Miaka minne ya Rais Samia katika sekta ya elimu

Miaka minne ya Rais Samia katika sekta ya elimu

PIUS PASTORY

Member
Joined
Aug 22, 2025
Posts
36
Reaction score
18
Miaka Minne Ya Mama Nyumba 159 za walimu wa shule za msingi zimejengwa katika Mkoa wa Songwe.

Ujenzi wa nyumba hizo umewezesha walimu kukaa karibu na shuleni hivyo kutumia muda mwingi kufundisha wanafunzi.

#kurayakwanzakwasamia
#haijapatakutokea
 
Kama kweli amewekeza katika elimu kwanini yule dogo mwenye kipaji Cha uhandisi wa barabara kapelekwa St Peter Arusha na sio government school?
 
Back
Top Bottom