Miaka inaenda simuoni ninaempenda

Miaka inaenda simuoni ninaempenda

Mapenz ama upendo mara nyingi ni hisia zinazopaliliwa kidogo kidogo mpaka kufikia Hatua ya upendo kamili , ingawaje kuna upendo wa ghafla ghafla lakin hizi mara nyingi huongozwa na hisia za matamanio zaidi
 
mapenzi hayalazimishwe.Kama kweli nia yako kumpata mwenza wa kuenshi milele basi mungu atakusaidia mapema.Na kama nia yako yakutamani wanawake basi subiri utakutana na JINI bahari ...........
 
Atakuja tuu,mie mpaka leo bado sijampata wa kunipenda ila namuomba sana Mungu aniletee wakunifuta machozi.sasa basi kama unaona mtu anakupenda basi na wewe muonyeshe ushirikiano kuliko kumpotezea muda mtu.

inaelekea unachagua sana as if ur a perfect man.ila nahisi muda ukifika atakuja tu.

Unataka mwanaume wa aina gani.weka sifa ili ajitokeze.labda hupo ila humuoni
 
Sasa we mvulana unataka nini na wanawake, subiri uwe Mwanaume ndio uanze kuangaika na hizo viumbe
 
mcha MUNGU

Kama sifaa ndio hio pkee .Basi usihofu Amini uzima na nguvu za mungu.utampata...Hata hivyo unaweza kuendelea kuwasiliana na marafiki wako pm pengine wanaweza kukusaidia na kuunganisha na watu mbalimbali.Ili umpate chaguo lako.Unajua kwa sasa dunia imebadilika.
 
Kama sifaa ndio hio pkee .Basi usihofu Amini uzima na nguvu za mungu.utampata...Hata hivyo unaweza kuendelea kuwasiliana na marafiki wako pm pengine wanaweza kukusaidia na kuunganisha na watu mbalimbali.Ili umpate chaguo lako.Unajua kwa sasa dunia imebadilika.

sanaaaa! mkuu
 
Back
Top Bottom