jiwekuu770
Kwanza sinauhakika kama wanaume wanakitu "Kupenda" wanaume hutamani hutaka, wanawake waliowengi ndiyo wanahicho kitu "kupenda" na ni rahisi sana kumpenda mwanampe kwa moyo wote, wanaume sina neno zuri la kueleza namna wanavyomchukulia mwanamke ila hicho kinachoitwa kupendwa ni kutamani na husukumwa na kutamani kufanya tendo la ndoa,
ndiyo maana kwa wanawake watakubaliana na mimi kuwa wakitoka na mwanamme baada ya kumaliza tendo la ndoa kwa kawaida hakuna majadiliano, kama wapo nyumba ya wageni mwanaume atajitahidi waondoke huku bibie akitaka waongee mambo ya maisha, ninafikiri wewe hujapata mwanamke mrembo, mzuri n.k ila kama unasubiri hilo utangoja sana