Miaka miwili ya Rais Samia yenye kujali na kuthamini jamii

Miaka miwili ya Rais Samia yenye kujali na kuthamini jamii

Mama wametufunda watanganyika nn maana ya uongozi!!
Uongozi sio kupayuka
Uongozi sio kuonea watu
Uongozi sio upendeleo wa ulikotoka
Uongozi sio kufunga watu bila sababu
Uongozi sio kuuwa watu
Uongozi ni kusikiliza watu
Uongozi sio kukandamiza watu na kuwanyima stahiki zao
Uongozi ni busara na hekima
Asante Mungu Kwa kutuletea huyu mama,Mpe afya Njema atuongoze mpaka 2035
 
Mama wametufunda watanganyika nn maana ya uongozi!!
Uongozi sio kupayuka
Uongozi sio kuonea watu
Uongozi sio upendeleo wa ulikotoka
Uongozi sio kufunga watu bila sababu
Uongozi sio kuuwa watu
Uongozi ni kusikiliza watu
Uongozi sio kukandamiza watu na kuwanyima stahiki zao
Uongozi ni busara na hekima
Asante Mungu Kwa kutuletea huyu mama,Mpe afya Njema atuongoze mpaka 2035
HUYU NDIO MAMA
HANA BAYAAAAA NA MTU
TUMPE MAUA YAKEEEE
[emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253][emoji253]

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
 
HAKUNA KITU
HAKUNA KITU
HAOUNA KITU
TATIZO MNALINGANISHA NA MAGUFULI.

Kila kitu kimepooza, biashara hakuna, mzunguko wa pesa mbovu.
Utendaji serikalini zero
Miradi ya maendeleo na miundombinu hakuna.

Mnamsifia uongo tu
 
Mama wametufunda watanganyika nn maana ya uongozi!!
Uongozi sio kupayuka
Uongozi sio kuonea watu
Uongozi sio upendeleo wa ulikotoka
Uongozi sio kufunga watu bila sababu
Uongozi sio kuuwa watu
Uongozi ni kusikiliza watu
Uongozi sio kukandamiza watu na kuwanyima stahiki zao
Uongozi ni busara na hekima
Asante Mungu Kwa kutuletea huyu mama,Mpe afya Njema atuongoze mpaka 2035
Pumba tupu pelekea kuku
 
HAKUNA KITU
HAKUNA KITU
HAOUNA KITU
TATIZO MNALINGANISHA NA MAGUFULI.

Kila kitu kimepooza, biashara hakuna, mzunguko wa pesa mbovu.
Utendaji serikalini zero
Miradi ya maendeleo na miundombinu hakuna.

Mnamsifia uongo tu
Unaandika ukiwa mjini unafikir nchi yote ipo mjini? Hakuna kitu ulitaka awe anatangaza kama yule chizi? Nenda mikoani haswa kigoma ukaone barabara zinavyopasuliwa
 
HAKUNA KITU
HAKUNA KITU
HAOUNA KITU
TATIZO MNALINGANISHA NA MAGUFULI.

Kila kitu kimepooza, biashara hakuna, mzunguko wa pesa mbovu.
Utendaji serikalini zero
Miradi ya maendeleo na miundombinu hakuna.

Mnamsifia uongo tu
Inawezekana amechukua inchi ikiwa hoi!!
 
Unaandika ukiwa mjini unafikir nchi yote ipo mjini? Hakuna kitu ulitaka awe anatangaza kama yule chizi? Nenda mikoani haswa kigoma ukaone barabara zinavyopasuliwa
Wengi wanaoongea hawajui vile Mama anajenga taifa bila kutumia nguvu ya makamera.
Watu wanataka kumuona mama anafanya kama yule mwingine ambaye alikuwa anataka kuonekana akizindua kila kitu mpaka kisima cha maji, wakati vingine vilipaswa kufanywa na viongozi wa kata tu....

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
 
HAKUNA KITU
HAKUNA KITU
HAOUNA KITU
TATIZO MNALINGANISHA NA MAGUFULI.

Kila kitu kimepooza, biashara hakuna, mzunguko wa pesa mbovu.
Utendaji serikalini zero
Miradi ya maendeleo na miundombinu hakuna.

Mnamsifia uongo tu
Binafsi sifikirii kumlinganisha Mama na huyo!
Hiyo ni sawa na kumkosea heshima Mama yetu.
Kila mwenye akili kubwa anatamani vile Mama anavyoongoza taifa letu

Sent from my SOV37 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom