The Gate of Heaven
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 234
- 67
Wakuu mkataba wa bandari inayojengwa bagamoyo kwa hisani ya china unatia shaka sana.
Tunaambiwa kuwa china itatumia bandari hiyo kwa muda wa miaka 50 ndipo iikabidhi kwa serikali ya tanzania. Naomba tujiulize kwa miaka 50 hiyo rasilimali zetu kama magogo, madini, wanyama kama tembo na faru zitasalimika.
Ni kipi hasa kiliisukuma serikali kuingia mkataba wa kitapeli kama huu? miaka 50 sio midogo, hii itawafanya watanzania wa wakati huo wajute kwanini wamezaliwa Tanzania.
Tunaambiwa kuwa china itatumia bandari hiyo kwa muda wa miaka 50 ndipo iikabidhi kwa serikali ya tanzania. Naomba tujiulize kwa miaka 50 hiyo rasilimali zetu kama magogo, madini, wanyama kama tembo na faru zitasalimika.
Ni kipi hasa kiliisukuma serikali kuingia mkataba wa kitapeli kama huu? miaka 50 sio midogo, hii itawafanya watanzania wa wakati huo wajute kwanini wamezaliwa Tanzania.