondo na kupata kikombe,Askofu Kakobe kwa ujasiri mkubwa alisimama na kufundisha kwa kutumia Biblia kwamba ile siyo Mungu aliye hai ni uganga tu wa kienyeji na akasema hicho mnachokiona hakitaendelea,wengi walipinga sana na kukebehi lakini leo imekuwa ni historia na alichokifundisha kimetimia.Ninazo kaseti za mafundisho kuhusiana na hayo.Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu wa kweli anayefundisha kweli yote bila kuangalia sura za watu.Pia anachokifundisha ndicho anachokiishi!Maisha yake yapo nuruni kweli kweli na hicho ndicho kinanivutia sikuzote kuendelea kujifunza kutoka kwake.
Askofu Kakobe amejitoa kwa asilimia zote kwa ajili ya Ufalme wa Mungu na matunda yanaonekana na mpaka sasa Injili inahubiriwa ulimwenguni kote kwa njia nyingi mbalimbali.Wale wanaozungumza uzushi na uongo kuhusiana na Askofu Kakobe ni wale ambao wana roho nyingine na siyo Roho wa Mungu aliye hai na hawataki kweli yote.Kwa maana imeandikwa, 1YOHANA 4:6, "Yeye amjuaye Mungu atusikia,Yeye asiyetokana na Mungu hatusikii.Katika hili twamjua Roho wa kweli,na roho ya upotevu".Mwenye masikio na asikie!Nawasilisha.

Mmhhh kweli imani ni Jambo la ajabu,Na elimu ni kitu cha kipekee na cha kuthaminiwa.
Niliposoma kwamba ni utafiti wa miaka ishirini juu ya mtu anayejiita mtumishi wa mungu sijui Mungu, nikadhani umekuja na utafiti kweli kwa maana ya utafiti,great thinkers wanafahamu,utafiti hauhusishi hisia binafsi za mtu bali facts na theories au practice zenye kutufanya tuone tija juu ya jambo au mtazamo.
Utafiti huja na majibu ya maswali ambayo jamii au kundi la watu fulani lilitarajia kupata suruhisho lake. Japo tafiti si lazima itoe majibu ya kutufurahisha tuuu bali hata yale tusiyoyapenda,
Naweza hitimisha kwa kusema ulichotuletea kama utafiti hikijakidhi sifa za utafiti bali ni hisia zako binafsi na wasifu wa huyo unaemuita mtumishi wa mungu/Mungu,pia huna kipimo cha kutibitisha kama yeye ni mtumishi wa Mungu Kwani wewe siyo Mungu wala siyo malaika.
 
Ni ajabu sana watu wameufanya uongo kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo!.Ndio maana watanzania wengi wamekuwa wanadanganywa na wana siasa kila kukicha kwa kuwa wameona watu wengi wanapenda kuambiwa uongo!Usiwe miongoni mwao!Mtu anashindwa vipi kwenda Mwenge FGBF jumapili kuthibitisha?.Nasema kwa ujasiri wote kwamba Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu wa kiwango cha kimataifa.Na Mungu mwenyewe amemjalia neema ya pekee sana kwa ajili ya ulimwengu.Kuamini au kutokuamini haibadilishi ukweli huo.Mwenye masikio na asikie!
 
Ni ajabu sana watu wameufanya uongo kuwa ukweli na ukweli kuwa uongo!.Ndio maana watanzania wengi wamekuwa wanadanganywa na wana siasa kila kukicha kwa kuwa wameona watu wengi wanapenda kuambiwa uongo!Usiwe miongoni mwao!Mtu anashindwa vipi kwenda Mwenge FGBF jumapili kuthibitisha?.Nasema kwa ujasiri wote kwamba Askofu Kakobe ni Mtumishi wa Mungu wa kiwango cha kimataifa.Na Mungu mwenyewe amemjalia neema ya pekee sana kwa ajili ya ulimwengu.Kuamini au kutokuamini haibadilishi ukweli huo.Mwenye masikio na asikie!
Mkuu hv mmepewa fedha kiasi gan ili kumsafisha huyo mchungaji feki? Hiv unahitaji elim kiasi gani kujua kuwa kakobe si mchugaji ila taperi? Unahitaji maandiko yapi kujua kuwa yy ni miongon mwa kundi la wanaotumika badala ya mwoovu? Hebu lete maandiko kuthibitisha kuwa huyo mchungaj wako anawepeleka watu mbinguni? Hapo ndo nakubaliana na watu kuwa IQ za wabongo finyu sana. Unahitaji kuwa jasiri usie na aibu kumtetea kakobe kuwa ni mchungaji, may b uwe kama ch..iz
Hao ni mb..a mwitu walovaa ngozi ya kondoo....
 
Mtumishi hebu sema uchungaji kapewa na nan? Punguzen mahaba kwa watu, kristo yesu ndo wakuaminiwa, ila binadamu, n kitu anabadilika wakati wowote mkuu.
 
Back
Top Bottom