Buchanan
JF-Expert Member
- May 19, 2009
- 13,199
- 1,969
Kama JK ataapishwa kesho kuwa rais wetu, tutashudia safari ya kwanza kwenda US kutalii na safari nyingine nyingi zitafuatia ili kufidia zile ambazo hakusafiri wakati wa kampeni! Atatumia zaidi ya tsh 2bn/- kutoa semina elekezi kwa wakuu wa wilaya na mikoa, nk. Kwa uzoefu tuliouona kwa miaka 5 iliyopita, tuhesabu maumivu mengine kwa miaka 5 ijayo! Au mnasemaje wandugu?