Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 48
Mgonjwa aliyebebwa kwenye machela ni mkazi wa kijiji cha Uleling'ombe kitongoji cha Lengewaha,Jimbo la Mikumi.Kunauchimbaji wa Dhahabu na Shaba unafanyika huko lakini miundombinu bado ni duni.Madini yanachukuliwa huku wananchi wakiachiwa mashimo.Ni rasilimali za taifa lakini wanataifa hawanufaiki nazo.Hali hii mpaka lini? inauma sana.