Miaka 6 ya Utetezi wa Wananchi: Happy Birthday ACT Wazalendo 5-5-2020

Zitto

Former MP Kigoma Urban
Mar 2, 2007
1,562
10,880
Miaka 6 ya majaribu mengi katika maisha yetu ya kila siku, Watanzania. ACT Wazalendo tumekuwa upande wa Wananchi muda wote, wakati wote bila kujali ‘Consequences’.
  • Tumekuwa na Wazanzibari walipoporwa haki yao ya kuchagua Kiongozi wanayemtaka!
  • Tumekuwa na Wakulima wa Mbaazi, Korosho, Pamba, Tumbaku na Karafuu walipoharibiwa masoko ya Bidhaa zao na kudhulimiwa Fedha zao zinazotokana na jasho lao.
  • Tumekuwa na Wavuvi wa Baharini na Ziwani - walipochomewa nyavu zao na kuharibiwa maisha yao
  • Tumekuwa na Wafugaji walipovamiwa kuondolewa eneo la malisho ya Mifugo yao.
  • Tumekuwa na Wafanyabiashara wanabambikiwa Kodi kubwa, kutolipwa Fedha zao za marejesho na kufunguliwa kesi za utakatishaji
  • Tumekuwa na Wanaharakati wa Haki za Binaadamu na Waandishi wa Habari wanapobambikiwa kesi na kuwekwa jela, kutekwa, kupotea na hata kuuawa.
  • Tumesimamia Uhuru wa Taasisi za Uwajibikaji kama CAG na kuhakikisha Katiba ya Tanzania inalindwa na kuheshimiwa
  • Tumekuwa na Wanasiasa wenzetu wanapoonewa na kunyimwa haki zao bila kujali Vyama vyao.
  • Tumekuwa na Wananchi kuwaelemisha kujikinga na virusi vya Korona ili kuzuia vifo vya Watu wetu na kuiwajibisha Serikali kwa kushindwa kuongoza vyema Vita dhidi ya Ugonjwa wa COVID 19.
Kila mwenye kuonewa, kudhulumiwa na kukandamizwa anasikia sauti ya ACT Wazalendo bila kujali chama chake, Dini yake, kabila lake wala hali yake. Hakika, ULIPO TUPO!

ACT Wazalendo ni chama cha Watu. Ni Chama chako. Ni chama chenu. Ni chama chetu. Leo kimetimiza miaka 6 tangu kusajiliwa kwake hapo tarehe 5-5-2014.

ACT Wazalendo itaendelea kuwa upande wa Wananchi. Ninaomba tuendelee kwa MSHIKAMANO kupigania Uchaguzi Huru, wa Haki na unaoaminika. Ninaowaomba muipe dhamana ACT Wazalendo ili ijenge Tanzania yenye Watu wenye Raha na Furaha #KaziNaBata


Zitto Kabwe
Kiongozi ACT Wazalendo
May 5, 2020.
 
Nakubaliana na Zitto kwa uwezo wake wake wa kujenga hoja, kuzitetea na kusimamia mambo mbali mbali kwa upeo mkubwa zaidi, tatizo lake ni hilo ni mtu wa kubadilika huwezi simama nae, pengine kutokana na asili yake. Ila akibadilika atafika mbali sana.
 
Hongera kwa miaka 6 yenye mchango chanya kwa nchi.

Maeneo unayofanya vizuri:
1. Uko proactive, unanusa jambo la kitaifa au kimataifa na kulitolea ushauri wa kitaalamu. Hii ni sifa muhimu kwa kiongozi wa chama wa kitaifa.

2. Upo vizuri kwenye networking. Collabo zako na Lissu, Malema na wengineo zinaonyesha maono mapana.
3. Eloquent speaker. Ukiongea jambo unaeleweka. Charismatic speaker. Powerful speaker. Ukiongea, unavuta watu.

4. Diplomatic. Mara nyingi vita yako ni ya hoja. Ndo maana huchezei selo kama wenzio. Wala kichapo cha mbwa koko kama Slaa na Lipumba hukijui. Hii ni sifa nzuri maana watanzania wanahusisha wapinzani na vita.

5. Ume-groom wanasiasa vijana kujua kuongea kwa utulivu huku wakijenga hoja kwa data. Umewajenga kujisomea na kuchakata taarifa. Hapa nitamtaja Kafulila. Huyu ni mwanafunzi wako ktk siasa. Ni mtoto wako.

Mapungufu yako:

1. Huaminiki. No permanent agenda. Maslahi yako ya msimu. Mfano utawala huu ulipoanza uliukumbatia, sasa umejiweka kando nao. Huu ni udhaifu wako mkubwa. Unapowaona kina Seif, Slaa(enzi zake),unaona uaminifu wao kwenye mageuzi/upinzani/ greater good/social utility

2. Ushirikina. Unatambia uchawi wa Kigoma. Ref. Suala la Musiba.

3. Wewe sio mtu safi, ni mpigaji kwenye pesa. You are coerupt! Ref:project ya Barrick jimbon kwako. Miradi ya NSSF.

4. Not a team player. Toka ukiwa chadema, mpaka leo upo ACT. ACT ni wewe na wewe ni ACT. Vijana wote uliowatorosha chadema haupo nao tena.

5. Dini. Are you impartial? Au unaamini waislamu wamedhulumiwa sana na wanahitaji somesort of affirmative policies? Nakumbuka mchango wako kuhusu Nyerere na machafuko ya Biafra, Nigeria. Uko emotional kwenye masuala ya dini.
 
Mh. Zitto, unahitaji timu ili chama kiende mbele zaidi.

Unafanya kazi za ziada ndani ya chama, kana kwamba upo peke yako.

Wape fursa vijana na waandae vyema kama ulivyoandaliwa wewe.

Jenga chama tokea mashinani. Nguvu zaidi zinahitajika huko. Hili litawezekana tu ukiwa na timu imara, hiyo haiwezi kuwa kazi ya mtu mmoja au viongozi wachache hapo makao makuu ya chama.

Siwezi kuondoka bila kukutia moyo. Kazi uliyofanya wewe binafsi ni kubwa.

Hata kama Rais Magufuli hawezi kusema, ni wazi kabisa umekuwa mwiba mkali ubavuni mwake.
Hata akijifanya hakusikii, hiyo itakuwa sio kweli, kwani anasikia na bila shaka mengi yanamwingia barabara hata asiposema.

Ukweli ni kwamba, bila kuwepo wachache kama wewe, nadhani hali ingekuwa ni tofauti kuliko ilivyo sasa, pamoja na kwamba hali ni mbaya.

Rekebisha sehemu zinazostahiri kurekebishwa, usibeze unayoambiwa.

Lakini kazi na iendelee kwa nguvu zaidi, na kazi mhimu kwa sasa kama ujuavyo ni uchaguzi mkuu unaokuja.

Hapa ndipo uongozi wenu utakapopimwa na darubini kali zaidi.

Kuruhusu kura za wananchi ziharibiwe kwa njia yoyote ile itakuwa ni kukosekana kwa uongozi toka kwenu mliopo upinzani kwa ujumla wenu..

Kuruhsu Magufuli kuendelea kuwa Rais kwa sababu ya kuharibu kura za wananchi, hili litakuwa jambo lisilokubalika kamwe.

Hakuna atakayelalamika kama ushindi wake utakuwa wa haki, lakini miaka mitano tena ya ushindi wa kulazimisha, hii Tanzania itakuwa ni balaa tupu.
 
Hongera kwa miaka 6 yenye mchango chanya kwa nchi.

Maeneo unayofanya vizuri:
1. Uko proactive, unanusa jambo la kitaifa au kimataifa na kulitolea ushauri wa kitaalamu. Hii ni sifa muhimu kwa kiongozi wa chama wa kitaifa.

2. Upo vizuri kwenye networking. Collabo zako na Lissu, Malema na wengineo zinaonyesha maono mapana.
3. Eloquent speaker. Ukiongea jambo unaeleweka. Charismatic speaker. Powerful speaker. Ukiongea, unavuta watu.

4. Diplomatic. Mara nyingi vita yako ni ya hoja. Ndo maana huchezei selo kama wenzio. Wala kichapo cha mbwa koko kama Slaa na Lipumba hukijui. Hii ni sifa nzuri maana watanzania wanahusisha wapinzani na vita.

5. Ume-groom wanasiasa vijana kujua kuongea kwa utulivu huku wakijenga hoja kwa data. Umewajenga kujisomea na kuchakata taarifa. Hapa nitamtaja Kafulila. Huyu ni mwanafunzi wako ktk siasa. Ni mtoto wako.

Mapungufu yako:

1. Huaminiki. No permanent agenda. Maslahi yako ya msimu. Mfano utawala huu ulipoanza uliukumbatia, sasa umejiweka kando nao. Huu ni udhaifu wako mkubwa. Unapowaona kina Seif, Slaa(enzi zake),unaona uaminifu wao kwenye mageuzi/upinzani/ greater good/social utility

2. Ushirikina. Unatambia uchawi wa Kigoma. Ref. Suala la Musiba.

3. Wewe sio mtu safi, ni mpigaji kwenye pesa. You are coerupt! Ref:project ya Barrick jimbon kwako. Miradi ya NSSF.

4. Not a team player. Toka ukiwa chadema, mpaka leo upo ACT. ACT ni wewe na wewe ni ACT. Vijana wote uliowatorosha chadema haupo nao tena.

5. Dini. Are you impartial? Au unaamini waislamu wamedhulumiwa sana na wanahitaji somesort of affirmative policies? Nakumbuka mchango wako kuhusu Nyerere na machafuko ya Biafra, Nigeria. Uko emotional kwenye masuala ya dini.
There cannot be an honest assessment than this. I hope he takes it in stride and tries his best to change some of those weaknesses - terrible negatives, I should say!
 
Miaka 6 ya majaribu mengi katika maisha yetu ya kila siku, Watanzania. ACT Wazalendo tumekuwa upande wa Wananchi muda wote, wakati wote bila kujali ‘Consequences’.
  • Tumekuwa na Wazanzibari walipoporwa haki yao ya kuchagua Kiongozi wanayemtaka!
  • Tumekuwa na Wakulima wa Mbaazi, Korosho, Pamba, Tumbaku na Karafuu walipoharibiwa masoko ya Bidhaa zao na kudhulimiwa Fedha zao zinazotokana na jasho lao.
  • Tumekuwa na Wavuvi wa Baharini na Ziwani - walipochomewa nyavu zao na kuharibiwa maisha yao
  • Tumekuwa na Wafugaji walipovamiwa kuondolewa eneo la malisho ya Mifugo yao.
  • Tumekuwa na Wafanyabiashara wanabambikiwa Kodi kubwa, kutolipwa Fedha zao za marejesho na kufunguliwa kesi za utakatishaji
  • Tumekuwa na Wanaharakati wa Haki za Binaadamu na Waandishi wa Habari wanapobambikiwa kesi na kuwekwa jela, kutekwa, kupotea na hata kuuawa.
  • Tumesimamia Uhuru wa Taasisi za Uwajibikaji kama CAG na kuhakikisha Katiba ya Tanzania inalindwa na kuheshimiwa
  • Tumekuwa na Wanasiasa wenzetu wanapoonewa na kunyimwa haki zao bila kujali Vyama vyao.
  • Tumekuwa na Wananchi kuwaelemisha kujikinga na virusi vya Korona ili kuzuia vifo vya Watu wetu na kuiwajibisha Serikali kwa kushindwa kuongoza vyema Vita dhidi ya Ugonjwa wa COVID 19.
Kila mwenye kuonewa, kudhulumiwa na kukandamizwa anasikia sauti ya ACT Wazalendo bila kujali chama chake, Dini yake, kabila lake wala hali yake. Hakika, ULIPO TUPO!

ACT Wazalendo ni chama cha Watu. Ni Chama chako. Ni chama chenu. Ni chama chetu. Leo kimetimiza miaka 6 tangu kusajiliwa kwake hapo tarehe 5-5-2014.

ACT Wazalendo itaendelea kuwa upande wa Wananchi. Ninaomba tuendelee kwa MSHIKAMANO kupigania Uchaguzi Huru, wa Haki na unaoaminika. Ninaowaomba muipe dhamana ACT Wazalendo ili ijenge Tanzania yenye Watu wenye Raha na Furaha #KaziNaBata


Zitto Kabwe
Kiongozi ACT Wazalendo
May 5, 2020.
Congratulations Zitto and your party. I know it takes hard work to form a successful political party. Work to remove the notion that ACT is islamic the like of CUF. Work closely with your former party CHADEMA and at times join them on fundamental matters. You need to form a stronger opposition coalition if you’re to win over CCM.
 
Hongera kwa miaka 6 yenye mchango chanya kwa nchi.

Maeneo unayofanya vizuri:
1. Uko proactive, unanusa jambo la kitaifa au kimataifa na kulitolea ushauri wa kitaalamu. Hii ni sifa muhimu kwa kiongozi wa chama wa kitaifa.

2. Upo vizuri kwenye networking. Collabo zako na Lissu, Malema na wengineo zinaonyesha maono mapana.
3. Eloquent speaker. Ukiongea jambo unaeleweka. Charismatic speaker. Powerful speaker. Ukiongea, unavuta watu.

4. Diplomatic. Mara nyingi vita yako ni ya hoja. Ndo maana huchezei selo kama wenzio. Wala kichapo cha mbwa koko kama Slaa na Lipumba hukijui. Hii ni sifa nzuri maana watanzania wanahusisha wapinzani na vita.

5. Ume-groom wanasiasa vijana kujua kuongea kwa utulivu huku wakijenga hoja kwa data. Umewajenga kujisomea na kuchakata taarifa. Hapa nitamtaja Kafulila. Huyu ni mwanafunzi wako ktk siasa. Ni mtoto wako.

Mapungufu yako:

1. Huaminiki. No permanent agenda. Maslahi yako ya msimu. Mfano utawala huu ulipoanza uliukumbatia, sasa umejiweka kando nao. Huu ni udhaifu wako mkubwa. Unapowaona kina Seif, Slaa(enzi zake),unaona uaminifu wao kwenye mageuzi/upinzani/ greater good/social utility

2. Ushirikina. Unatambia uchawi wa Kigoma. Ref. Suala la Musiba.

3. Wewe sio mtu safi, ni mpigaji kwenye pesa. You are coerupt! Ref:project ya Barrick jimbon kwako. Miradi ya NSSF.

4. Not a team player. Toka ukiwa chadema, mpaka leo upo ACT. ACT ni wewe na wewe ni ACT. Vijana wote uliowatorosha chadema haupo nao tena.

5. Dini. Are you impartial? Au unaamini waislamu wamedhulumiwa sana na wanahitaji somesort of affirmative policies? Nakumbuka mchango wako kuhusu Nyerere na machafuko ya Biafra, Nigeria. Uko emotional kwenye masuala ya dini.
Asipojitafakari katika hizi negatives, basi tena. Very honest criticism..
 
Back
Top Bottom