maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,831
Nimeuliza baada ya kukukumbuka msoto wa kuangalia 'video' enzi zile maana zilikuwa za kuhesabu sana wakati watu sio kwamba hawakuwa na hela maana wengi walikua wanamiliki hata magari lakini ikija kwenye tv ilikua kitendawili.
Sasa nataka kujua kwa wadau waliomo humu kama kuna anaejua TV kwa miaka ya 80 hadi tisini mwanzoni zilikua bei gani, au ni kwamba zilikua hazipatikani?
Maana nakumbuka mi pia nlimsumbuaga sana mshua kila akisafiri lazma nimwambie akirudi aje na 'video' maana hakua maskini na sikupataga nafasi kumuuliza why haleti sabab ya utoto mpaka alipo rest in peace. Nini hasa kilifanya watu wasiwe nazo wakati walikua wanazitamani?
Sasa nataka kujua kwa wadau waliomo humu kama kuna anaejua TV kwa miaka ya 80 hadi tisini mwanzoni zilikua bei gani, au ni kwamba zilikua hazipatikani?
Maana nakumbuka mi pia nlimsumbuaga sana mshua kila akisafiri lazma nimwambie akirudi aje na 'video' maana hakua maskini na sikupataga nafasi kumuuliza why haleti sabab ya utoto mpaka alipo rest in peace. Nini hasa kilifanya watu wasiwe nazo wakati walikua wanazitamani?

