Miaka 60 ya uhuru wananchi wa Ludewa wanasafirisha wagonjwa kwenye machela. CCM inatia aibu.

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Sep 13, 2020
3,165
4,581
Wakazi wa kijiji cha Kitewele chenye jamii za wafugaji,wavuvi na wakulima wilayani Ludewa mkoani Njombe wanadai kulazimika kusafirisha wagonjwa kwa machela za miti na mhanzi zaidi ya km 32 kunusuru maisha ya ndugu zao kutokana na barabara ambayo vyombo vya moto haviwezi kupita. https://t.co/XkvcjgLtQB
IMG_20211003_103004.jpg
 
Wakazi wa kijiji cha Kitewele chenye jamii za wafugaji,wavuvi na wakulima wilayani Ludewa mkoani Njombe wanadai kulazimika kusafirisha wagonjwa kwa machela za miti na mhanzi zaidi ya km 32 kunusuru maisha ya ndugu zao kutokana na barabara ambayo vyombo vya moto haviwezi kupita. https://t.co/XkvcjgLtQB
View attachment 1961157


Wasalaam,


Mkuu hizi siasa zenu nyepesi mnazifanyia humu kwanini?

Mbona hiyo barabara wanakopita hao kwenye picha yako ni nzuri na pana tena inamoramu,!!

Endelea kufikiria kizalendo zaidi,

#KAZI IENDELEE KWA KASI & WELEDI ZAIDI
 
Wakazi wa kijiji cha Kitewele chenye jamii za wafugaji,wavuvi na wakulima wilayani Ludewa mkoani Njombe wanadai kulazimika kusafirisha wagonjwa kwa machela za miti na mhanzi zaidi ya km 32 kunusuru maisha ya ndugu zao kutokana na barabara ambayo vyombo vya moto haviwezi kupita. https://t.co/XkvcjgLtQB
View attachment 1961157
Halafu tuna ambiwa tozo za miamala zina tumika kujenga vituo vya afya.
 
hapo labda useme walikosa hela ya kumsafirisha mgonjwa, hilo la barabara umeongeza chumvi...
 
Back
Top Bottom