ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
wewe nadhani unakasoro akilini mwako!
Akili yake haina akili!!
POPOOOOO!
wewe nadhani unakasoro akilini mwako!
Umenikumbusha mbali. Mwaka huo ndio mara ya kwanza kusikia hilo neno internet. Nakumbuka nilihudhuria mkutano kwenda kujua tu "internet" ni "nyavu za wapi ndani".hahaha enzi hizo hakuna hata mambo ya bluetooth... Internet yenyewe shughuli.