ENZO JF-Expert Member Sep 30, 2010 4,242 1,736 Jan 24, 2012 #21 stevoh said: wewe nadhani unakasoro akilini mwako! Click to expand... Akili yake haina akili!! POPOOOOO!
stevoh said: wewe nadhani unakasoro akilini mwako! Click to expand... Akili yake haina akili!! POPOOOOO!
stevoh JF-Expert Member Dec 5, 2011 2,921 1,104 Jan 24, 2012 Thread starter #23 Amyner said: Nime nanihii....... Click to expand... nshakuelewa
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,604 Jan 24, 2012 #24 Mwaka 1995 nilininua simu hii na bado ninadunda nayo:
Amyner JF-Expert Member Jul 13, 2011 2,397 877 Jan 25, 2012 #25 MAMMAMIA said: Mwaka 1995 nilininua simu hii na bado ninadunda nayo: View attachment 46040 Click to expand... hahaha enzi hizo hakuna hata mambo ya bluetooth... Internet yenyewe shughuli.
MAMMAMIA said: Mwaka 1995 nilininua simu hii na bado ninadunda nayo: View attachment 46040 Click to expand... hahaha enzi hizo hakuna hata mambo ya bluetooth... Internet yenyewe shughuli.
Judgement JF-Expert Member Nov 13, 2011 10,327 4,780 Jan 25, 2012 #26 Jf imenikutanisha na LULU (kwa maana ya Kito ) Ninaamini KITO husika kikivinjari kunako uzi huu kitajielewa ! Congra KITO !
Jf imenikutanisha na LULU (kwa maana ya Kito ) Ninaamini KITO husika kikivinjari kunako uzi huu kitajielewa ! Congra KITO !
MAMMAMIA JF-Expert Member Feb 26, 2008 3,811 1,604 Jan 25, 2012 #28 Amyner said: hahaha enzi hizo hakuna hata mambo ya bluetooth... Internet yenyewe shughuli. Click to expand... Umenikumbusha mbali. Mwaka huo ndio mara ya kwanza kusikia hilo neno internet. Nakumbuka nilihudhuria mkutano kwenda kujua tu "internet" ni "nyavu za wapi ndani".
Amyner said: hahaha enzi hizo hakuna hata mambo ya bluetooth... Internet yenyewe shughuli. Click to expand... Umenikumbusha mbali. Mwaka huo ndio mara ya kwanza kusikia hilo neno internet. Nakumbuka nilihudhuria mkutano kwenda kujua tu "internet" ni "nyavu za wapi ndani".