bigcell
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 219
- 60
Wakati mkapa anaichukua nji hii, bia ilikuwa tsh 500 kwa chupa,wakat anamdoka aliacha bia tsh 700,kwa maana kwamba bia ilipanda kwa sh 200 kwa kipindi cha miaka 5, leo bia ni tsh 1500 kwa maana hiyo bia imepanda kwa asilimia 100,ukija sukari 600 kwa kilo leo ni sh 1700 - 2000,unga wa mahindi 280 mkapa akiondoka madarakani leo ni 800-100 kwa kilo nyama ilikuwa 2000 leo ni 5500 - 6000 kwa kilo,tusubiri album nyingine ya 5yrs .....