Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 15,930
- 27,184
Mkuu kwamba ndani ya miaka miwili huwezi pata hisia hata kidogo.? Hawapumziki hata kama ni kazi izo.?Hapana inawezekana kabisa kule ni kazi mwanzo mwisho, hakuna story hakuna kutega unatoka dayB unarudi usiku hoi kabisa
Hahahaaa. Hayo ndio maneno swahiba.Hahaha ngoja nisubiri tu hakuna namna
Mkuu hivi unajua kutokufanya mapenzi kwa mapenzi kwa muda kunapelekea hata ufanisi wa kazi nyingine kutokua mzuri, sometimes inapelekea hata mwanaume kuwa na chura.Inawezekana japo ni ngumu sana kwenye miezi miwili ya kwanza.. Binafsi namiezi saba sasa sijui jinsia pinzani ikoje na kwanda la chaputa na vyeo vyake nilisha vivua toka mwaka jana.. Wengi watakuona wajabu maana tayari wamerusu kichwa cha chini kiwazidi marifa. Sikuzote unavyo uona ni ngumu kuishi bira sex na ndivyo hivyo hivyo ugumu unakuwepo kweli, anza kufikili tofauti kidogo na kukwepa kutizama video za porn wala picha za kina giggy money maana hawa ndio chanzo cha kutumbukia kwenye uzinzi
Hahahaaa. Hayo ndio maneno swahiba.
Hivi wewe umeshawahi kujaribu kweli?
Hahahaaaaa. Umenifanya nicheke sana aiseee.
Kujaribu nini tena swaiba.
Akikujibu nitagAisee, swaiba naona talking from experience,
Hivi swaiba wewe unaweza kukaa miongo mingapi vile?
Hahahaa.Akikujibu nitag
Tafiti hii umeitoa wapi..? Akuna ukweli juu ya hilo ni drama za wazinzi kutaka kutetea uzinzi waoMkuu hivi unajua kutokufanya mapenzi kwa mapenzi kwa muda kunapelekea hata ufanisi wa kazi nyingine kutokua mzuri, sometimes inapelekea hata mwanaume kuwa na chura.
Unachoongea kinawezekana lakini kwa nini ufanye ivyo.? Oa basi na huo ndio mwanzo wa ubakaji
Ahaah sikumbuki vizuri swaiba, ila nahisi ilikua ndotoni soon after Tanzagiza independent.Hahahaaaaa. Umenifanya nicheke sana aiseee.
Duuh. Kukaa kama mtoa uzi bana.
Kwa ushauri mujarab mkuuHahaaaa. Sawa Mkuu huenda ikawa mleta uzi hivyo ulivyovitaja ndio anavyofanya na ndio sababu kaweza kustahmili mpaka hapo alipofika.
Hongera kwangu tena Mkuu. Ya nini?
Kuwa mpole hizo ni siri za jeshiMbona kuna Jamaa zangu watatu walienda JKT mwaka juzi August mpaka leo bado ajira hazijatoka na wako kambini.
Mapenzi wanafanyia wapi. Kawaida tu.
Sawa Mkuu. Ila nisamehe bure sikuwa nimekuelewa pale.Kwa ushauri mujarab mkuu
Akikujibu nitag
Hahahaaa.
Ujue hili swali limenipita kimo swahiba.
Ila nipe muda nione naweza kaa mpaka lini. Hahahahaaaaa
Hahahaaaa. Haya bana Swahiba.Ahaah sikumbuki vizuri swaiba, ila nahisi ilikua ndotoni soon after Tanzagiza independent.
Utanisadia kuhesabu kimoyomoyo swahiba, halafu majibu yake unitumie kwa njia ya EMsHahahaaaa. Haya bana Swahiba.